Afya
18 May 2023, 7:08 am
Maswa: Elimu ya chanjo ya Uviko-19 bado inahitajika sana kwa jamii
Kwenye picha ni mmoja wa wananachi wa wilaya ya Maswa akionesha cheti chake baada ya kupata chanjo ya Covid-19 Na Alex.F.Sayi Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu, wamewashukuru wadau wa afya Internews na Tadio katika mapambano ya ugonjwa wa Korona kwa kuwakumbusha…
16 May 2023, 6:00 pm
TMDA yakabidhi dawa na vifaa tiba kwa mkuu wa Gereza la Msalato
Vifaa tiba na Dawa zilizokabidhiwa leo na TMDA vimetokana na kaguzi zilizofanywa na Mamlaka hiyo na kuondosha katika soko la dawa ambayo vinafaa kwa matumizi lakini kwa mujibu wa sheria ya dawa na vifaa tiba ,dawa havikupaswa kuuzwa ama kutumika…
15 May 2023, 8:10 pm
Wananchi wahimizwa kuendelea kuchangia damu
Uchangiaji wa Damu bado unatajwa kuwa muhimu katika kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji. Na Mindi Joseph. Mwitikio wa Wanafunzi,Taasisi na wadau mbalimbali kuchangia Damu umetajwa kuondoa uhaba wa damu na kuvuka malengo ya uchangiaji katika kitengo cha Damu salama…
12 May 2023, 1:41 pm
Wauguzi Pangani waombwa kuboresha mawasiliano kwa wagonjwa
Na Erick Mallya Ikiwa leo ni siku wa wauguzi duniani,wauguzi wilayani pangani mkoani tanga wameombwa kuboresha mahusiano na mawasliano baina yao na wagonjwa Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wilayani pangani walipozungumza na pangani FM katika ripoti maalum ya maadhmiho…
12 May 2023, 5:50 am
Nsimbo Walia na Utapiamlo
MPANDA. Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi inakabiliwa na changamoto ya utapia mlo licha ya kuzalisha mazao mengi ya chakula. Hayo yamesemwa na kaimu mganga mkuu hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Nsimbo daktari Wambura Waryoba katika mkutano wa taarifa kwa…
11 May 2023, 5:06 pm
Watumishi wa Afya waaswa kuepuka uchepushaji wa dawa zenye asili ya kulevya
Mafunzo ya wasimamizi wa dawa tiba zenye asili ya kulevya yamehusisha wataalamu wa afya kutoka vituo mbalimbali Dodoma lengo ikiwa kuhakikisha dawa hizo zinaendelea kutumika katika lengo lako sahihi la kutibu. Na Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa watumishi wa afya…
10 May 2023, 8:01 pm
Hospitali ya Benjamini Mkapa yazindua huduma ya upandikizaji Uloto
Nchi ya Tanzania inashika nafasi ya 4 kuwa na wangojwa wengi ulimwenguni wa Selimundu huku wenye watoto Elfu 11000 kwa mwaka wanaweza kufa kabla ya kufikisha umri wa miaka 5 sawa na asilimia 50 hadi 90. Na Mariam Kasawa. Waziri…
10 May 2023, 4:01 am
Wananchi Katavi Waneemeka Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani
KATAVI Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Wauguzi duniani Wananchi wa mkoa wa Katavi wameombwa kujitokeza katika viwanja vya kashaulili kwa ajili ya kupima na kupatiwa matibabu bure. Akizungumza katika uzinduzi huo mgeni rasmi mstahiki meya wa manispaa ya Mpanda…
8 May 2023, 2:59 pm
Zifahamu dalili za hatari kwa mama mjamzito
Je ni dalili zipi hizo ambazo ni hatari kwa mama mjamzito? Na Yussuph Hassan. Leo tunazugumzia dalili hatari kwa Mama mjamzito ambapo Dkt Abdallah Majaliwa kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma anaeleza kuhusu dalili hizo.
5 May 2023, 4:06 pm
Nini unatakiwa kufanya unapo baini dalili za usonji kwa mtoto
Le Dkt Arapha anaeleza hatua zinazopaswa kuchuliwa unapoona dalili za Usonji kwa mtoto. Picha na Yussuph Hassan. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia nini cha kufanya endapo mzazi au mlezi akiona dalili za mtoto mwenye usonji, tunaungana na Dkt Arapha…