Uyui news
23 April 2024, 7:10 pm
Zaidi ya wasichana 200,000 kufikiwa na chanjo ya HPV Tabora
Kampeni ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 9 hadi 14 imezinduliwa nchini naitafanyika kwa siku 5 mfululizo. Na Mohamed Habibu Wazazi na walezi wenye wasichana walio na umri wa miaka 9 hadi 14…
18 April 2024, 4:20 pm
Malalamiko 62 yapokelewa TAKUKURU Tabora
TAKUKURU imekuwa ikipokea malalamiko yanayohusiana na vitendo vya rushwa na mengine kuhakikisha yanapelekwa kwenye mamlaka husika Na Omary Khamis Jumla ya malalamiko 62 yamepokelewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Tabora katika kipindi cha mwezi…
15 April 2024, 10:52 pm
DC Mwansasu: Mkizidiwa vaeni kondomu
“Vijana ni nguvu kazi ya taifa kwahiyo lindeni afya zenu na mhakikishe mnacheza kwa uangalifu“ Na Elisha Lusatila Mkuu wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora Zakaria Mwansasu amewasihi wananchi kulinda afya zao dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI.Mwansasu ametoa rai hiyo…
13 April 2024, 6:51 pm
Wananchi Tabora waaswa kumuenzi Wakasuvi kwa uchapakazi
Marehemu Wakasuvi alikuwa mchapakazi lakini pia alikuwa na mahusiano mazuri na watu hivyo dumisheni amani na ushirikiano. Na Zaituni Juma Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka wananchi kuendelea kuyaenzi yale aliyokuwa akiyatenda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi…
19 March 2024, 4:20 pm
RC Chacha awataka watumishi kuwatendea haki wananchi
watumishi mkoani Tabora wametakiwa kufanya kazi kwa bidii huku wakiwatendea haki wananchi. Na Zaituni Juma Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka watumishi mkoani hapa kuuthamini umma wanao uongoza. Ametoa rai hiyo mara baada ya kuwasili katika ofisi ya…
12 December 2021, 7:46 pm
Mwanamke atajwa kuwa mhanga wa mabadiliko ya Tabia ya nchi
Wanawake wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwa ni wahanga wakuu wa athari za mabadiliko ya tabia nchi katika jamii Katibu mtendaji wa taasisi ya OHIDE Silesi Mali…
12 December 2021, 7:34 pm
Waandishi wahimizwa kusaidia jamii kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya nchi
Waandishi wa habari wamehimizwa kuandika na kutangaza habari kuhusu utunzaji mazingira ili kusaidia jamii na dunia kwa ujumla kuepukana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yameelezwa katika mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo waandishi wa habari katika kuandika habari za mazingira nchini…
7 October 2021, 7:53 pm
Mufti ahimiza waislam kushirikiana na serikali
Mufti Mkuu wa Tanzania sheikh Abubakar Zubeir Ally amewataka viongozi wa dini ya kiislam mkoani Tabora kuendeleza ushirikiano na viongozi wa serikali ili kuhakikisha wanafanya kazi kwa ufanisi, weledi pamoja na kuzingatia madili ya dini. Wito huo ameutoa mjini Tabora…
23 August 2021, 7:50 pm
Someni mapato na matumizi ni takwa kisheria-DC Tabora
Mkuu wa wilaya ya TABORA Dkt YAHAYA NAWANDA amemuagiza mtendaji wa kata Ya Isevya GATI ADAMU ahakikishe anasimamia suala la usomaji wa mapato na matumizi kwa wananchi kwenye kila mtaa, kisha kupeleka ripoti hiyo ofisini kwake hadi kufikia ijumaa ya…
28 July 2021, 6:42 pm
Uchunguzi miradi iliyokataliwa na Mwenge Tabora.
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa TABORA imeanzisha uchunguzi kwenye miradi 3 kati ya 35 ambayo haikuzinduliwa wakati wa mbio maalumu za mwenge wa uhuru Mkoani hapa. Akizungumza hii leo wakati wa kutoa Taarifa ya utendaji…