Tumbatu FM

Recent posts

1 July 2025, 11:04 am

Tunzeni rasilimali za bahari kuongeza kipato

“Ili kufikia dhamira ya uchumi wa bluu lazima tutunze mazingira kwenye bahari kwa kuepuka kuharibu mazalia ya Samaki” Na Vuai Juma Wananchi wametakiwa kulinda  na kutunza rasilimali za bahari ili kuendeleza dhana ya uchumi wa buluu kama ilivyo azma ya…

1 July 2025, 10:00 am

Viongozi watakiwa kutoa taarifa kwa wananchi

“Viongozi wote wanawajibu wa kutoa taari ili wananchi waweze kuzifaham na kujua kinacho endelea” Na Vuai Juma. Watendaji wa sekta za kiserikali ndani ya mkoa wa Kaskazini Unguja wametakiwa kutoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu utendaji wao ili kuweza…

28 June 2025, 2:13 pm

Talaka yasababisha watoto kuingia kwenye vikundi hatarishi

“Imebainika kuwa kutokuwepo kwa mafunzo ya ndoa kwa vijana kunapelekea kuongezeka kwa talaka zisizo tarajiwa” Na Vuai Juma. Jamii imeshauriwa kuisoma na kuifaham ndoa ili kuepukana na wimbi la talaka za kiholela. Ushauri huo umetolewa na katibu tawala wilaya ndogo…

25 June 2025, 11:49 am

WOMESA yatoa elimu ya ubaharia kisiwani Tumbatu

Pichani ni walimu pamoja na wanafunzi wa skuli ya sekondari Tumbatu wakiwa na wajumbe wa (WOMESA) Tanzania. Picha na Vuai Juma. Mabadiliko kwa sasa ni lazima ili tuweze kufanya kazi ya ubaharia kwa weledi vijana ni lazima msome kwa bidii…

18 June 2025, 2:50 pm

Wanahabari ZNZ wanolewa kuripoti ukatili wa kijinsia katika siasa

“Wanawake wengi hukumbana na ukatili wa maneno, vitisho na hata kushambuliwa mitandaoni wanapojaribu kuwania nafasi za uongozi. Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo na kijamii ili kuwalinda wanawake hawa na kuhakikisha wanashiriki siasa kwa usalama,” alisema Sizarina. Na Abdul Sakaza Shirika la…

13 June 2025, 12:14 pm

Wajasiriamali Kilindi wapewa majiko ya gesi kendeleza mazingira

Picha ya katibu tawala wilaya ya Kaskazini Unguja (alievalia nguo nyeupe) akikabidhi majiko ya gesi kwa wajasiriamali Mkoa wa kaskaIni Unguja. Picha na Juma Haji “Ujio wa majiko ya gesi utalinda afya za akina mama wakiwa katika shughuli za ujasiriamali pamoja na…

12 June 2025, 9:00 pm

SMZ yapinga ajira za utotoni

Picha ya waziri wa nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Sharif Ali Sharif. Picha na Vuai Juma “Ipo haja ya kuiunga mkono Serikali katika mapambano dhidi ya ajira za utotoni ili kuwapa watoto haki zao za kimsingi“ Na…

Tumbatu FM Profile

Swahili

Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.

Dira

Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.

Dhamira

Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

English

Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.

Vision

Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.

Mission

Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.