Baraka FM

Uncategorised

23 April 2024, 11:42

T.A.G Galilaya laadhimisha miaka 85 kwa kupanda miti

Utunzaji wa mazingira hautegemei mtu mmoja au kikundi fulani bali utunzaji wa mazingira unamtegemea kila mtu kutokana na kwamba kila kiumbe hai kinategemea mazingira safi na bora katika eneo alikopo, zipo athali mbali ambazo zinaweza kujitokeza katika uharibifu wa mazingira…

17 April 2024, 21:17

Rais Samia mgeni rasmi wakfu wa askofu mteule Moravian

Taasisi za dini ni miongoni mwa taasisi ambazo zimekuwa mchango mkubwa wa kutunza, kulinda amani ya taifa hali hiyo inathibitishwa na maridhiano yaliyopo baina ya taasisi za dini pamoja na serikali. Na Hobokela Lwinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

17 April 2024, 12:12

Mvua yakata mawasiliano ya miundombinu ya barabara Rungwe, Mbeya

Katika hali isiyotarajiwa wakazi wa kata ya Kapugi na Lyenje wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wamekutana na adha ya kuharibika kwa miundombinu ya barabara iliyokuwa ikiwaunganisha na kusababisha shughuli mbalimbali za kiuchumi kusimama. Na Ezra Mwilwa Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha…

16 April 2024, 16:58

Dkt.Nchimbi atua Mbeya kwa kishindo

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dkt. Emmanuel Nchimbi ameendelea na ziara yake ya mkoa kwa mkoa na sasa ametua mkoani Mbeya baada ya kutoka kwenye ziara katika mikoa ya Katavi,Rukwa na Songwe. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya…