Tumbatu FM
Tumbatu FM
16 June 2025, 10:57 am
Picha ya wananchi kutoka shehia nne za mkoa wa Kasakazini unguja wakiwa katika mkutano wa pamoja na wanajumuiya ya Napac. Picha na Abdul-Sakaza “Msada wa kisheria kwa wanajamii utasaidia kupatikana kwa haki na kutatua vitendo vya udhalilishaji kwa wananchi” “Picha…
13 June 2025, 12:14 pm
Picha ya katibu tawala wilaya ya Kaskazini Unguja (alievalia nguo nyeupe) akikabidhi majiko ya gesi kwa wajasiriamali Mkoa wa kaskaIni Unguja. Picha na Juma Haji “Ujio wa majiko ya gesi utalinda afya za akina mama wakiwa katika shughuli za ujasiriamali pamoja na…
12 June 2025, 9:00 pm
Picha ya waziri wa nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Sharif Ali Sharif. Picha na Vuai Juma “Ipo haja ya kuiunga mkono Serikali katika mapambano dhidi ya ajira za utotoni ili kuwapa watoto haki zao za kimsingi“ Na…
11 June 2025, 5:02 pm
Picha ya waziri wa elimu na mafunzo ya amali Zanzibar Lela Muhamed Mussa. Picha na Vuai Juma. “Kuwepo kwa walimu ambao ni wabobevu kwenye wlfani tofauti hapa Zanzibar ikiwemo sekta ya anga kutawawezesha wanafunzi kupiga hatua katika eneo hilo“. Na…
11 June 2025, 10:48 am
picha ya wandishi wa habari pamoja na mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Matar Zahoro Masoud (aliepo mbele) wakiwa kwenye kikao cha pamoja. Picha na Vuai Juma. “Iwapo wandishi wa habari watapata mashirikiano kutoka kwa watendaji kutasaidia kujua changamoto zinazowakabili wananchi…
11 May 2025, 10:37 am
Na Juma Haji “Tutafika kila Wilaya kuonana na wanachama wa jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar na kuwasikiliza ili tuwende sambamba nao kwenye uendeshaji wa jumuiya” Na Juma Haji Wajumbe wa Bodi tendaji ya Umoja wa watu wenye ulemavu Zanzibar…
10 May 2025, 1:13 pm
Pichani ni katibu Mtendaji Tume ya Utangazaji Zanzibar Hijji Shajak (alievaa koti jeusi) akikabidhi zawadi za tunzo ya Samia kalam award 2025 katika Ofisi ya Wizara ya Habar Zanzibar. Picha na Abdul-Sakaza. “Tumieni tunzo mliyopatiwa katika kuleta mabadiliko ya kimaendeleo…
4 May 2025, 3:35 pm
Picha ya kamati ya wataalamu wa masuala ya habari Zanzibar (ZAMECO) Na Vuai Juma “Uwepo wa sheria kandamizi kwa wandishi wa habari imekua ni changamoto kubwa kwenye utendaji wao wa kazi” Na Vuai Juma Mamlaka zinazosimamia sekta ya habari hapa…
26 December 2024, 10:58 am
Picha ya mstahiki mea wa manispaa ya kaskazini “A” akiwa pamoja na watumishi wa wilaya hiyo katika hafla ya kuwaaga watendaji waliomaliza muda wao wa utumishi. Picha na Juma Haji. “ikiwa watumishi watatumia vyema ujuzi walio nao wataweza kutekeleza majukumu…
25 December 2024, 12:57 pm
Picha ya waziri wa kilimo mifugo na uvuvi Shamata Shame Khamis (aliekamata mkasi) akiwa katika shuhuli ya uwekaji wa jiwe la msingi kituo cha zima moto huko kiwengwa mkoa wa kaskazini unguja. Picha na Atka Mosi. “Ikiwa wananchi wataiunga mkono…
Swahili
Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.
Dira
Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.
Dhamira
Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
English
Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.
Vision
Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.
Mission
Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.