Tumbatu FM
Tumbatu FM
18 December 2024, 12:33 pm
Picha ya Mkuu wa Wilaya Kaskazini “A” (aliyevaa saa ya mkononi) akiwa pamoja na viongozi wengine wa wilaya wakiwa katika ukaguzi wa mradi wa shule ya Tumbatu. Picha na Sheha Haji. “Ikiwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutekeleza miradi…
11 December 2024, 7:54 am
Picha na Sheha Haji. “Ikiwa waandishi wa habari wataandika habari zinazohusu masuala ya uchaguzi kwa kuzingatia taaluma yao ya uandishi wa habari wataweza kuepusha jamii na uvunjifu wa amani” Na Sheha Haji Watendaji wa Redio Jamii Tumbatu FM wametakiwa kuzingatia…
3 October 2024, 8:03 am
Picha ya Waziri wa Maji, Nishati na Madini Shaibu Hassan Kaduara (alievalia shati jeusi) akiwa katika kikao na wandishi wa habari kuhusu ufunguzi wa eneo jipya la uchotaji wa mchanga. Na Latifa Ali. “Nivyema kuweza kufuata vifaa vya ujenzi kama…
2 October 2024, 10:15 am
Picha ya Mbunge wa Jimbo la Donge Juma Usonge (aliyevaa koti jeusi na kofia) akiwa katika mkutano wa kusikiliza kero za wananchi wa shehia ya Kikobweni. Na Latifa Ali. “Viongozi wanapaswa kuwa mstari wa mbele kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wao…
2 October 2024, 9:58 am
Na Mtumwa Mussa. “Ili taifa liweze kupiga hatua za kimaendeleo lazima wananchi wake wadumishe amani na utulivu kwani ndio ngao pekee ya kufikia hatua hiyo” ni kauli ya rais wa zanzibar dokta Hussein Ali Mwinyi wakati akiwahutubia wananchi wa Tumbatu…
2 October 2024, 8:36 am
Na Vuai Juma. “Upo umuhimu mkubwa wa kujifnza lugha ya alama ambayo ndio kiunganishi kikubwa kwa watu wenye ulemavu wa uziwi”. Na Vuai Juma. Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Harusi Said Suleiman, amesema serikali ya…
13 July 2024, 8:19 am
Ni wajibu wa jamii kuwapa watoto haki zao kwa maendeleo ya baadaye. Na Abdul Sakaza. Msimamizi Mkuu Kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) hapa Zanzibar Bi. Laxmi, amewataka vijana Zanzibar kuendelea kutetea haki za watoto ili…
13 July 2024, 7:48 am
Jamii inapaswa kuitumia michezo kama njia ya kupinga udhalilishaji. Na Abdul Sakaza. Wadau wa kupinga vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia Zanzibar wametakiwa kuitumia michezo mbalimbali katika kupinga vitendo hivyo ndani ya jamii zao. Ameyasema hayo huko uwanja wa michezo Mau…
8 July 2024, 9:29 am
Iwapo serikali itatatua changamoto zinazowakumba wakulima kutawawezesha kuvuna mazao mengi zaidi. Na Abdul Sakaza. Mbunge Wa Jimbo La Chaani Mhe. Juma Usonge ameishauri Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Waskazini Unguja kutatua changamoto za wakulima wa bonde la Mpunga Kibokwa…
5 July 2024, 4:58 pm
Iwapo wananchi wataweka mbele imani ya dini kutapelekea kuondosha uvunjifu wa amani. Na Vuai Juma. Wananchi wa Tanzania wametakiwa kufuata misingi ya dini ili kuepusha mifarakano ambayo itapelekea uvunjifu wa amani iliyopo. Wito huo umetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano…
Swahili
Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.
Dira
Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.
Dhamira
Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
English
Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.
Vision
Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.
Mission
Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.