Afya
Machi 4, 2023, 8:31 um
Wahimizwa Matumizi Bora ya Vyoo Makete
Mtaalamu wa Afya na Mazingira akitoa maelezo namna ya kutumia choo cha Kisasa
4 Machi 2023, 6:05 um
Usafi shule za msingi waelezwa chanzo cha magonjwa ya kuambukiza
MPANDA Baadhi ya wazazi na walezi halmashuri ya manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa Maoni ya usafi wa vyoo katika shule za msingi na kuomba serikali kuendelea kusimamia ili kuwanusuru wanafunzi na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo UTI. Wakizungumza na kituo…
4 Machi 2023, 5:09 um
Tayobeco yaendelea kuhamasisha chanjo ya Uviko-19
MPANDA. Shirika lisilo la kiserikali la Tayobeco Linalojihusisha na kuboresha afya ya vijana katika Nyanja mbalimbali Limezindua Mradi wa boresha habari katika manispaa ya mpanda Mkoani katavi lengo ni kuhamasisha vijana na wanawake kujitokeza katika kupata chanjo ya uviko 19.…
Machi 3, 2023, 2:42 um
Elimu ya Afya na Lishe yatolewa kwa Wanawake
Afisa Lishe Wilaya ya Makete Bi. Jackline Nanauka kulia akiwa kwenye zoezi la upimaji wa urefu kwa Umri kwa watoto waliochini ya miaka mitano Kijiji cha Ivalalila
1 Machi 2023, 4:27 um
Shule ya msingi Chihoni yapokea msaada wa vyandarua
Halmshauri ya jiji la Dodoma inaendelea na zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule za Msingi na awali ambapo jumla ya wanafunzi wapatao 122,000 kutoka shule 158 wanatarajiwa kupatiwa vyandarua. Na Fred Cheti. Wanafunzi wa Shule ya Msingi…
1 Machi 2023, 3:48 um
Wakazi wa Kisangwa Bunda walia na choo mnadani.
Wakaazi wa Kisangwa kata ya Mcharo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wamelalamikia ukosefu wa huduma ya choo katika mnada wa Kisangwa jambo linalohatarisha usalama wa afya zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm wamesema kukosekana kwa usimamizi katika choo…
1 Machi 2023, 2:24 um
Wodi yazinduliwa Kilolo -Wanawake kunufaika
Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…
28 Febuari 2023, 6:18 um
Serikali yasaini mkopo nafuu kuboresha huduma za Afya
Huduma zitakazo boreshwa ni pamoja na kupunguza vifo vya mama na mtoto, kuboresha huduma za dharura, kuboresha rasilimali watu katika Sekta ya afya, kuboresha utendaji na ufanisi kwenye ngazi ya zahanati. Na Pius Jayunga. Serikali ya Tanzania na Banki kuu…
26 Febuari 2023, 11:30 mu
Jamii imeaswa kusikiliza vyombo vya habari ili kuimarisha matumizi ya Kiswahili
Jamii imeaswa kuendelea kusikiliza vyombo vya habari ili kujiimarisha zaidi katika matumizi ya lugha ya kiswahili na kuifanya lugha hiyo iendelee kukua na kuenea katika maeneo mbalimbali duniani. Wito huo umetolewa leo tarehe 24 FeB 2023 kupitia Ziara ya Wanafunzi…
24 Febuari 2023, 4:20 um
Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba
Licha ya kupata huduma katika zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino lakini bado kasi ya upatikanaji dawa imekuwa ni ndogo. Na Victor Chigwada. Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino imetajwa kuwa sababu ya wananchi…