Radio Tadio

biashara

2 October 2023, 3:48 pm

Pemba waomba kuongezewa ATM

Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, wateja wa benki ya NMB wametakiwa kutoa maoni yao kila wanapoona changamoto katika utoaji wa huduma kwa kupitia visanduku hivyo vya maoni . Na Is- haka Mohammed Afisa Mdhamin Ofisi ya Rais Ikulu…

27 September 2023, 4:22 pm

Usimamizi mbovu wapelekea biashara nyingi kufa

Usimamizi wa biashara nyingi umekuwa ni changamoto na sababu kubwa inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara hizo. Na Mindi Joseph. Usimamizi wa Biashara kwa wafanyabiasha imetajwa kuwa bado ni changamoto inayochangia kuanguka kwa asilimia kubwa ya biashara. Hayo yamebainishwa…

7 August 2023, 10:25 am

SMZ yapandisha bei ya karafuu Zanzibar

Karafuu ni zao kuu la biashara Zanzibar na sasa bei ya zao hilo imeongezwa ili kukuza kipato cha wakulima visiwani humo. Na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepandisha bei ya karafuu kutoka shilingi 14,000 hadi…

7 July 2023, 10:32

Dkt Mpango: Serikali imeweka mazingira rafiki kwa wawekezaji

Wananchi wazawa wa Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuwekeza katika miradi mbalimbali mkoani humo ili kukuza uchumi wa wananchi na Taifa kwa ujumla. Na, Emmanuel Kamangu Makamu wa Rais, Dkt Philip Mpango amewataka watanzania kutumia fursa ya kufanya uwekezaji katika maeneo…

3 July 2023, 11:43 am

TRA kuendeleza ushirikiano kwa wanahabari

Na Mrisho Sadick Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeahidi kuendelea kushirikiana na vyombo vya habari kufikisha elimu ya mlipa kodi kwa kuwa idadi kubwa ya wafanyabiashara hususani maeneo ya vijijini hawafikiwi na elimu hiyo mara kwa mara. Kauli hiyo imetolewa…

14 June 2023, 4:53 pm

Dodoma: Wafanyabiashara watakiwa kujiunga UBIMIDO

Umoja wa wafanyabiashara waendao mnadani umekuwa na umuhimu mkubwa hususani katika suala la kuwasaidia wafanyabiashara katika kusaidiana kwenye masuala mbalimbali. Na Thadei Tesha Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kujiunga katika umoja wa wafanyabiashara UBIMIDO ili waweze kupata fursa za kujikwamua kiuchumi…

12 May 2023, 18:00 pm

Brela yawapiga msasa maafisa biashara mikoa 10

Na Msafiri Kipila Wakala wa leseni za biashara Brela wameendesha mafunzo ya siku 3 kwa maafisa biashara wa mikoa 10 ya kanda ya kusini na nyanda za juu kusini, yamefanyika hapa mkoani Mtwara lengo ikiwa ni kutatua changamoto zinazo wakabili.Wakizungumza…

5 May 2023, 4:38 pm

Wafanyabishara Maisha plus waiomba serikali kufanya ukarabati

Baadhi ya wafanyabiashara wanasema kuwa  viongozi hao wamekuwa wakiahidi kupatia ufumbuzi baadhi ya changamoto hizo bila ya kutekeleza ahadi hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga  katika soko la maisha plus jijini Dodoma wameiomba serikali kufanya…

12 April 2023, 7:39 pm

TCCIA Kilombero inaenda kwa kusua sua

Wanachama wetu wanataka chama kiwasaidie na sio wakisaidie chama,wakipata fursa ya mikopo na wakamaliza mikopo hawaoni tena umuhimu wa chama,kwani wanachama wengi wakitatuliwa matatizo yao hawaonekani tena kwenye chama-Samson Ngwila Na Elias Maganga Wanachama wa Chama cha wafanyabiashara ,wenye viwanda…