Tumbatu FM

Recent posts

4 September 2023, 4:55 pm

Wanahabari watakiwa kuongeza taaluma zaidi

Ikiwa wandishi wa habari watajenga tabia ya kujifunza zaidi kuhusu madhara ya upungufu wa damu hasa kwa wananwake na wasichana wataweza kuandaa vipindi vilivyo bora na ambavyo vitatoa masada mkubwa kwa jamii juu ya kukabiliana na tatizo hilo. Na Juma…

10 August 2023, 8:47 am

Tadio yatoa mafunzo kwa radio za kijamii Zanzibar

Kuchapisha tarifa katika mtandao wa radio TADIO kutaongeza idadi ya wafuatiliaji wa tarifa za radio za kijamii. Na Vuai Juma. Wandishi wa habari wa radio za kijamii Zanzibar wametakiwa  kuitumia fursa ya kutuma kazi zao katika mtandao wa radio tadio…

9 August 2023, 1:59 pm

Wazazi, walezi Tumbatu watakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu

Uwepo wa mashirikiano kati ya wazazi na walezi kutaongeza idadi ya ufaulu. Na Latifa Ali Wazazi na walezi wa wanafunzi wanaosoma katika  skuli ya msingi “B” kisiwani tumbatu wameatakiwa  kushirikiana na walimu wa skuli hiyo  ili kuhakikisha  wanafunzi wanasoma  na…

7 August 2023, 11:14 am

Waratibu Shehia acheni kutoa taarifa kwa mazoea

Vitendo vya udhalilishaji vinarejesha nyuma maendeleo ya wanawake na watoto Na Vuai Juma Waratibu wa shehia pamoja na wasaidizi wa sheria Mkoa wa kaskazini Unguja wametakiwa kuachana na tabia ya kutoa taarifa kwa mazoea hususani katika masuala ya kesi za…

28 September 2021, 2:11 pm

Kaskazini Unguja yashauriwa kupinga vitendo vya udhalilishaji

Uingijaji wa wageni kiholela ndani ya mkoa wa kaskazini Unguja ndio chanzo cha kuwepo Utelekezaji wa familia. Na Vuai Juma. Serekali ya mkoa wa kaskazini unguja imeshauriwa kuweka mikakati Madhubuti kwa wageni wanaoingia katika  maeneo ya mkoa huo ili kuondoa…