Radio Tadio

ardhi

18 Febuari 2026, 12:56 um

Walimu shule ya sekondari ya wavulana ya Geita wapongezwa

Jumla ya wanafunzi 65 waliohitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari ya wavulana ya Geita walipata ufaulu wa daraja la kwanza (division one). Na: Ester Mabula Walimu wa shule ya sekondari ya wavulana ya Geita (GESECO) wamepewa tuzo kufuatia…

16 Disemba 2023, 5:23 um

Zaidi ya Heka 6 za mahindi zafyekwa na serikali

Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao marefu katikati ya makazi ya watu zoezi la kufyeka mazao Kwa ambao walikaidi agizo hilolimeendelea. Na Mwandishi wetu – Mpanda Kufuatia agizo la manispaa ya Mpanda ambalo linazuia  kulima mazao…

28 Novemba 2023, 6:00 um

Waziri Mkuu atoa Tamko mradi uboreshaji milki za Ardhi

Mradi huu unatekelezwa  katika kipindi cha miaka mitano (5) na una vipengele vinne (4) ambavyo ni Kuongeza  Usalama wa Milki; Kuimarisha Mifumo ya Taarifa za Ardhi; Kujenga Miundombinu ya  Ardhi na Usimamizi wa Mradi. Na Seleman Kodima. Wakurugenzi wa Halmashaurii…

13 Novemba 2023, 4:58 um

Kamati ya bunge yaridhishwa mradi hatimiliki Maswa

Mradi wa uboreshaji usalama wa milki za ardhi vijijini unaotekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu unatarajia kutoa hatimiliki 100,000 kwa wananchi. Na Alex Sayi Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhika na utekelezaji wa…

18 Oktoba 2023, 9:48 mu

Wakazi wa Nholi waaswa kuepuka migogoro ya ardhi

Kupitia zoezi la urasimishaji wa ardhi nchini itasaidia kutoa hati ya umiliki wa vipande vya ardhi na kupunguza changamoto za kugombania na mashamba. Na Victor  Chigwada.                                                       Wito umetolewa kwa wananchi wa kijiji cha Nholi kuepukana na migogoro ya ardhi…

11 Septemba 2023, 12:46

Wananchi Mufindi wapewa elimu umiliki ardhi

Afisa mipango miji mkuu kutoka Wizara ya Ardhi Fabian Mtaka akizungumza na wananchi wa kijiji cha Idetero kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi.Na Bestina Nyangaro Kuwa na hatimiliki za ardhi kutasaidia kupunguza migogoro ya ardhi Na Bestina Nyangaro-Mufindi Idara ya Ardhi…

4 Septemba 2023, 4:09 um

Kigoma Ujiji kupima, kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25

Mradi huu umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 zinazojumuisha hatimilki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini.…