Afya
21/06/2023, 16:54
Jamii yahimizwa kutumia maziwa kwa wingi kujenga afya
katika kuadhimisha wiki ya utumishi wa umma bodi ya maziwa imefika katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kutoa elimu ya umuhimu wa kutumia maziwa salama pamoja na kugawa maziwa katika baadhi ya wodi za wagonjwa…
Juni 21, 2023, 7:47 mu
Hospitali wilaya Makete yapokea jokofu la kuhifadhia maiti
Mapokezi ya Jokofu la kuhifadhia Maiti Hospitali ya Wilaya ya Makete
16 Juni 2023, 7:20 um
Wananchi Dilifu wajitokeza kuchangia damu
MPANDA Wananchi wa kijiji cha Dilifu kata ya Magamba manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamejitokeza kuchangia damu katika kuadhimisha siku ya Wachangiaji damu Duniani. Wakizungumza na Mpanda Radio Fm wananchi hao wamesema kuwa wameamua kutoa damu ili kuweza kuwasaidia wanaohitaji…
16/06/2023, 14:28
Vijana Kikuyu waipongeza serikali kuwasogezea huduma, elimu ya Afya
Katika kata ya Kikuyu Kaskazini watu 103 wamepata elimu na kupima masuala ya lishe ambapo asilimia 12.6% walibainika na utapiamlo, watu 80 wakipata elimu juu ya Magonjwa yasiyo ya kuambukiza na Bonanza hilo linatarajiwa kuhitimishwa siku ya kesho Jumamosi Makulu.…
16/06/2023, 13:54
Vijana Kongwa wapokea bonanza la afya
Afisa lishe wilaya Kongwa Bi. Maria Haule amesema vijana lika balehe wakike wanatakiwa kujenga utaratibu wa kula vyakula vinavyoongeza damu ili kusaidia kurudisha damu inayopotea wakati wa hedhi. Na Bernadetha Mwakilabi. Wilaya ya Kongwa imepongeza na kushukuru wizara ya afya…
14/06/2023, 18:00
Vituo vya afya vyatakiwa kununua majokofu ya kuhifadhia mazao ya damu
Tanzania leo imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha siku ya Wachangia Damu Duniani ambayo inalenga kuongeza ufahamu na kuwashukuru wafadhili wa damu wa hiari, wasiolipwa kwa zawadi zao za kuokoa maisha. Na Mindi Joseph. Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu…
14/06/2023, 15:24
Asilimia 97 watumiaji dawa wamefanikiwa kufubaza virusi vya Ukimwi
Waziri Ummy ametoa wito kwa Watanzania kwenda kupima kujua hali zao lakini kwa ambao wanajua hali zao dawa za UKIMWI zipo na zinatolewa bila malipo na vipimo vya kujipima mwenyewe vipo kwahiyo Watanzania wajitokeze kupima ili tutokomeze UKIMWI ifikapo mwaka…
Juni 9, 2023, 7:51 mu
Dawa za P2 si kila mtu anapaswa kuitumia
Dawa za P2 ni kwa ajili ya Dharura na si vinginevyo
Juni 8, 2023, 10:23 mu
Wanaume washauriwa kuona wataalam tatizo nguvu za kiume
Wanaume washauriwa kwenda kwa Wataalamu tatizo la Nguvu za Kiume
07/06/2023, 18:18
Serikali yatenga zaidi ya milioni 725 kuzuia, kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza
Dkt. Mollel amesema hayo, leo Juni 7, 2023 wakati akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu Mhe. Bernabetha Kasabago Mushashu katika Bunge la kumi na mbili Mkutano wa kumi na moja kikao cha 42, Jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. NAIBU…