Radio Tadio

Pongezi

12 December 2023, 19:23

Mbunge Sikonge Tabora aipongeza halmashauri ya Rungwe Mbeya

Na mwandishi wetu,Rungwe Mbeya Mheshimiwa Joseph Kakunda Mbunge wa  Jimbo la Sikonge Mkoa wa Tabora ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa Kuzalisha zaidi ya  lita  za maziwa million 44 kwa mwaka hatua iliyoongeza kipato cha wananchi sambamba na uboreshaji…

12 December 2023, 5:06 pm

Bunda DC yamtunuku hati ya pongezi Meneja TARURA Bunda

Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi Meneja TARURA wilaya ya Bunda Eng Baraka Mkuya. Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi na fedha shilingi laki tano…

21 March 2023, 11:00 am

Kamati ya Amani Mkoa wa Mtwara, yamuombea Dua Rais Samia

utaratibu wa kumyombea tua na kumpongeza kiongozi wa nchi kwa miaka miwili ya Uongozi umekuwa ukifanyika kila mahali nchini Tanzania na Mkoani Mtwara wamemuombea Dua Mh. Rais Samia kwa Kazi nzuri anayoifanya Na Musa Mtepa Baraza la kiislamu Tanzania (BAKWATA)…