Afya
22/03/2023, 18:26
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Marburg
Ugonjwa huu huambukizwa kutoka kwa Binadamu mmoja kwa mwingine hususani kwa njia ya kugusa majimaji ambayo yanaweza kuwa mate , mkojo, damu, machozi au kinyesi yatokayo kwenye maiti au Mgonjwa mwenye dalili, maambukizi pia yanaweza kutoka kwa Wanyama kwenda kwa…
22/03/2023, 15:46
Serikali yadhamiria kudhibiti na kutokomeza kifua kikuu
Immelezwa kuwa watu wenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kifua kikuu(TB) ni pamoja na wale wanaoishi katika makazi duni, Watoto, Wavuvi na wanafunzi wanaoishi bweni. Serikali imedhamiria kuendelea kushirikiana na wadau katika sekta zote ili kudhibiti na kutokomeza ugonjwa…
21 Machi 2023, 7:20 um
Waadventista Wasabato Ifakara wachangia Damu
Kutokana na changamoto ya upatikanaji wa Damu katika maeneo ya kutolea huduma za Afya,Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato-Ifakara wamejitokeza kuchangia Damu ili kuiunga mkono Serikali. Na Katalina Liombechi Jumla ya Chupa 36 za Damu zimepatikana baada ya watu waliojitokeza…
21/03/2023, 17:39
Dkt. Mollel azungumza na wataalamu wa Afya.
Na Pius Jayunga. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka Wataalamu wa Afya kutomchukia pindi anapofanya maamuzi ya kumtoa Mganga Mkuu wa Wilaya kwani hufanya hivyo kwa nia njema ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi. Dkt. Mollel ametoa…
21 Machi 2023, 12:47 um
Wanaoishi maisha duni hatarini kupata ugonjwa wa kifua kikuu
Imeelezwa kuwa Jamii inayoishi katika Makazi Duni ipo hatarini kuugua Ugonjwa wa Kifua kikuu kutokana na hali zao za Maisha na Mfumo wa Maisha wanayoishi.. Hayo yameelezwa na Mratibu wa Mapambano dhidi ya Kifua Kikuu kutoka Muungano wa Wadau wa…
20 Machi 2023, 4:54 um
Kisa kupimwa VVU wanaume kutowasindikiza wake zao kliniki
MPANDA Hofu ya kukutwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi imetajwa kuwa ni moja ya sababu kwa baadhi ya wanaume katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kushindwa kuwasindikiza wenza wao kwenye vituo vya kutolea huduma za kilinic pindi…
17/03/2023, 17:04
Mapambano dhidi ya upungufu wa kuona unao epukika ifikapo 2030 yaendelea…
Kwa mujibu wa makadirio ya shirika la afya duniani WHO Sababu kubwa zikiwa ni mtoto wa jicho na shinikizo la macho. Na Mindi Joseph. Watu wenye matatizo ya kuona kwa kiwangao cha kati na cha juu hapa nchini wanakadiriwa kuwa…
16/03/2023, 14:43
Manispaa ya Mtwara yaanza kutoa chanjo ya Surua na Rubella
Na Gregory Millanzi. Kutokana na uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa Surua na Rubella wataalamu wa afya kupitia kitengo cha afya kinga Manispaa ya Mtwara-Mikindani wameendelea kutoa huduma ya chanjo ya Surua na Rubella kwa watoto wenye umri chini ya…
14 Machi 2023, 5:20 um
WAKAZI ZAIDI YA 120,000 WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU HAWAJACHANJA CHANJO YA CO…
Na Alex Faida Sayi. Halimashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu kupitia wataalamu wa Afya na waratibu wa chanjo Wilayani hapo imejipanga kuhakikisha inawafikia wakazi zaidi ya (120,000) ambao hawakuweza kuchanja chanjo ya Covid 19,tangu zoezi hilo lilipoanza kutekelezwa Augost.21.2021,huku ikiwaasa…
13/03/2023, 17:49
Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo
Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji Figo umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…