Radio Tadio

TAKUKURU

20 July 2026, 11:46

TPA kuendelea kupanua na kuboresha bandari nchini

Licha ya ushindani uliopo katika ukanda wa Afrika Mashariki, kipaumbele cha TPA ni kuongeza uwezo wa kuhudumia meli na mizigo kwa haraka na kwa ufanisi ili kuendelea kuvutia wateja Na Mwandisshi wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania…

24 June 2026, 14:26

Polisi yaahidi kuendeleza ushirikiano na TAMESO T

Ushirikiano kati ya serikali, wataalamu wa afya na waganga wa tiba asilia unatajwa kuwa hatua muhimu katika kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa huku vitendo vinavyochochewa na imani potofu vikidhibitiwa kwa manufaa ya jamii. Na Anwary Shaban. Jeshi la Polisi nchini…

25 February 2025, 18:26

Ashikiliwa na jeshi la polisi kwa kujifanya daktari

Hata hivyo Jeshi hilo linaomba rai kwa Wananchi walio tapeliwa kufika ili kuweza kutambua simu zao zilizo ibiwa. Na Kitana Hamis.Jeshi la Polisi Mkoani Manyara linamshikilia Mtu Mmoja aliye julikana kwa Jina la Victor Onesmo Mwenyewe umri wa Miaka Thelathini…

8 November 2023, 13:39

Takukuru yabaini mapungufu kwenye miradi minne ya maendeleo Kigoma

Vitendo vya rushwa vimeendelea kushamiri katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchi hali inayochangia baadhi ya miradi hiyo kushindwa kukamilika kwa wakati. Na, Lucas Hoha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu…

18 August 2023, 10:05

Takukuru  Simiyu  yaokoa  milioni 500 za  mfanyabiashara

TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa nchini TAKUKURU mkoa  wa  Simiyu  imefanikiwa  kudhibiti  upotevu  wa  zaidi ya  Shilingi …