Tumbatu FM
Tumbatu FM
11 June 2025, 5:02 pm
Picha ya waziri wa elimu na mafunzo ya amali Zanzibar Lela Muhamed Mussa. Picha na Vuai Juma. “Kuwepo kwa walimu ambao ni wabobevu kwenye wlfani tofauti hapa Zanzibar ikiwemo sekta ya anga kutawawezesha wanafunzi kupiga hatua katika eneo hilo“. Na…
11 June 2025, 10:48 am
picha ya wandishi wa habari pamoja na mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Matar Zahoro Masoud (aliepo mbele) wakiwa kwenye kikao cha pamoja. Picha na Vuai Juma. “Iwapo wandishi wa habari watapata mashirikiano kutoka kwa watendaji kutasaidia kujua changamoto zinazowakabili wananchi…
11 May 2025, 10:37 am
Na Juma Haji “Tutafika kila Wilaya kuonana na wanachama wa jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar na kuwasikiliza ili tuwende sambamba nao kwenye uendeshaji wa jumuiya” Na Juma Haji Wajumbe wa Bodi tendaji ya Umoja wa watu wenye ulemavu Zanzibar…
10 May 2025, 1:13 pm
Pichani ni katibu Mtendaji Tume ya Utangazaji Zanzibar Hijji Shajak (alievaa koti jeusi) akikabidhi zawadi za tunzo ya Samia kalam award 2025 katika Ofisi ya Wizara ya Habar Zanzibar. Picha na Abdul-Sakaza. “Tumieni tunzo mliyopatiwa katika kuleta mabadiliko ya kimaendeleo…
4 May 2025, 3:35 pm
Picha ya kamati ya wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) Na Vuai Juma “Uwepo wa sheria kandamizi kwa wandishi wa habari imekua ni changamoto kubwa kwenye utendaji wao wa kazi” Na Vuai Juma Mamlaka zinazosimamia sekta ya habari hapa…
26 December 2024, 10:58 am
Picha ya mstahiki mea wa manispaa ya kaskazini “A” akiwa pamoja na watumishi wa wilaya hiyo katika hafla ya kuwaaga watendaji waliomaliza muda wao wa utumishi. Picha na Juma Haji. “ikiwa watumishi watatumia vyema ujuzi walio nao wataweza kutekeleza majukumu…
25 December 2024, 12:57 pm
Picha ya waziri wa kilimo mifugo na uvuvi Shamata Shame Khamis (aliekamata mkasi) akiwa katika shuhuli ya uwekaji wa jiwe la msingi kituo cha zima moto huko kiwengwa mkoa wa kaskazini unguja. Picha na Atka Mosi. “Ikiwa wananchi wataiunga mkono…
18 December 2024, 12:33 pm
Picha ya Mkuu wa Wilaya Kaskazini “A” (aliyevaa saa ya mkononi) akiwa pamoja na viongozi wengine wa wilaya wakiwa katika ukaguzi wa mradi wa shule ya Tumbatu. Picha na Sheha Haji. “Ikiwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutekeleza miradi…
11 December 2024, 7:54 am
Picha na Sheha Haji. “Ikiwa waandishi wa habari wataandika habari zinazohusu masuala ya uchaguzi kwa kuzingatia taaluma yao ya uandishi wa habari wataweza kuepusha jamii na uvunjifu wa amani” Na Sheha Haji Watendaji wa Redio Jamii Tumbatu FM wametakiwa kuzingatia…
3 October 2024, 8:03 am
Picha ya Waziri wa Maji, Nishati na Madini Shaibu Hassan Kaduara (alievalia shati jeusi) akiwa katika kikao na wandishi wa habari kuhusu ufunguzi wa eneo jipya la uchotaji wa mchanga. Na Latifa Ali. “Nivyema kuweza kufuata vifaa vya ujenzi kama…
Swahili
Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.
Dira
Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.
Dhamira
Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
English
Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.
Vision
Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.
Mission
Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.