25 June 2025, 11:49

WOMESA yatoa elimu ya ubaharia kisiwani Tumbatu

Pichani ni walimu pamoja na wanafunzi wa skuli ya sekondari Tumbatu wakiwa na wajumbe wa (WOMESA) Tanzania. Picha na Vuai Juma. Mabadiliko kwa sasa ni lazima ili tuweze kufanya kazi ya ubaharia kwa weledi vijana ni lazima msome kwa bidii…

Offline
Play internet radio

Recent posts

16 March 2026, 15:34

Elimu ya ufugaji nyuki yatolewa Tumbatu

“Miradi mingi imekua ikianzishwa lakini kutokana na utekelezaji usioridhisha imekuwa haileti matunda hivyo nilazima muwe wakwanza kubadilika pia makundi mnayoyaongoza muyafikie na mkae kwa pamoja ili mpangilie vizuri namna ya kutekeleza mradi huu” Na Vuai Juma. Kamati za uvuvi na…

13 March 2026, 10:30

Kalamu zenu zitumike kuwatetea watu waishio vijijini

“Wajibu wenu kwa wananchi ni kuweza kufanya utafiti kwalengo la kugundua changamoto mbali mbali zinazoikumba jamii hasa maeneo ya vijijini ili kuzisema na kupatiwa ufumbuzi” Na Vuai Juma. Vyombo vya Habari vimetakiwa kufanya utetezi kwa makundi ya kinamama vijana na…

9 March 2026, 14:14

Toweni msada wa kisheria ili muondoshe migogoro.

“Ikiwa mtawasaidia wananchi kuelewa masuala ya kisheria wataweza kufahamu haki na wajibu wao jambo ambalo litachochoe kupunguza malalamiko wakati wa kufuatilia kesi zao” Na Vuai Juma. Wasaidizi wa sheria nchini wamehimizwa kuwasaidia wananchi katika masuala ya sheria ili kuondoa mapungufu…

3 March 2026, 17:43

ZRA yatoa sadaka ya ftari kwa kaya 130 za Tumbatu

“ZRA imekua na tabia ya kurejesha kwa jamii fungu linalotokana na kodi za wananchi ili kuona kwa kiasi gani wananufaika na kodi ambazo wanalipa kwa serikali” Na Juma Haji. Ujumbe wa Mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA umefika Kisiwani Tumbatu na…

3 March 2026, 10:43

Jeshi la polisi lajipanga kudhibiti udhalilishaji kisiwani Tumbatu

“Kunahaja ya kuleta walimu wa usalama wetu kwanza kwaajili ya kutoa elimu kuhusu udhalilishaji kwa shule za Tumbatu ili kuwanusuru watoto na janga hili matukio mengi yamekua yakitokeza ingawa hayaripotiwi” Na Vuai Juma. Dawati la jinsia  na watoto Mkoa wa…

21 February 2026, 09:36

Sister Island yatoa ftari Kaskazini Unguja

” Tumetoa sadaka ya ftari kwa watu wapatao 500 lengo ni kusaidia watu wenye hali ngumu na huu ni utaratibu wetu ambao huwa tunaufanya kila baada ya muda hata ikiwa sio wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani” Na Juma…

13 February 2026, 18:38

Watendaji wa shirika la posta Zanzibar wapewa nyenzo

Ikiwa tutaimarisha mfumo wa kutoa vifaa kwa wafanya kazi kila baada ya muda ninjia pekee ya kuimarisha uwajibikaji kwa watendaji” Na Juma Haji. Waziri wa Wizara ya mawasiliano teknolojia, habari na ubunifu Zanzibar  Mudrik Ramadhan Soraga amesema azma ya Serikali…

11 January 2026, 11:23

Ukosefu wa elimu ya ndoa chanzo cha migogoro ya familia

“Kukosekana kwa taaluma kabla ya kuingia kwenye ndoa hasa kwa vijana wa sasa hupelekea migogoro na kuongezeka kwa wimbi la talaka” Na Vuai Juma Viongozi wa dini wametakiwa kuwahimiza wanajamii   kujifunza elimu ya ndoa ili kujiepusha  na migogoro ndani  ya…

27 October 2025, 12:24

Msaidie mtu mwenye ulemavu siku ya uchaguzi

Ni wanachama wa umja wa watu wenye ulemavu Wilaya ya kaskazini “A” Unguja wakipatiwa mafunzo ya elimu ya mpiga kura Mkwajuni Wilaya ya kaskazini A: “Jamii ijitokeze kuwasaidia watu wenye ulemavu kwa kuwafikisha kwenye vituo vya kupigia kura ili wa…

Tumbatu FM Profile

Swahili

Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.

Dira

Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.

Dhamira

Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

English

Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.

Vision

Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.

Mission

Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.