Uncategorised
12 December 2023, 19:23
Mbunge Sikonge Tabora aipongeza halmashauri ya Rungwe Mbeya
Na mwandishi wetu,Rungwe Mbeya Mheshimiwa Joseph Kakunda Mbunge wa Jimbo la Sikonge Mkoa wa Tabora ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa Kuzalisha zaidi ya lita za maziwa million 44 kwa mwaka hatua iliyoongeza kipato cha wananchi sambamba na uboreshaji…
9 December 2023, 08:00
Mkuu wa mkoa wa Songwe akabidhi msaada kwa wafungwa gereza la vwawa
Na mwandishi wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt Francis K. Michael kwa kushirikiana na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Songwe amekabidhi Tarehe 07 Desemba,2023 msaada wenye thamani ya zaidi shilingi milioni 3 kwa wafungwa wa Gereza la…
5 December 2023, 14:58
Rungwe kupokea vitambulisho vya taifa 69,638
Na mwandishi wetu Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu amezindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya taifa (NIDA) leo tarehe 5.12.2023. Zoezi limezinduliwa katika kata ya Kyimo tarafa ya Ukukwe. Mhe Haniu ameeleza kuwa jumla ya vitambulisho 69638…
13 November 2023, 18:50
Dkt.Tulia apokelewa kwa shangwe Mbeya
Na Hobokela Lwinga Mapokezi ya spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na rais wa umoja wa mabunge duniani Dkt. Tulia Ackson mkoani Mbeya hasa jimboni kwake Mbeya mjini yamefanyika kwa kishindo na ubora mkubwa. Wakati hafla hiyo…
4 November 2023, 07:01
RC Songwe aagiza kukamatwa wahusika waliokatisha ndoto za wanafunzi msingi na se…
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael, amemwagiza Afisa Elimu Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na taasisi zingine likiwemo Jeshi la Polisi kuwasaka watu wote waliohusika kuwakatisha masomo wanafunzi wa shule za msingi na sekondari na kueleza hatua zilizochukuliwa…
14 October 2023, 06:16
LATRA yatoa msimamo wa upandaji wa nauli za daladala Mbeya
Madereva mbeya wamekuwa na mgomo ambao umepelekea changamoto ya ukosefu wa usafiri,na baadhi ya wahudumu kuwatoza abria nauli ya shilingi 700 kutoka mbalizi hadi kabwe tofauti na nauli ya awali ya shilingi 500. Mamlaka Ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA mkoa…
11 October 2023, 16:34
Nyimbo za chadema zakwamisha mkutano wa Mwabukusi, aitwa na jeshi la polisi Mbey…
Kila nchi ina utaratibu wake katika kujiongoza, Tanzania ni moja ya nchi inayoongozwa kwa mujibu sheria kupitia katiba ya nchi na katika hali hiyo hakuna mtu ambaye yupo juu ya sheria hivyo kila mtu anapaswa kutii na kuheshimu uwepo wa…
8 October 2023, 07:17
Wasichana 700 shule ya sekondari Kayuki wapewa taulo za kike
Jukumu la malezi ni la kila mtu, katika kuwezesha mabinti ili kupata elimu kwenye mazingira bora huna budi kuhakikisha mabinti hao wanafunzi wanawekwa kwenye mazingira mzuri kila wakati. Na mwandishi wetu Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya ambaye pia…