Afya
24 Mei 2023, 6:56 um
Timu ya madaktari bingwa kuweka kambi Makole na Mkonze
Wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kupata huduma kutoka kwa madaktari hao. Na Fred Cheti. Timu ya madaktari bingwa kutoka sehemu mbalimbli nchini inatarajia kuweka kambi ya siku mbili katika vituo vya afya vya Makole na Mkonze kwa ajili ya…
22 Mei 2023, 1:10 um
Timu ya wataalam yaundwa kutekeleza mpango mkakati wa dhana ya Afya Moja
Na Katalina Liombechi Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na uhifadhi wa wanyamapori Afrika (AWF) kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri Mkuu, IUCN na wadau wengine wameunda timu ya wataalam kutoka katika bonde la Kilombero kutekeleza mpango mkakati wa Ofisi ya…
18 Mei 2023, 4:16 um
Maswa: Zaidi ya wananchi laki mbili wamepata chanjo ya covid-19
Kwenye ni mkuu wa kitengo cha Usafi na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi laki mbili Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
18 Mei 2023, 7:08 mu
Maswa: Elimu ya chanjo ya Uviko-19 bado inahitajika sana kwa jamii
Kwenye picha ni mmoja wa wananachi wa wilaya ya Maswa akionesha cheti chake baada ya kupata chanjo ya Covid-19 Na Alex.F.Sayi Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu, wamewashukuru wadau wa afya Internews na Tadio katika mapambano ya ugonjwa wa Korona kwa kuwakumbusha…
16 Mei 2023, 6:00 um
TMDA yakabidhi dawa na vifaa tiba kwa mkuu wa Gereza la Msalato
Vifaa tiba na Dawa zilizokabidhiwa leo na TMDA vimetokana na kaguzi zilizofanywa na Mamlaka hiyo na kuondosha katika soko la dawa ambayo vinafaa kwa matumizi lakini kwa mujibu wa sheria ya dawa na vifaa tiba ,dawa havikupaswa kuuzwa ama kutumika…
15 Mei 2023, 8:10 um
Wananchi wahimizwa kuendelea kuchangia damu
Uchangiaji wa Damu bado unatajwa kuwa muhimu katika kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji. Na Mindi Joseph. Mwitikio wa Wanafunzi,Taasisi na wadau mbalimbali kuchangia Damu umetajwa kuondoa uhaba wa damu na kuvuka malengo ya uchangiaji katika kitengo cha Damu salama…
12 Mei 2023, 1:41 um
Wauguzi Pangani waombwa kuboresha mawasiliano kwa wagonjwa
Na Erick Mallya Ikiwa leo ni siku wa wauguzi duniani,wauguzi wilayani pangani mkoani tanga wameombwa kuboresha mahusiano na mawasliano baina yao na wagonjwa Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wilayani pangani walipozungumza na pangani FM katika ripoti maalum ya maadhmiho…
12 Mei 2023, 5:50 mu
Nsimbo Walia na Utapiamlo
MPANDA. Halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi inakabiliwa na changamoto ya utapia mlo licha ya kuzalisha mazao mengi ya chakula. Hayo yamesemwa na kaimu mganga mkuu hospitali ya halmashauri ya wilaya ya Nsimbo daktari Wambura Waryoba katika mkutano wa taarifa kwa…
11 Mei 2023, 5:06 um
Watumishi wa Afya waaswa kuepuka uchepushaji wa dawa zenye asili ya kulevya
Mafunzo ya wasimamizi wa dawa tiba zenye asili ya kulevya yamehusisha wataalamu wa afya kutoka vituo mbalimbali Dodoma lengo ikiwa kuhakikisha dawa hizo zinaendelea kutumika katika lengo lako sahihi la kutibu. Na Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa watumishi wa afya…
10 Mei 2023, 8:01 um
Hospitali ya Benjamini Mkapa yazindua huduma ya upandikizaji Uloto
Nchi ya Tanzania inashika nafasi ya 4 kuwa na wangojwa wengi ulimwenguni wa Selimundu huku wenye watoto Elfu 11000 kwa mwaka wanaweza kufa kabla ya kufikisha umri wa miaka 5 sawa na asilimia 50 hadi 90. Na Mariam Kasawa. Waziri…