25 June 2025, 11:49 am

WOMESA yatoa elimu ya ubaharia kisiwani Tumbatu

Pichani ni walimu pamoja na wanafunzi wa skuli ya sekondari Tumbatu wakiwa na wajumbe wa (WOMESA) Tanzania. Picha na Vuai Juma. Mabadiliko kwa sasa ni lazima ili tuweze kufanya kazi ya ubaharia kwa weledi vijana ni lazima msome kwa bidii…

Offline
Play internet radio

Recent posts

27 October 2025, 12:24 pm

Msaidie mtu mwenye ulemavu siku ya uchaguzi

Ni wanachama wa umja wa watu wenye ulemavu Wilaya ya kaskazini “A” Unguja wakipatiwa mafunzo ya elimu ya mpiga kura Mkwajuni Wilaya ya kaskazini A: “Jamii ijitokeze kuwasaidia watu wenye ulemavu kwa kuwafikisha kwenye vituo vya kupigia kura ili wa…

21 October 2025, 8:08 am

TAMWA yaja na mkakati wa kutetea usawa wa kijinsia

“Kufuatia matokeo hayo wamiliki wa vyombo vya habari wanahitaji kuongeza juhudi zaidi katika kufikia mkakati wa serikali unaolenga kuwa na 50% ya uwakilishi sawa kwenye vyombo vya maamuzi ikiwemo Bunge na Baraza  la wawakilishi kwa upande wa Zanzibar kwa kuruhusu…

12 September 2025, 9:13 am

Vikundi 16 vya watu wenye ulemavu vyapatiwa mafunzo Kusini Unguja

“Ikiwa serikali na taasisi binafsi zitaendelea kuwawezesha watu wenye ulemavu kwenye masuala ya biashara kutawarahisishia kuondokana na ugumu wa maisha” Na Vuai Juma. Wanachama wapatao 25 kutoka vikundi 16 vya kuweka na kukopa katika Wilaya ya Kusini Unguja wamepatiwa mafunzo…

4 September 2025, 6:11 pm

ZEC yatakiwa kuweka mazingira rafiki kwa wenye ulemavu

“Ikiwa watu wenye ulemavu watawekewa mazingi rafiki ya kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuwezesha kutokuwepo kwa mtu yoyote mwenye ulemavu kukosa fursa ya kupiga kura” Na Juma Haji. Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja Bi Mboja Hesabu ameishauri…

11 August 2025, 9:46 am

Wazazi toeni ushirikiano katika kuwasimamia wanafunzi

“Ikwa tutashirikiana kwa pamoja katika kuwasimamia watoto wetu tutaweza kuongeza idadi ya ufaulu ndani ya Skuli yetu” Na Atka Mosi. Mwalim  Mkuu wa skuli ya sekondari Mkokotoni Haji Abdallah Seif  amewataka wazazi na walezi  kutoa mashirikiano kwa kuwasimamia watoto kupata…

3 August 2025, 2:34 pm

Jiandikisheni mapema kwa ajili ya ibada ya Hijja

“Tuwahutubie waumini wa dini ya kiislam kuhusu hijja kumekuwa na mabadiliko kwa wale wanaotaka kwenda Makka wanatakiwa kujiandikisha mapema huu ni utaratibu uliowekwa na uongozi wa Makaa” Na Juma Haji Juma Mashekh na maimamu Nchini wametakiwa kutoa khotba ya kuelimisha…

20 July 2025, 10:35 am

“Wahariri kuweni makini katika kazi zenu”

“Ikiwa wahariri watasimamia vyema majukumu yao watasaidia kuondosha taarifa zinazopelekea migongano ndani ya jamii” Na Juma Haji. Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohhamed amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa waangalifu juu ya maudhui wanayochapisha ili…

20 July 2025, 9:36 am

Tumieni mbegu bora za mpunga kuleta tija

“Ikiwa wakulima wanalima zao la mpunga watatumia mbegu zilizo bora wataweza kupata faida kubwa kwenye kilimo chao na kuondokana na umaskini“ Na Latifa Ali. Wakulima wanaolima zao la mpunga wametakiwa kutumia mbegu bora ili kuongeza tija na ufanisi katika uzalishaji…

17 July 2025, 12:11 pm

Sheria rafiki ni nguzo muhimu kwa wandishi wa habari kufanya kazi kwa ufanisi

“Ikiwa sheria zilizopo kwenye tasnia ya habari zitafanyiwa marekebisho kutapelekea kupatikana kwa mageuzi makubwa kwenye fani hiyo na kurahisisha utendaji kwa wandishi wa habari“ Na Tamwa Zanzibar. Kupatikana kwa sheria mpya na rafiki ya habari visiwani Zanzibar kutasaidia kuweka mazingira…

Tumbatu FM Profile

Swahili

Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.

Dira

Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.

Dhamira

Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

English

Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.

Vision

Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.

Mission

Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.