TAKUKURU
28 July 2026, 8:15 pm
Hospitali Mji Babati yapokea mitambo ya kisasa ya oksijeni
Hospitali ya Mji wa Babati mkoani Manyara imepokea mitambo ya kisasa ya mfumo wa kuzalisha oksijeni tiba (Oxygen Generation System) kutoka Shirika la FREO2 Foundation, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za afya kwa watoto wachanga na wagonjwa…
20 July 2026, 11:46
TPA kuendelea kupanua na kuboresha bandari nchini
Licha ya ushindani uliopo katika ukanda wa Afrika Mashariki, kipaumbele cha TPA ni kuongeza uwezo wa kuhudumia meli na mizigo kwa haraka na kwa ufanisi ili kuendelea kuvutia wateja Na Mwandisshi wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania…
24 June 2026, 14:26
Polisi yaahidi kuendeleza ushirikiano na TAMESO T
Ushirikiano kati ya serikali, wataalamu wa afya na waganga wa tiba asilia unatajwa kuwa hatua muhimu katika kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa huku vitendo vinavyochochewa na imani potofu vikidhibitiwa kwa manufaa ya jamii. Na Anwary Shaban. Jeshi la Polisi nchini…
25 February 2025, 18:26
Ashikiliwa na jeshi la polisi kwa kujifanya daktari
Hata hivyo Jeshi hilo linaomba rai kwa Wananchi walio tapeliwa kufika ili kuweza kutambua simu zao zilizo ibiwa. Na Kitana Hamis.Jeshi la Polisi Mkoani Manyara linamshikilia Mtu Mmoja aliye julikana kwa Jina la Victor Onesmo Mwenyewe umri wa Miaka Thelathini…
2 December 2024, 10:44
Polisi kuadhimisha ya siku 16 za kupinga ukatili Tarime, Rorya
Msemaji wa Jeshi hilo pia amesema kuwa Jeshi la Polisi linatoa rai kwa wananchi wote kutumia maadhimisho hayo kushirikiana kwa dhati ili kutokomeza vitendo vyote vya ukatili wa kijinsia. Na Mindi Joseph.Jeshi la Polisi nchini limesema katika kushiriki maadhimisho ya…
13 August 2024, 15:23
Jeshi la polisi lamshikilia mmoja kifo cha msanii Man Dojo
Watu Wawili wilayani Bahi wameuwawa baada ya kushambuliwa sehemu mbalimbali na kuchomwa moto katika gari . Na Seleman Kodima.Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia RAPHAEL KENETH NDAMAHNUWA, mwenye umri wa miaka 26 Mkazi wa Nzuguni B kwa ajili ya…
1 February 2024, 09:25
TAKUKURU yabaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo Kigoma
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoani Kigoma imebaini mapungufu kwenye miradi 25 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 9 iliyofuatiliwa katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2023. Na, Lucas Hoha Hayo yamebainishwa na…
8 November 2023, 13:39
Takukuru yabaini mapungufu kwenye miradi minne ya maendeleo Kigoma
Vitendo vya rushwa vimeendelea kushamiri katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchi hali inayochangia baadhi ya miradi hiyo kushindwa kukamilika kwa wakati. Na, Lucas Hoha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu…
1 October 2023, 6:35 pm
TRA yawataka wananchi kuwa na utaratibu wa kutoa na kudai risiti
TRA mkoa wa Katavi imewataka wananchi mkoani hapa ikiwemo wafanyabiashara na wanunuzi kuwa na utaratibu wa kutoa na kudai risiti KATAVI. Mamlaka ya mapato mkoa wa Katavi imewataka wananchi mkoani hapa ikiwemo wafanyabiashara na wanunuzi kuwa na utaratibu wa kutoa…
18 August 2023, 10:05
Takukuru Simiyu yaokoa milioni 500 za mfanyabiashara
TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU mkoa wa Simiyu imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi …