Recent posts
22 June 2026, 11:42
“Fikisheni elimu kwa jamii kuhusu utunzaji wa mazingira”
“Fikisheni elimu hii kwa watu mnaowaongoza ndani ya jamii nyinyi ni nguzo muhimu kwenye mapambano dhidi ya upotevu wa uoto wa asili ambao unazidi kutoweka” Na Atka Mosi Makame. Mkurugezi wa jumuiya ya vijana na elimu Mkoa wa Kaskazini Unguja…
22 June 2026, 10:28
Kuingia Zanzibar sharti kupimwa ugonjwa wa ebola
“Tumeona ni vyema kuwafanyia vipimo wasafiri wote wanaoingia Zanzibar kupitia Bandari na Viwanja vya Ndege kwa lengo la kuhakikisha maradhi hayo hayaingii hapa kwetu” Na Juma Haji. Wizara ya Afya Zanzibar imesema itaweka utaratibu wa kuwafanyia vipimo watu wote wanaoingia…
21 June 2026, 17:07
Zanzibar watakiwa kuhifadhi mazingira
“Ikiwa jamii itaacha tabia ya kuharibu mazingira kwa kukata miti kiholela kutasaidia kuongozeka kwa samaki katika bahari hivyo ni vyema kuyatunza mazingira kwa faida ya nchi kwa ujumla”. Na Atka Mosi Makame Wananchi wametakiwa kuhifadhi misitu kwa kuazisha kamati za…
4 June 2026, 13:31
Watoto wenye ulemavu wana haki ya kupatiwa elimu
“Ikiwa fursa ya kujifunza itatolewa kwa makundi yote ndani ya jamii, kutawezesha watoto wenye mahitaji maalum kufikia malengo yao” Na Vuai Juma. Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba serikali na wadau wa elimu kuhakikisha wanatekeleza sera ya elimu na…
8 May 2026, 11:17
Ongezeni jitihada kwenye masomo ili kupata ufaulu mzuri
Na Mwanahawa Hassan. Mstahiki meya wa Baraza la Manispaa kaskazini “A” Unguja Nyange Kheir ambae pia ni diwani wa wadi ya Gamba amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii ili kutimiza malengo yao. Ameyasema hayo wakati wa sherehe ya mahafali ya kuwazawadia…
6 May 2026, 10:12
Mawazo ya wanajamii ni muhimu katika kufikia maendeleo
“Ikiwa mnahitaji kupata maendeleo nilazima viongozi mkubali kuwashirikisha wananchi kutoka kwenye makundi yote ndani ya jamii bila ya ubaguzi. Na Vuai juma. Viongozi wa Wilaya Kaskazini “B” Unguja wametakiwa kuwajibika katika majukumu yao sambamba na kuwashirikisha wananchi wakati wa kufanya…
16 March 2026, 15:34
Elimu ya ufugaji nyuki yatolewa Tumbatu
“Miradi mingi imekua ikianzishwa lakini kutokana na utekelezaji usioridhisha imekuwa haileti matunda hivyo nilazima muwe wakwanza kubadilika pia makundi mnayoyaongoza muyafikie na mkae kwa pamoja ili mpangilie vizuri namna ya kutekeleza mradi huu” Na Vuai Juma. Kamati za uvuvi na…
13 March 2026, 10:30
Kalamu zenu zitumike kuwatetea watu waishio vijijini
“Wajibu wenu kwa wananchi ni kuweza kufanya utafiti kwalengo la kugundua changamoto mbali mbali zinazoikumba jamii hasa maeneo ya vijijini ili kuzisema na kupatiwa ufumbuzi” Na Vuai Juma. Vyombo vya Habari vimetakiwa kufanya utetezi kwa makundi ya kinamama vijana na…
9 March 2026, 14:14
Toweni msada wa kisheria ili muondoshe migogoro.
“Ikiwa mtawasaidia wananchi kuelewa masuala ya kisheria wataweza kufahamu haki na wajibu wao jambo ambalo litachochoe kupunguza malalamiko wakati wa kufuatilia kesi zao” Na Vuai Juma. Wasaidizi wa sheria nchini wamehimizwa kuwasaidia wananchi katika masuala ya sheria ili kuondoa mapungufu…
3 March 2026, 17:43
ZRA yatoa sadaka ya ftari kwa kaya 130 za Tumbatu
“ZRA imekua na tabia ya kurejesha kwa jamii fungu linalotokana na kodi za wananchi ili kuona kwa kiasi gani wananufaika na kodi ambazo wanalipa kwa serikali” Na Juma Haji. Ujumbe wa Mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA umefika Kisiwani Tumbatu na…