Radio Tadio

mafuta

14 September 2023, 16:58

Madiwani Kibondo walia na wafanyabiashara wanaoficha mafuta

Wakati wananchi na watumiaji wa vyombo vya moto Nchi wakiendelea kuteseka na uhaba wa mafuta kwenye vituo vya mafuta huko Kibondo madiwa wameeleza kuwa wanaoficha mafuta ni uhujumu uchumi. Na, James Jovin Madiwani katika halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani…

11 September 2023, 17:01

DC Mbeya awatoa hofu wananchi uhaba wa mafuta

Kumekuwa na hofu kubwa kwa watanzania juu ya uhaba wa mafuta nchini ,hofu kubwa kupanda kwa bei ya nauli endapo kutakuwa na na uhaba wa mafuta nchini by samweli mpogole Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mh Beno Malisa amewatoa hofu…

7 September 2023, 12:22 pm

Madereva jijini Dodoma walia na bei ya mafuta

Serikali imetangaza bei mpya ya mafuta ambapo kwa sasa wastani wa bei kikomo kwa mkoa wa Dodoma ni shilingi 3271 kwa mafuta ya petrol, shilingi 3318 kwa mafuta ya diseli na mafuta ya taa shilingi 3002. Na Katende. Wamiliki wa…

9 August 2023, 1:03 pm

Kilio cha kupanda bei ya mafuta chawafikia abiria

Mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Agosti 2023 yamechagiza waendesha vyombo vya moto mjini Geita kuongeza bei kiholela. Na Zubeda Handish- Geita Baadhi ya wananchi mkoani Geita wamezungumzia juu ya kadhia wanayokumbana nayo kwa waendesha vyombo vya usafiri ya…

2 August 2023, 1:50 pm

Waendesha vyombo vya moto walia ongezeko bei ya mafuta

Siku chache zilizopita ilitokea changamoto ya uhaba wa mafuta ya petroli na dizeli mkoani Geita na Tanzania, licha ya Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba kuthibitishiwa kuwepo kwa mafuta ya kutosha kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta nchini. Na Zubeda Handrish-…

8 December 2022, 5:33 pm

Bei za mafuta zapokelewa Kwa mikono miwili Katavi

MPANDA Madereva wa vyombo vya moto Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wametoa maoni yao juu ya mwenendo wa kushuka na kupanda kwa bei ya mafuta ya petrol na dizel. Wakizungumza na Mpanda Radio fm kwa nyakati tofauti madereva…