Radio Tadio

Afya

1 March 2023, 4:27 pm

Shule ya msingi Chihoni yapokea msaada wa vyandarua

Halmshauri ya jiji la Dodoma inaendelea na zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule za Msingi na awali ambapo jumla ya wanafunzi wapatao 122,000  kutoka shule 158 wanatarajiwa kupatiwa vyandarua. Na Fred Cheti. Wanafunzi wa Shule ya Msingi…

1 March 2023, 3:48 pm

Wakazi wa Kisangwa Bunda walia na choo mnadani.

Wakaazi wa Kisangwa kata ya Mcharo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wamelalamikia ukosefu wa huduma ya choo katika mnada wa Kisangwa jambo linalohatarisha usalama wa afya zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm  wamesema kukosekana kwa usimamizi katika choo…

1 March 2023, 2:24 pm

Wodi yazinduliwa Kilolo -Wanawake kunufaika

Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…

28 February 2023, 6:18 pm

Serikali yasaini mkopo nafuu kuboresha huduma za Afya

Huduma zitakazo boreshwa ni pamoja na kupunguza vifo vya mama na mtoto, kuboresha huduma za dharura, kuboresha rasilimali watu katika Sekta ya afya, kuboresha utendaji na ufanisi kwenye ngazi ya zahanati. Na Pius Jayunga. Serikali ya Tanzania na Banki kuu…

24 February 2023, 4:20 pm

Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba

Licha ya kupata huduma katika zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino lakini bado kasi ya upatikanaji dawa imekuwa ni ndogo. Na Victor Chigwada. Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino imetajwa kuwa sababu ya wananchi…

22 February 2023, 6:37 pm

Elimu ya Ukimwi kwa Mama na Mtoto

MPANDA Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni yao jinsi mama aliye na maambukizi ya virusi vya ukimwi anavyoweza kumlinda mwanae asipate maambukizi hayo. Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi hao wamesema kuwa mama anatakiwa kwenda…

22 February 2023, 6:33 pm

Wananchi Waaswa Kuchukua Tahadhari ya Surua

KATAVI Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa surua ulioibuka katika halmashauri ya mpimbwe mkoani katavi. Hayo yamesemwa na Dr solomon solomoni wakati akizungumza na Mpanda redio fm na kuainisha kuwa mlipuko wa surua unaathiri zaidi watoto chini ya…