Radio Tadio

kilimo

15 October 2025, 3:07 pm

AAFP yasema daktari akizuia maiti anawekwa kwenye jeneza yeye

Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…

12 February 2025, 4:30 pm

Kwanini ndoa huvunjika mara kwa mara?

Inaelezwa kuwa ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika mara kwa mara na kupelekea madhara makubwa kwenye jamii. Na Kitana Hamis.Wananchi Wilayani Kiteto mkoani Manyara wameeleza sababu zinazo pelekea kuvunjika kwa ndoa Mara kwa mara. Baadhi ya Wananchi Wilayani Kiteto wameeleza sababu mbali…

26 September 2024, 7:51 pm

Kuvunjika kwa ndoa ni pigo kwa watoto

Na Lilian Leopold                 Kutengana kwa wazazi  katika ndoa kumeathiri watoto kwa kiasi kikubwa hasa katika suala la malezi. Baadhi na wazazi mkoani Dodoma wametoa maoni yao juu ya athari zinazowakabili watoto juu ya kuvunjika kwa ndoa. Wakitaja baadhi ya athari…

18 January 2024, 15:33

Wakulima wa chai Rungwe wavikataa vyama vya ushirika

Na Ezra Mwilwa Wakulima wa zao la chai wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameviomba vyama vya ushirika kuwalipa mapema malipo yao ili waweze kuendeleza kilimo hicho kwa ufanisi. Mwenyekiti wa wakulima hao Ndg. Asajile Mwasampeta amesema wamekua wakipata changamoto ya…

11 December 2023, 12:42

Kyela: Ngedere watishia janga la njaa Ipande

Wanyama waharibifu kwa mazao ya chakula aina ya Ngedere wamevamia mashamba ya wananchi wa Ipande na kula mazao shambani. Na Nsangatii Mwakipesile Kufuatia kuwepo kwa uharibifu mkubwa wa mazao unaofanywa na wanyama aina ya ngedere wakulima wa Kata ya Ipande…

29 November 2023, 22:53

Strobeli yawageuza lulu wakulima wilayani Rungwe

Baadhi ya wakulima wa zao la strobeli wilayani Rungwe.Picha na James Mwakyembe Tathmini ya kuangazia mafanikio ya zao la Strobeli wilayani Rungwe yamefanyika yakiongozwa na msemaji wa shirika lisilo la kiserikali Shoma Nangale.Na Nsangatii Mwakipesile Baada ya kutambulishwa rasmi kwa…

28 November 2023, 11:49

Kyela walia na mkandarasi wa mradi wa umwagiliaji Makwale

Baada ya kushindwa kukamilika kwa wakati kwa mradi wa umwagiliaji wa Makwale hapa wilayani Kyela wananchi wanaunda kata za Makwle,Ndobo na Lusungo wameiomba serikali ya halmaashsuri ya wilaya ya kyela kuingilia kati kukamilika kwa mradi huo.Na Nsangatii Mwakipesile Kutokana na…