Recent posts
19 February 2026, 10:50 am
Kampeni za uchaguzi wa Mabaraza ya vijana Zanzibar zimeanza leo rasmin
Picha ya wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi kwenye uchaguzi wa baraza la vijana Shehia ya Tumbatu Uvivini wakiwa katika uzinduzi wa kampeni. Picha na Juma Haji . “kwa kuwa uchaguzi huu unahusu kundi la vijana pekee hakikisheni mnawafikia…
13 February 2026, 6:38 pm
Watendaji wa shirika la posta Zanzibar wapewa nyenzo
Ikiwa tutaimarisha mfumo wa kutoa vifaa kwa wafanya kazi kila baada ya muda ninjia pekee ya kuimarisha uwajibikaji kwa watendaji” Na Juma Haji. Waziri wa Wizara ya mawasiliano teknolojia, habari na ubunifu Zanzibar Mudrik Ramadhan Soraga amesema azma ya Serikali…
11 January 2026, 11:23 am
Ukosefu wa elimu ya ndoa chanzo cha migogoro ya familia
“Kukosekana kwa taaluma kabla ya kuingia kwenye ndoa hasa kwa vijana wa sasa hupelekea migogoro na kuongezeka kwa wimbi la talaka” Na Vuai Juma Viongozi wa dini wametakiwa kuwahimiza wanajamii kujifunza elimu ya ndoa ili kujiepusha na migogoro ndani ya…
27 October 2025, 12:24 pm
Msaidie mtu mwenye ulemavu siku ya uchaguzi
Ni wanachama wa umja wa watu wenye ulemavu Wilaya ya kaskazini “A” Unguja wakipatiwa mafunzo ya elimu ya mpiga kura Mkwajuni Wilaya ya kaskazini A: “Jamii ijitokeze kuwasaidia watu wenye ulemavu kwa kuwafikisha kwenye vituo vya kupigia kura ili wa…
21 October 2025, 8:08 am
TAMWA yaja na mkakati wa kutetea usawa wa kijinsia
“Kufuatia matokeo hayo wamiliki wa vyombo vya habari wanahitaji kuongeza juhudi zaidi katika kufikia mkakati wa serikali unaolenga kuwa na 50% ya uwakilishi sawa kwenye vyombo vya maamuzi ikiwemo Bunge na Baraza la wawakilishi kwa upande wa Zanzibar kwa kuruhusu…
12 September 2025, 9:13 am
Vikundi 16 vya watu wenye ulemavu vyapatiwa mafunzo Kusini Unguja
“Ikiwa serikali na taasisi binafsi zitaendelea kuwawezesha watu wenye ulemavu kwenye masuala ya biashara kutawarahisishia kuondokana na ugumu wa maisha” Na Vuai Juma. Wanachama wapatao 25 kutoka vikundi 16 vya kuweka na kukopa katika Wilaya ya Kusini Unguja wamepatiwa mafunzo…
4 September 2025, 6:11 pm
ZEC yatakiwa kuweka mazingira rafiki kwa wenye ulemavu
“Ikiwa watu wenye ulemavu watawekewa mazingi rafiki ya kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuwezesha kutokuwepo kwa mtu yoyote mwenye ulemavu kukosa fursa ya kupiga kura” Na Juma Haji. Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja Bi Mboja Hesabu ameishauri…
11 August 2025, 9:46 am
Wazazi toeni ushirikiano katika kuwasimamia wanafunzi
“Ikwa tutashirikiana kwa pamoja katika kuwasimamia watoto wetu tutaweza kuongeza idadi ya ufaulu ndani ya Skuli yetu” Na Atka Mosi. Mwalim Mkuu wa skuli ya sekondari Mkokotoni Haji Abdallah Seif amewataka wazazi na walezi kutoa mashirikiano kwa kuwasimamia watoto kupata…
3 August 2025, 2:34 pm
Jiandikisheni mapema kwa ajili ya ibada ya Hijja
“Tuwahutubie waumini wa dini ya kiislam kuhusu hijja kumekuwa na mabadiliko kwa wale wanaotaka kwenda Makka wanatakiwa kujiandikisha mapema huu ni utaratibu uliowekwa na uongozi wa Makaa” Na Juma Haji Juma Mashekh na maimamu Nchini wametakiwa kutoa khotba ya kuelimisha…
20 July 2025, 10:35 am
“Wahariri kuweni makini katika kazi zenu”
“Ikiwa wahariri watasimamia vyema majukumu yao watasaidia kuondosha taarifa zinazopelekea migongano ndani ya jamii” Na Juma Haji. Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohhamed amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa waangalifu juu ya maudhui wanayochapisha ili…