Adhana FM
Adhana FM
10 August 2023, 2:41 pm
Kutokana nakuongezeka vitendo vya udhalilishaji SOS yaamua kutoa mafunzo hayo Na Ali Khamis Jamii imetakiwa kuyaendeleza mafunzo wanayotolewa na wadau mbalimbali hasa katika kudhibiti masuala ya udhalilishaji ili kuona viashiria na vitendo hivyo vinaondoka nchini. Mratibu wa Program ya malezi…
10 August 2023, 1:09 pm
Viongozi hao wamekutana nakuzungumzia Maridhiano ya kisiasa Zanzibar Na Afisi ya Makamu wa Kwanza Makamu wa Kwanza Wa Rais Wa Zanzibar Othman Massoud Othman aesema kwamba kuanza kwa vikao vya Kamati ya Pamoja ya Maridhiano ya Kisiasa Klkati ya Chama…
9 August 2023, 6:25 am
8 August 2023, 10:52 am
ACT-Wazalendo wakamilisha mzunguunko wa kwanza wa mikutano ya hadhara kwa kusisitiza umoja, mshikamano na uzalendo kwa Wazanzibari. Na mwandishi wetu. MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa ndugu Juma Duni Haji, amesema kwamba ni muhimu wazanzibari kushikama na kuwawamoja ili kutengeneza…
8 August 2023, 8:54 am
Radio Adhana FM inakukaribisha kusikiliza makala ya Elimika kuhusu kilimo cha Migomba, sikiliza sauti hapo juu ili kupata faida kuhusu ukulima wa migomba.
7 August 2023, 10:30 am
Ujenzi wa masoko unavyochangia kuondoa msongamano wa wafanyabiashara katika nchi yetu. Na Juma Haji Juma Baraza la mji Wilaya ya kaskazini A Unguja linakusudia kuondosha msongomano wa wafanyabiashara wa soko la kinyasini kwa kujenga masoko mawili makubwa yatakayotoa fursa kwa…
7 August 2023, 10:25 am
Karafuu ni zao kuu la biashara Zanzibar na sasa bei ya zao hilo imeongezwa ili kukuza kipato cha wakulima visiwani humo. Na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepandisha bei ya karafuu kutoka shilingi 14,000 hadi…
10 February 2023, 4:31 am
Na Ali Khamis, Zanzibar Waandishi wa habari Zanzibar wametakiwa kupaza sauti zao kwa mamlaka zinazohusika kuondoa vifungu vya sheria kandamizi katika tasnia habari nchini ili kuimarisha uhuru wa kujieleza na ukuaji wa demokrasia kwa maendeleo nchini. Wito huo umetolewa katika…
17 October 2021, 4:22 pm
Na Kassim Abd OMPR Makamo wa pili wa rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amewataka wadau wa utalii kubuni mbinu mpya zitakazoleta ushindani kwa kuibua vivutio vipya sambamba na kuviimarisha vivutio vyengine ili viwe na mazingira yatakayowashawishi watalii kurudi tena…
6 October 2021, 8:15 am
Na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya mafunzo ya amali Zanzibar mhandisi Bakari Ali Silima amewataka walimu kuzifahamu fursa zilizopo katika uchumi wa bluu ili kuwaelekeza vijana kufikia lengo la ukuaji wa uchumi nchini. Akizungumza katika siku ya maadhimisho…
PROFILE OF RADIO ADHANA FM
In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.
The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.
MISSION
The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )
VISSION
To be the first credible radio station in Zanzibar
LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.
PROGRESS AND SUCCESS
The concept of community radio has been accepted and thrives
The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)