Adhana FM
Adhana FM
6 October 2021, 6:20 am
Radio Adhana WASAFIRI wanaondoka nchini wametakiwa kutuma maombi kwa njia ya mtandao ya kipimo cha uviko 19 ili kupunguza msongamano wakati wa kusafiri na kusababisha kuchelewa kwa wasafiri. Afisa dhamana huduma za afya uwanja wa ndege Nassor Hamad Said amesema…
2 October 2021, 9:48 am
Na Ali Khmais, Zanzibar Majadiliano baina ya wadau na jamii ni njia muafaka ya kutatua changamoto katika masuala ya usafi wa mazingira ili kuiepusha jamii kukumbwa na maradhi ya mripuko. . Katika majadiliano yaliyowaleta pamoja serikali na wadau, imebainishwa kuwa…
2 October 2021, 8:46 am
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ameitaka jamii kuweka kipaumbele jukumu la kuwalea wazee na kuwapa matunzo na huduma za msingi. Hemed ametoa kauli hiyo katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wazee duniani kilichofanyika katika…
30 September 2021, 5:17 am
Makamu Wa Kwanza Wa Rais Wa Zanzibar Othman Masoud Othman, Amewataka Walimu Kushirikiana Na Taasisi Mbali Mbali Katika Kuandaa Mkakati Shirikishi Utakaongoza Na Kusimamia Mapambano Dhidi Ya Unyanyasaji Wa Watoto. Akifungua Kongamano La Walimu Huko Katika Ukumbi Wa Sheikh Idrissa…
29 September 2021, 7:36 pm
Na mwandishi wetu, Wilaya Kusini Unguja. Jumuiya Ya Viziwi Zanzibar Imesema Kundi Kubwa La Watu Wenye Ulemavu Wa Uziwi Liko Nyuma Kimaendeleo Hususan Vijijini. Mwenyekiti Wa Jumuiya Viziwi Zanzibar Bi Asha Ali Haji Ameyaeleza Hayo Mara Baada Ya Kufanya Kazi …
29 September 2021, 7:05 am
28 September 2021, 10:35 am
Na Ali Khamis, Wilaya ya Magharib B Shirika la Centre for Community Initiaties (CCI) Tanzania limetoa pendekezo kwa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kutoa eneo maalumu la kiuchumi litalotumika kuwekeza viwanda vidogo kwa vikundi vya wajasiriamali wa hali ya chini.…
PROFILE OF RADIO ADHANA FM
In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.
The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.
MISSION
The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )
VISSION
To be the first credible radio station in Zanzibar
LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.
PROGRESS AND SUCCESS
The concept of community radio has been accepted and thrives
The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)