Radio Tadio

mauaji

30 August 2023, 12:49 pm

Auawa akidaiwa shilingi elfu 5 Geita

Matukio ya vijana kudhuriana wao kwa wao kwasababu ya pesa yanaongezeka siku hadi siku, hiyo imepelekea ACP Safia Jondo kuwashauri wazazi kufuatilia mienendo ya vijana wao na watu wao wa karibu. Na Amon Bebe- Geita Kijana mmoja mkazi wa mtaa…

26 August 2023, 9:24 pm

Bunda: ajinyonga aacha watoto na mke

Akutwa amejinyonga nyumbani kwa wazazi wake chanzo hakijajulikana aacha mke na watoto wawili Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Kija Hamis Machilu {29} mkazi wa Kitaramanka kata ya Sazira Bunda mjini amepoteza maisha kwa kujinyonga nyumbani kwa…

22 August 2023, 4:11 pm

Adaiwa kuuawa na mpenzi wake, mwili watelekezwa ndani Bunda

Jeshi la polisi mkoa wa Mara linaendelea kumtafuta mhusika wa tukio hilo huku akibainisha baadhi ya vitu vilivyopotea katika nyumba ya marehemu vimekamatwa wilayani Serengeti. Na Adelinus Banenwa Jeshi la polisi mkoani Mara linamtafuta mwanaume mmoja anayetuhumiwa kumuua mwanamke aliyetajwa…

14 August 2023, 4:32 pm

Wawili mbaroni tuhuma kifo cha mwanafunzi wa chuo

Watu wawili wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha Tabora polytechic ambae alipotea kwa takribani siku kumi. Na Salma Abdul Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora kamishna msaidizi Richard Abwao amesema kuwa tukio…

17 February 2023, 1:48 pm

Simiyu: Askari aliyejeruhi mwanae afikishwa mahakamani

Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu mwenye no H.4178 PC Abati Benedicto Nkalango miaka (27) aliyempiga  mwanae  mwenye miaka( 7) mwanafunzi wa darasa la kwanza katika  shule ya Herbeth Gappa English Mediam  na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili…

May 25, 2022, 10:55 am

MWANAMKE AUAWA KWA KUCHOMWA KISU GESTI MJINI KAHAMA

  Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Zuena au Ashura Salum (25-30) mkazi wa Dar es Salaam, amekutwa chumbani akiwa ameuawa kwa kuchomwa kisu  na mtu anayedhaniwa kuwa ni mwenza wake katika nyumba ya kulala wageni ya Kalunde iliyoko mjini Kahama,…