Podcasts
19 August 2023, 11:29 am
Makala: Ufahamu ugonjwa wa Usonji
Na Grace Hamisi, Usonji (autism spectrum disorder -ASD) ni ugonjwa wa neva wa ukuaji unaoathiri namna mtu anavyoshirikiana na wenzake, anavyozungumza, anavyojifunza, na tabia yake. Ingawa usonji unaweza kugundulika katika umri wo wote, ugonjwa huu huelezewa kuwa ni ugonjwa wa…
18 August 2023, 09:32 am
Makala – Mfahamu Fatma mwenye ndoto ya kufanya biashara
Na Grace Hamisi Bonyeza hapa kusikiliza mahojiano hayo
17 August 2023, 12:48 pm
Makala: Changamoto ya Vumbi la Makaa ya Mawe kwa wananchi wa Mtwara
Na Musa Mtepa, Changamoto ya makaa ya mawe kwa wananchi wa manispaa ya Mtwara Mikindani ambapo katika makala haya utamsikia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kanali Ahmed…
17 August 2023, 8:17 am
Kipindi: Jinsi kilimo cha umwagiliaji kilivyowakomboa wanawake wakulima Mkoani
16 August 2023, 12:10 pm
Kipindi: Mwangaza wa habari
Na Ivan Mapunda. Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa kaskazini Unguja amewataka madereva kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepukana na ajali.
15 August 2023, 3:42 pm
Baba atelekeza familia na kwenda kuanzisha familia nyingine
Mama huyo anadai kuishi maisha magumu kwani anatumia muda mwingi kutafuta kipato cha kumuwezesha yeye pamoja na watoto wake kupata mahitaji muhimu ikiwemo chakula. Na Leonard Mwacha. Katika hali ya kushangaza baba mmoja mkazi wa Jijini Dodoma ameitelekeza familia yake…
14 August 2023, 1:48 pm
Kipindi: Taasisi zisizo za kiserikali Pemba zinavyowanoa wanawake elimu ya uongo…
14 August 2023, 12:41 pm
Rushwa ya ngono inavyowaathiri vijana katika utafutaji
Nini kifanyike ili kuwanusuru vijana pindi wanapokutana na changamoto ya kuombwa rushwa ya ngono. Na Leonard Mwacha. Vijana wamekuwa wakipitia changamoto nyingi pindi wanapotafuta maisha ikiwemo kuombwa rushwa ya ngono ili waweze kufanikiwa kimaisha. Hali hii imekuwa ikiwakatisha tamaa vijana…
12 August 2023, 1:11 pm
Kipindi cha Sauti Yangu: Uwajibikaji wa viongozi na maendeleo Makunduchi
11 August 2023, 19:12 pm
Kipindi: Umiliki wa Ardhi kwa mwanamke – Gladness Munuo
Wanawake wamekuwa nyuma katika suala la umiliki wa ardhi kitendo ambacho kinaonesha ni kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umiliki huo, hasa linapokuja suala la mali ya familia Na Musa Mtepa Mratibu usuluhishi na upatanisho kutoka kituo cha msaada…