Baraka FM

Uncategorised

16 April 2024, 15:50

Chunya yaanza maandalizi mapokezi ya mwenge wa uhuru

Maandalizi yaendelea wilaya ya Chunya kupokea mbio za mwenge wa uhuru utakaopokelewa mwezi wa nane mkoani Mbeya mwaka huu. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa wilaya ya Chunya Mhe. Mbarak Alhaji Batenga, mapema leo amefungua kikao kazi cha maandalizi ya mbio…

16 April 2024, 15:34

Kambi ya madaktari bigwaa Mbeya yaleta furaha kwa wananchi

Wananchi mkoani Mbeya wamepata huduma za matibabu bure kupitia Hospitali ya Kanda ya Rufaa Mbeya. Na Ezra Mwilwa Kutokana na ushirikiano wa wataalamu wa Afya kutoka Hospital ya Taifa Mhimbiri kuweka kambi Mbeya matunda ya kambihiyo, wananchi 280 wamenufaika Dkt.…

14 April 2024, 20:34

Mlima Kawetere wameguka, mifugo yapotea, nyumba zabomoka

Wakati mvua zikiendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini na kasababisha madhara kwenye jamii, hali hiyo sasa imeukumba mkoa wa Mbeya baada ya mvua kunyesha na kusababisha mlima kumeguka na tope lake kuzingira makazi ya watu. Na Josea Sinkala,Mbeya Zaidi ya nyumba…

13 April 2024, 11:16

Moravian Jimbo la Kusini yaendesha semina kwa watumishi wake

Wanasema elimu haina mwisho,unapopata fursa ya kupata elimu huna bidi kuikimbia na badala yake unapswa kuiwa mpokeaji ili kukuongezea ujuzi kwenye jambo unalolifanya au kulisimamia. Na Mwandishi wetu Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini limeendesha Semina ya pili kwa…

11 April 2024, 18:00

Machifu Mbeya wachafukwa TARI kulima juu ya makaburi

Baadhi ya wananchi wa kata Ituha jijini Mbeya wamekerwa na kitendo cha Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) kituo cha Uyole kuvamia maeneo yao waliozika ndugui zao. Na Josea Sinkala Serikali wilayani Mbeya imeanza mchakato wa kumaliza mgogoro wa ardhi…

8 April 2024, 20:02

Wachungaji kemeeni mambo ya ushoga unaoendelea duniani

“Tumieni elimu na maarifa mliyoyapata vyuoni kuuaminisha ulimwengu juu ya imani ya kumtegemea Mungu na siyo fedha.” Na Ezra Mwilwa Wachungaji waliopo masomoni Chuo Kikuu Teofilo Kisanji na Chuo cha Itengule Mbeya wametakiwa kuendelea kukemea maswala ya ushoga yanayoendelea duniani.…