Radio Tadio

Miradi

9 December 2023, 08:16

Tufanye kazi kwa kuzingatia maadili ya kazi zetu

Na Hobokela Lwinga Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amewataka Watumishi wote Mkoani Mbeya Kufanya Kazi kwa Kufuata Misingi na Maadili ya Kazi na kutanguliza Mbele Uzalendo ili Wananchi wapate huduma sahihi sawasawa na Wanavyostahili. Ameyasema hayo Wakati akizungumza…

23 November 2023, 17:15

Utalii Wa Matibabu Wa Nyemelea Mkoani Songwe

Na mwandishi wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa(MB), Amesema serikali itaendelea kutoa fedha ili kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Songwe ili kuimarisha huduma za afya zikiwemo za kibingwa na kwamba itakapokamilika itachochea utalii wa tiba kwa…

14 September 2023, 12:18 pm

Madiwani Tanganyika watakiwa kusimamia miradi inayoanzishwa na wananchi

Serikali itaendelea kusimamia utekelezaji wa miradi yote ya serikali na kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa wananchi. Na Kilian Samwel – TanganyikaMadiwani halmashauri ya Tanganyika mkoani Katavi wametakiwa kusimamia miradi inayoanzishwa na wananchi pamoja na kuwashirikisha katika miradi mbalimbali ya serikali.…

19 May 2023, 6:42 pm

Chamwino watakiwa kukamilisha miradi kwa wakati

Katika ziara hiyo ya kikazi katibu Tawala amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Wilaya ya Chamwino, Zahanati ya Kijiji Cha Wilunze na Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya maabara ya kemia na baiolojia katika Shule ya…

31 March 2023, 4:09 pm

CCM yaagiza serikali kutekeleza miradi yote Wilayani Bahi

Hii inafuatia kuhakikisha ilani ya chama hicho inatekelezwa kikamilifu na kuwaletea maendeleo wananchi. Na Bernad Magawa. Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Bahi imeiagiza Serikali wilayani humo kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa wilayani humo inaendana sawa na…