Storm FM

Mazingira

21 January 2026, 4:11 pm

Nyankumbu yazindua kampeni ya upandaji wa miti laki tano

Siku ya kwanza ya uzinduzi wa zoezi hili imepandwa miti zaidi ya 10,000 katika taasisi za umma na binafsi pamoja na majumbani. Na Mrisho Sadick: Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita, imezindua kampeni maalum ya upandaji wa miti…

17 December 2025, 2:37 pm

RC Kheri asisitiza bima ya afya kwa wote

Bima ya afya imetajwa kuwa msaada kwa wananchi kupata huduma bora za afya. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya zote mkoani hapa kuhakikisha kuwa vituo vyote vya afya vinafungwa na…

5 December 2025, 5:45 pm

‘Madhila ya ukatili kwa wanawake Mwaloni’

Na Hamisi Makungu. Kipindi cha Sauti ya Mwanamke kimeangazia Mabadiliko ya tabianchi yanavyopelekea ukatili wa kijinsia, hasa kwa wanawake waliopo kwenye mnyororo wa uchumi wa buluu. Katika Mjadala kupitia kipindi hiki, wanawake wachuuzi wa Samaki wamepaza sauti zao juu ya…

1 October 2025, 8:11 am

DC Igunga atoa maagizo kuelekea msimu wa kilimo cha  pamba

“Kama mnavyojua wilaya ya Igunga inalima zao la Pamba na kuzalisha kitalu mbegu hivyo Serikali inafanya jitihada zote kuhakikisha uzalishaji unaongezeka mwaka hadi mwaka hivyo zao hili tunalipa kipaumbele kwasababu ni zao la kibiashara.” Sauda Mtondoo DC Igunga “ Na…

23 September 2025, 8:00 pm

Madaktari Bingwa kutoa huduma za kibingwa iringa

Na Adelphina Kutika Madaktari bingwa wapatao 45 kupitia mpango wa Rais Samia Suluhu Hassan wamewasili katika Mkoa wa Iringa kwa lengo la kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakilazimika kusafiri nje ya mkoa iringa  kufuata…

23 September 2025, 3:07 pm

THBUB yasisitiza amani kuelekea uchaguzi mkuu

kila raia wa Tanzania ana haki ya kupiga kura ya kuchagua kiongozi anaye mtaka kwaajili ya maendeleo RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini imewamba wananchi kushiriki  kikamilifu kwenye mikutano ya kampeni inayofanywa na…