

31 March 2025, 9:17 pm
Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Bunazi Bonde la Baraka wilayani Missenyi limeendesha harambee kwa lengo la kukusanya shilingi milioni 100 za awali kwa ajili ya ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi milioni 900 Na Respicius John,…
26 March 2025, 10:53 am
Na Fredrick Siwale Katika kuadhimisha siku ya Afya na Lishe, Halmashauri ya Mji Mafinga imetoa elimu ya namna ya kupambana na changamoto za lishe kwa wakazi wa Mtaa wa Mkombwe uliopo Kata ta Boma. Akizungumza katika Maadhimisho ya siku ya…
19 March 2025, 12:36 pm
Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa umeanzisha kampeni ya kutoa elimu kwa umma ili kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Mpox, ambao umekuwa tishio kwa afya za wananchi. Akizungumza katika hafla ya kutoa elimu hiyo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa,…
8 March 2025, 11:49 am
Licha ya jitihada zinazofanywa na uongozi wa manispaa ya Geita wa kuweka mazingira safi na salama, bado baadhi ya wananchi wameendeleza tabia ya utupaji taka kiholela katika mazingira yasio rasmi. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa…
7 March 2025, 12:01 PM
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi. Mariam Kasembe akiwa ameongozana na kamati ya siasa wakati wa ukaguzi wa miradi halmashauri ya mji Masasi. Picha na Godbless Lucius Kamati hiyo imepongeza hatua ya halmashauri ya Mji Masasi, kwa kutumia mapato…
March 1, 2025, 5:43 pm
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha akiwa katika na viongozi mbalimbali wa mkoa huo Serikali mkoani Shinyanga imewataka baadhi ya wafanyabia wanaojihusisha na biashara za magendo na kuzitaka mamlaka ya mapato Tanzania TRA pamoja na TAKUKURU kuchukua hatua za…
24 February 2025, 7:04 pm
Kikundi cha mtandao wa WhatsApp kijulikanacho kama Buhaya Tegeka wilayani Missenyi mkoani Kagera kimetoa mfano wa kunufaisha jamii kuliko kujinufaisha chenyewe kwa kuchangia vitu kadhaa vya mahitaji ya watoto Na, Respicius John, Missenyi-Kagera Kikundi cha mtandao wa Whatsapp cha Buhaya…
24 February 2025, 3:44 pm
Katika Wilaya ya Pangani Mheshimiwa Rais pamoja na mambo mengine ataongea na wananchi katika uwanja wa Kumba kuanzia saa mbili kamili asubuhi hivyo wananchi mnaaswa kufika mapema kuumlaki mgeni wetu Mkuu wa (W) Pangani Bi Gift Msuya Na Maajab Ally…
21 February 2025, 10:55 am
Nitoe wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kuudhuria mafunzo haya kwasababu mpaka sasa wenzetu kutoka nje ya wilaya ya Pangani wameishafika kwa ajili ya kuudhuria mafunzo haya Na Abdillahim Shukran Washuku Waumini wa dini ya kiislam katika wialaya Pangani mkoani…
20 February 2025, 3:36 pm
Awali tulikuwa watumishi wawili Dakatari na Nesi lakini kwasasa serikali imeongeza watumishi na tupo wanne angalau changamoto ya kutoa huduma imepungua. Na Maajabu Ally Wananchi wa kata ya Kimang’a Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuwezesha uwajibikaji…