Radio Tadio

ujenzi

30 November 2025, 2:35 pm

Bwanga katika mapambano ya ugonjwa wa kisukari

Iwapo wananchi hawatachukua hatua za haraka za kujitokeza kufanya uchunguzi wa magonjwa yasioambukiza yanaweza kuleta madhara makubwa ikiwemo figo kufeli. Na Mrisho Sadick: Chama cha ugonjwa wa kisukari Tanzania kwa kushirikiana na ofisi ya mganga mkuu wa mkoa wa Geita…

20 November 2025, 5:16 pm

Hii hapa sababu ya vifo vya wavuvi Chato kupungua

Mamlaka za usalama majini zimeahidi kuendelea na ukaguzi wa mara kwa mara, kutoa mafunzo na kusisitiza matumizi ya vifaa vya usalama majini. Na Mrisho Sadick: Vifo vitokanavyo na ajali za majini wilayani Chato Mkoani Geita vimepungua kwa asilimia kubwa baada…

13 November 2025, 1:50 pm

Wananchi na TFS wajenga Zahanati ya kijiji Chato

Suala la wananchi wa Butengorumasa kujitolea kwa hiari yao kuanzisha ujenzi wa Zahanati imekuwa mkombozi kwao baada ya TFS kuingilia kati nakukamilisha ujenzi huo. Na Mrisho Sadick: Wakala wa huduma za misitu Tanzania TFS kwa kushirikiana na wakazi wa kijiji…

26 January 2024, 01:53

Kyela: Isaki waoga noti za Babylon Mwakyambile

Wanachama wa chama cha Mapinduzi hapa wilayani kyela wametakiwa kuungana ili kukamirisha ujenzi wa jingo la ofisi za kata Isaki hapa wilayani Kyela ili kuondoa kadhia ya kuwafuata viongozi wa chama nyumbani kwao. Na James Mwakyembe Mdau maendeleo na mwanachama…

9 January 2024, 18:30

Zahanati ya Rufumbi wilayani Rungwe mbioni kukamilika

Na mwandishi wetu Hatua ya ukamilishaji katika zahanati ya Lufumbi kata ya Masoko inatoa fursa kwa wakazi wa kijiji hiki kupata huduma ya matibabu karibu na makazi yao. Zahanati hii imejengwa kwa nguvu za wananchi huku Halmashauri ikitoa kiasi cha…

9 November 2023, 14:55

Serikali yaombwa kuharakisha ujenzi wa daraja Chunya

Na mwandishi wetu Wanachi wa vijiji Lualaje na Mwiji kata ya Lualaje halmashauri ya wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa daraja la Lualaje linalounganisha kata hiyo na Mapogolo wilaya ya Chunya kabla ya msimu wa mvua…

October 2, 2023, 8:53 am

Serikali yatoa fedha ukarabati wa hospitali ya wilaya Makete

Kupitia uchakavu wa Hospitali ya wilaya ya Makete serikali umetoa fedha zaidi ya shilingi milioni miatisa (900) kukarabati miundombinu ikiwemo Majengo Majengo makubwa matano (5) yamejengwa Hospitali ya Wilaya ya Makete kwa fedha za Serikali zaidi ya shilingi Milioni 900…

21 September 2023, 4:08 pm

Milioni 362 kujenga stendi ya vumbi Tukuyu mjini

Kukamilika kwa stendi ya vumbi maarufu kama stendi ya Noah Tukuyu mjini itakuwa chachu ya maendeleo kwani itaondoa adha ya watumiaji wa stendi hiyo kwa msimu wa masika na kiangazi. Na Lennox Mwamakula – Rungwe-MbeyaJumla ya shilingi milioni 362 zimetengwa…