Afya
12 April 2023, 5:37 pm
Wakuu wa Taasisi za Afya watakiwa kuboresha huduma za Afya
Katika Mkutano huo wa Baraza la Wafanyakazi, wajumbe watapitia na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mwelekeo wa sekta ya afya hususani suala la ubora wa huduma. Na Pius Jayunga. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu mapema leo amefungua Mkutano wa Baraza…
11 April 2023, 5:17 pm
Yafahamu makundi yanayopaswa kupatiwa PREP
Afisa Tabibu Glory Martin kutoka zahanati ya makole leo akiendelea kuzungumzia makundi hayo. Na Yussuph Hassan. PrEP ni matumizi ya dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU, ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU, dawa kinga…
10 April 2023, 1:20 pm
Yafahamu matumizi sahihi ya PrEP na PEP
Inaelezwa kuwa dawa hizi za PrEP na PEP kama zitatumika kwa usahihi zinaweza kuzuia maambukizi ya VVU. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa matumizi ya sahihi ya dawa kinga za PrEP na PEP, ni moja wapo kati ya njia salama ya…
8 April 2023, 13:28 pm
Makala: Fahamu namna dawa za kulevya zinavyomuathiri mtoto tumboni
Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama mwenyewe na kwenye mfumo wake wa uzazi na kupelekea mtoto kuathirika moja kwa moja kama ambavyo mama anaathirika kwa dawa hizo, na kupelekea mtoto kuwa na uraibu na wakati mwingine husababisha…
7 April 2023, 5:23 pm
Zifahamu athari za ugonjwa wa P.I.D
Je mtu asipopata tiba au kutozingatia tiba aliyopewa atapata athari gani. Na Yussuph Hassan. Tukiendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo matibabu yake na leo tunazungumzia juu athari…
6 April 2023, 4:34 pm
Ifahamu tiba ya maambukizi ya via vya uzazi vya Mwanamke P.I.D
Huu ni mfululizo wa makala hii ya Afya ambapo kipindi kilicho pita tulingazia kuhusu P.I.D ni nini Na Yussuph Hassan. Tunaendelea na mfululuzo wa kuzungumzia juu ya Maambukizi ya via vya uzazi vya mwanamke P.I.D, baada ya kufahamu chanzo na…
6 April 2023, 2:29 pm
Wananchi Nguji kuondokana na tatizo la huduma za afya
Jengo la zahanati ya nguji ni miongozi mwa majengo mapya zaidi ya saba ya kutolea huduma za afya yanayoendelea kujengwa wilayani Bahi. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Nguji wilayani Bahi wanatarajia kuondokana na tatizo la kukosa huduma za…
4 April 2023, 3:48 pm
Ufahamu ugonjwa wa P.I.D
Maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke yanayosababishwa na bakteria wakati mwingine huweza kupelekea ugumba. Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi P.I.D ni moja kati ya magonjwa ya zinaa yanayoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke endapo hatapatiwa tiba kwa wakati.
3 April 2023, 2:57 pm
Wazee wa Kimila washirikiana na wataalamu wa afya kuhamasisha chanjo ya Uviko-19…
Viongozi wa Kimila Mkoani Iringa wametajwa kuwa sababu ya wananchi kujitokeza kupata chanzo ya Uviko-19. Na Ashura Godwin Wananchi Mkoani Iringa wameanza kuwa na mwamko wa kupata chanjo ya uviko-19 baada ya kupata elimu na hamasa kutoka kwa viongozi wa…
30 March 2023, 7:23 pm
Halmashauri zatakiwa kuhakikisha watoto wanapatiwa chanjo
Amewataka wataalamu wa afya kila wanapo kwenda kufanya huduma za mkoba lazima na huduma ya utoaji chanjo iwepo . Na Alfred Bulahya Serikali kupitia Wizara ya Afya imewataka Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri nchini kuhakikisha watoto wote chini ya…