Radio Tadio

Afya

29 Agosti 2025, 5:16 um

Marufuku watoto kwenye Mabanda ya video Geita Road

Sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2008 inaweka bayana wajibu wa jamii, wazazi na serikali kulinda watoto dhidi ya vitendo vinavyoweza kuathiri makuzi yao. Na Mwandishi Wetu: Mwenyekiti wa mtaa huo Pelana Bagume amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya…

27 Agosti 2025, 8:26 um

Wenza washauriwa kuacha kujirekodi picha za faragha

“Ni vyema jamii ikajikita kuandaa maudhui yatakayo wasaidia kuleta maendeleo” Kufuatia matukio mbalimbali ya kusambaa kwa picha mjongeo za faragha kwenye mitandao ya kijamii,wenza wametahadharishwa juu ya tabia ya kupiga picha hizo kwani ni kinyume cha sheria ya makosa ya…

Agosti 23, 2025, 1:39 um

Jeshi la Magereza Ngara laadhimisha miaka 64

Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…

24 Julai 2025, 15:30

Neema yawashukia wakulima wa kahawa Kasulu

Halamshauri ya Wilaya Kasulu imepanga kuzalisha miche milioni moja  ya kahawa ili kutoa fursa kwa wakulima  wengi kufikiwa na kuongeza tija ya uzalishaji wa zao hilo. Na Emmanuel Kamangu Wakulima wa zao la kahawa katika kijiji cha Kibirizi kata ya…

18 Julai 2025, 13:11

Kilimo cha chikichi chawa lulu Kasulu

 Kilimo cha zao la mchikichi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimeanza kuleta mafanikio kiuchumi kwa wakulima kufuatia usambazaji wa mbegu bora aina ya Tenera. Na Emmanuel Kamangu Wananchi wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa ya…

18 Julai 2025, 11:01 mu

Wafanyabiashara wa Mashine tatu wapelekwa Mlandege

Zoezi hilo limefanyika katika soko la Machinga lililopo eneo la Mlandege, likihusisha Umoja wa wafanyabiashara , idara ya masoko, maendeleo ya jamii na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa. Na Godfrey Mengele Serikali ya Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana…