Recent posts
27 October 2025, 12:24 pm
Msaidie mtu mwenye ulemavu siku ya uchaguzi
Ni wanachama wa umja wa watu wenye ulemavu Wilaya ya kaskazini “A” Unguja wakipatiwa mafunzo ya elimu ya mpiga kura Mkwajuni Wilaya ya kaskazini A: “Jamii ijitokeze kuwasaidia watu wenye ulemavu kwa kuwafikisha kwenye vituo vya kupigia kura ili wa…
21 October 2025, 8:08 am
TAMWA yaja na mkakati wa kutetea usawa wa kijinsia
“Kufuatia matokeo hayo wamiliki wa vyombo vya habari wanahitaji kuongeza juhudi zaidi katika kufikia mkakati wa serikali unaolenga kuwa na 50% ya uwakilishi sawa kwenye vyombo vya maamuzi ikiwemo Bunge na Baraza la wawakilishi kwa upande wa Zanzibar kwa kuruhusu…
12 September 2025, 9:13 am
Vikundi 16 vya watu wenye ulemavu vyapatiwa mafunzo Kusini Unguja
“Ikiwa serikali na taasisi binafsi zitaendelea kuwawezesha watu wenye ulemavu kwenye masuala ya biashara kutawarahisishia kuondokana na ugumu wa maisha” Na Vuai Juma. Wanachama wapatao 25 kutoka vikundi 16 vya kuweka na kukopa katika Wilaya ya Kusini Unguja wamepatiwa mafunzo…
4 September 2025, 6:11 pm
ZEC yatakiwa kuweka mazingira rafiki kwa wenye ulemavu
“Ikiwa watu wenye ulemavu watawekewa mazingi rafiki ya kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuwezesha kutokuwepo kwa mtu yoyote mwenye ulemavu kukosa fursa ya kupiga kura” Na Juma Haji. Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja Bi Mboja Hesabu ameishauri…
11 August 2025, 9:46 am
Wazazi toeni ushirikiano katika kuwasimamia wanafunzi
“Ikwa tutashirikiana kwa pamoja katika kuwasimamia watoto wetu tutaweza kuongeza idadi ya ufaulu ndani ya Skuli yetu” Na Atka Mosi. Mwalim Mkuu wa skuli ya sekondari Mkokotoni Haji Abdallah Seif amewataka wazazi na walezi kutoa mashirikiano kwa kuwasimamia watoto kupata…
3 August 2025, 2:34 pm
Jiandikisheni mapema kwa ajili ya ibada ya Hijja
“Tuwahutubie waumini wa dini ya kiislam kuhusu hijja kumekuwa na mabadiliko kwa wale wanaotaka kwenda Makka wanatakiwa kujiandikisha mapema huu ni utaratibu uliowekwa na uongozi wa Makaa” Na Juma Haji Juma Mashekh na maimamu Nchini wametakiwa kutoa khotba ya kuelimisha…
20 July 2025, 10:35 am
“Wahariri kuweni makini katika kazi zenu”
“Ikiwa wahariri watasimamia vyema majukumu yao watasaidia kuondosha taarifa zinazopelekea migongano ndani ya jamii” Na Juma Haji. Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohhamed amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa waangalifu juu ya maudhui wanayochapisha ili…
20 July 2025, 9:36 am
Tumieni mbegu bora za mpunga kuleta tija
“Ikiwa wakulima wanalima zao la mpunga watatumia mbegu zilizo bora wataweza kupata faida kubwa kwenye kilimo chao na kuondokana na umaskini“ Na Latifa Ali. Wakulima wanaolima zao la mpunga wametakiwa kutumia mbegu bora ili kuongeza tija na ufanisi katika uzalishaji…
17 July 2025, 2:04 pm
Watendaji someni katiba sheria na kanuni ili kusimamia vyema sulala la uchaguzi
“Iwapo vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa vitashirikishwa katika michakato yote ya uchaguzi kutachangia kwa kiasi kikubwa uchaguzi kuwa wa huru na wahaki“ Na Latifa Ali. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaasa watendaji walioteuliwa kusimamia uchaguzi wa Rais, Wabunge…
17 July 2025, 12:11 pm
Sheria rafiki ni nguzo muhimu kwa wandishi wa habari kufanya kazi kwa ufanisi
“Ikiwa sheria zilizopo kwenye tasnia ya habari zitafanyiwa marekebisho kutapelekea kupatikana kwa mageuzi makubwa kwenye fani hiyo na kurahisisha utendaji kwa wandishi wa habari“ Na Tamwa Zanzibar. Kupatikana kwa sheria mpya na rafiki ya habari visiwani Zanzibar kutasaidia kuweka mazingira…