Radio Tadio

ardhi

16 December 2023, 5:23 pm

Zaidi ya Heka 6 za mahindi zafyekwa na serikali

Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao marefu katikati ya makazi ya watu zoezi la kufyeka mazao Kwa ambao walikaidi agizo hilolimeendelea. Na Mwandishi wetu – Mpanda Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao…

28 November 2023, 6:00 pm

Waziri Mkuu atoa Tamko mradi uboreshaji milki za Ardhi

Mradi huu unatekelezwa  katika kipindi cha miaka mitano (5) na una vipengele vinne (4) ambavyo ni Kuongeza  Usalama wa Milki; Kuimarisha Mifumo ya Taarifa za Ardhi; Kujenga Miundombinu ya  Ardhi na Usimamizi wa Mradi. Na Seleman Kodima. Wakurugenzi wa Halmashaurii…

13 November 2023, 4:58 pm

Kamati ya bunge yaridhishwa mradi hatimiliki Maswa

Mradi wa uboreshaji usalama wa milki za ardhi vijijini unaotekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu unatarajia kutoa hatimiliki 100,000 kwa wananchi. Na Alex Sayi Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhika na utekelezaji wa…

18 October 2023, 9:48 am

Wakazi wa Nholi waaswa kuepuka migogoro ya ardhi

Kupitia zoezi la urasimishaji wa ardhi nchini itasaidia kutoa hati ya umiliki wa vipande vya ardhi na kupunguza changamoto za kugombania na mashamba. Na Victor  Chigwada.                                                       Wito umetolewa kwa wananchi wa kijiji cha Nholi kuepukana na migogoro ya ardhi…

11 September 2023, 12:46

Wananchi Mufindi wapewa elimu umiliki ardhi

Afisa mipango miji mkuu kutoka Wizara ya Ardhi Fabian Mtaka akizungumza na wananchi wa kijiji cha Idetero kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi.Na Bestina Nyangaro Kuwa na hatimiliki za ardhi kutasaidia kupunguza migogoro ya ardhi Na Bestina Nyangaro-Mufindi Idara ya Ardhi…

4 September 2023, 4:09 pm

Kigoma Ujiji kupima, kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25

Mradi huu umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 zinazojumuisha hatimilki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini.…

17 August 2023, 11:57 am

Wananchi wahofia kuporwa ardhi yao na kijiji

Migogoro ya ardhi kwa baadhi ya maeneo wilayani Geita imekuwa mwiba mchungu kwa wananchi hususani vijijini kwakuwa wengi wao hawajui waende wapi wakapate haki zao. Na Mrisho Sadick: Wakulima wa kijiji cha Salagulwa Kata ya Nyamlolelwa wilayani Geita wameiomba serikali…