Storm FM
Storm FM
5 December 2025, 5:45 pm
Na Hamisi Makungu. Kipindi cha Sauti ya Mwanamke kimeangazia Mabadiliko ya tabianchi yanavyopelekea ukatili wa kijinsia, hasa kwa wanawake waliopo kwenye mnyororo wa uchumi wa buluu. Katika Mjadala kupitia kipindi hiki, wanawake wachuuzi wa Samaki wamepaza sauti zao juu ya…
21 November 2025, 8:51 pm
Wataalamu wa kilimo sitaki kuwaona maofisini nataka niwakute mashambani mkiwasaidia wakulima kuzalisha kwa tija ili kuondokana na malalamiko ya kushuka kwa bei ya pamba angalau mkulima azalishe kilo elfu moja kwa ekari Moja ” DC Vicent Naano Anney ” Msimu…
1 October 2025, 7:03 pm
Nimekuwa mkulima wa Pamba kwa muda mrefu sasa lakini zamani nilikuwa nalima kiholela sana hivyo sikupata mavuno mazuri Lakini baada ya kupata elimu sahihi na Ushauri kutoka kwa wataalamu wa kilimo, mwaka huu nimepata kilo zaidi ya elfu tatu za…
1 October 2025, 8:11 am
“Kama mnavyojua wilaya ya Igunga inalima zao la Pamba na kuzalisha kitalu mbegu hivyo Serikali inafanya jitihada zote kuhakikisha uzalishaji unaongezeka mwaka hadi mwaka hivyo zao hili tunalipa kipaumbele kwasababu ni zao la kibiashara.” Sauda Mtondoo DC Igunga “ Na…
23 September 2025, 8:00 pm
Na Adelphina Kutika Madaktari bingwa wapatao 45 kupitia mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wamewasili katika Mkoa wa Iringa kwa lengo la kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakilazimika kusafiri nje ya mkoa iringa kufuata…
23 September 2025, 3:07 pm
kila raia wa Tanzania ana haki ya kupiga kura ya kuchagua kiongozi anaye mtaka kwaajili ya maendeleo RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini imewamba wananchi kushiriki kikamilifu kwenye mikutano ya kampeni inayofanywa na…
September 9, 2025, 3:04 pm
Mkuu wa wilaya ya Kahama Frank Nkinda na mwekezaji Tenth Maruhe (Picha na Sebastian Mnakaya) ”kwa mujibu wa sheria za ardhi, kutokana na maelezo ya afisa ardhi na mwekezaji mzawa Tenth Maruhe ametoa maagizo barabara hiyo kuondolewa ilipo kwa sasa…
3 September 2025, 8:28 pm
Na Zainabu Mlimbila Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa imefanikiwa kufanya upasuaji na kutoa uvimbe wenye uzito wa kilo 10 uliokuwa unamsumbua mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 42 aliyeteseka kwa Zaidi ya miaki 5. Akizungumza mara baada ya kukamilika…
11 August 2025, 12:29 pm
Katika kukabiliana na magonjwa ya Mlipuko kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Kidilo, Shirika la World Vision Tanzania limejenga vyoo vya kisasa. Na Adelphina Kutika Zaidi ya wanafunzi mia mbili wa Shule ya Msingi Kidilo, iliyopo kata ya Kihanga Wilaya…
11 August 2025, 9:46 am
“Ikwa tutashirikiana kwa pamoja katika kuwasimamia watoto wetu tutaweza kuongeza idadi ya ufaulu ndani ya Skuli yetu” Na Atka Mosi. Mwalim Mkuu wa skuli ya sekondari Mkokotoni Haji Abdallah Seif amewataka wazazi na walezi kutoa mashirikiano kwa kuwasimamia watoto kupata…