Afya
19 April 2023, 1:19 pm
Aina za ugonjwa wa Ukoma na tiba zake
Zipo aina mbili za ukoma je ni zipi hizo? Na Yussph Hassan. Leo Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu anazungumzia juu ya aina za Ugonjwa wa ukoma na tiba zake.
19 April 2023, 12:42 pm
Waziri Ummy aitaka Mirembe kujikita katika kukuza afya ya akili
Kituo hicho kitahusisha huduma za tiba ya akili, tafiti mbalimbali za maradhi hayo, mafunzo ya Afya za akili na kuhamasisha jamii kuwa na uelewa juu ya Afya ya akili. Na Alfred Bulahya Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameitaka Bodi…
18 April 2023, 8:45 pm
Idadi ya Watu Kwenda Kupata Chanjo Yaongezeka
MPANDA Idadi ya watu wanaojitokeza kwenye vituo vinanyotolea huduma za Chanjo imeongezeka kutokana na hamasa inayotolewa na Serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali kufanya watu waone umuhimu wa chanjo ya UVIKO 19 na chanjo za aina nyingine . Mratibu msaidizi…
18 April 2023, 4:49 pm
Zifahamu dalili za Ukoma
Ufahamu ugonjwa wa ukoma na dalili zake. Ugonjwa wa ukoma huambatana na dalili mbalimbali ambapo dalili hizo huchukua muda kujitokeza na leo tukiendelea kufahamu dalili zake na Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu baada ya…
18 April 2023, 2:10 pm
Mbunge Midimu Aiomba Serikali kuwapatia Jokofu la Maiti na genereta Hospital ya…
Hospital ya Wilaya ya Itilima imekuwa ikitoa huduma za afya kwa wananchi wengi huku ikibaliwa na changamoto ambazo serikali imeombwa kuzitatua. Na Hafidh Ally Hospitali ya Wilaya ya Itilima iliyopo Mkoa wa Simiyu inakabiliwa na Changamoto ya ukosefu Jokofu la…
17 April 2023, 2:45 pm
Hospitali ya wilaya Bahi kuanza kutoa huduma za watoto Njiti
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa halmashauri ya wilaya ya Bahi zaidi ya miaka kumi iliyopita, wananchi wameanza kupata huduma muhimu za afya ambazo walizifuata katika hospitali ya mkoa wa Dodoma lakini kwa sasa huduma zote zinapatikana wilayani Bahi.…
17 April 2023, 1:55 pm
Ugonjwa wa ukoma ni nini
Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia ugonjwa wa ukoma ambao, ugonjwa huo unaambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwenda kwa mtu mwingine kwa njia ya hewa. Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu unaotokana na ukoma anaanza na…
14 April 2023, 4:59 pm
Kabati aiomba Serikali Kufuta Kodi ya vifaa tiba.
Kodi za vifaa tiba zinapelekea vifaa hivyo kuchelewa bandarini kutokana na kutokuwepo kwa mpango mzuri wa kuviruhusu ili vikatoe huduma kwa wagonjwa. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kuweka mpango mkakati wa kuondoa Kodi ya vifaa tiba kutoka Bandarini ili viweze…
13 April 2023, 3:53 pm
Ifahamu dawa aina ya PEP
Hii ni njia ya kuzuia maambukizi ya VVU kwa mtu asiye na VVU ambaye anaweza kuwa ameambukizwa virusi hivi Na Yussuph Hassan. Tunaendelea na mfululizo wa kuzungumzia juu ya dawa kinga za VVU, Prep na Pep, na leo Afisa Tabibu…
13 April 2023, 1:37 pm
Mbunge Kabati aibana serikali kujenga kituo Cha afya Kimara Wilaya ya Kilolo
Wananchi Kata ya Kimara Wilaya ya Kilolo wanakutana na changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya kutokana na kutokuwepo kwa kituo Cha afya. Na Hafidh Ally Serikali imeombwa kujenga kituo cha afya katika Kata ya Kimara Wilaya ya…