Storm FM
Storm FM
2 April 2026, 09:26
Wagonjwa hao watapatiwa matibabu na upasuaji bure kwa asilimia 100 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Hafidh Ally Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho kupitia kliniki maalum ya madaktari bingwa ili kuimarisha…
24 February 2026, 23:16
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, amesema jiji la Arusha linaendelea kunufaika na fedha za maendeleo zinazotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Na Mariam Mallya Akizungumza mapema leo…
24 February 2026, 21:33
Hadi sasa jumla ya watu 700 wamefikiwa na huduma ya kupewa miche bure na TFS katika wilaya ya Chato mkoani Geita. Na: Ester Mabula Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency – TFS) umeendelea kuhamasisha jamii kupanda…
21 February 2026, 09:36
” Tumetoa sadaka ya ftari kwa watu wapatao 500 lengo ni kusaidia watu wenye hali ngumu na huu ni utaratibu wetu ambao huwa tunaufanya kila baada ya muda hata ikiwa sio wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani” Na Juma…
18 February 2026, 19:23
Tukio hilo ni la kwanza kutokea katika kijiji hicho Na David Ngogolo/Nicolatha Mpaka Mtoto wa kike anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 15, mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Moonlight iliyopo kijiji cha madibila, kata ya Lupiro,…
13 February 2026, 12:28
“Kwenye mkataba wetu hauoneshi kama sisi wapangaji tunatakiwa kuchanga pesa ili kuweza kuzibua choo, hili jambo linapelekea mkanganyiko” – mmoja wa mpangaji Na: Kale Chongela Choo kinachotumiwa na wapangaji 10 katika nyumba inayomilikiwa na Bi. Jedida Kassim iliyopo mtaa wa Ujamaa…
13 February 2026, 10:12
Mpango huu umekuja ili kuhakikisha wananchi wapata huduma za afya bila vikwazo. Na Joyce Buganda Wananchi 7827 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa yenye kata 28 wamashatambuliwa na wanatarajiwa kunufaika na mpango wa bima kwa wote kampeni ambayo inaendelea nchi…
5 February 2026, 3:59 pm
Baraka Nkondo daktari bingwa wa magonjwa ya pua, koo na masikio. Picha na Leah Kamala “Magonjwa haya yanapotokea na jumuisha na magonjwa ya kuambukiza” Na Leah Kamala Wananchi manispaa ya mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kujenga desturi ya kupima afya zao…
5 February 2026, 11:20
Kujiunga na bima ni hatua ya kujilinda na gharama zisizotarajiwa za matibabu. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James amewataka viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji kuwahamasisha wananchi wa maeneo yao kujiunga na mpango wa…
2 February 2026, 12:16
Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Hai imefanya kikao cha robo kwaajili yakutathmini hali ya lishe na upatikanaji wake katika kata kumi na saba za wilaya ya Hai zikihusisha wataalamu wa lishe pamoja na maafisa watendaji wa kata. Na Henry…