Storm FM

Mazingira

26 March 2025, 10:53 am

Mafinga Mji yatoa elimu ya afya na lishe kwa jamii

Na Fredrick Siwale Katika kuadhimisha siku ya Afya na Lishe, Halmashauri ya Mji Mafinga imetoa elimu ya namna ya kupambana na changamoto za lishe kwa wakazi wa Mtaa wa Mkombwe uliopo Kata ta Boma. Akizungumza katika Maadhimisho ya siku ya…

19 March 2025, 12:36 pm

Iringa yaanza kutoa elimu ya kudhibiti ugonjwa wa Mpox

Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa umeanzisha kampeni ya kutoa elimu kwa umma ili kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Mpox, ambao umekuwa tishio kwa afya za wananchi. Akizungumza katika hafla ya kutoa elimu hiyo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa,…

8 March 2025, 11:49 am

Wananchi walalamika kichaka kugeuzwa dampo Geita

Licha ya jitihada zinazofanywa na uongozi wa manispaa ya Geita wa kuweka mazingira safi na salama, bado baadhi ya wananchi wameendeleza tabia ya utupaji taka kiholela katika mazingira yasio rasmi. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa…

7 March 2025, 12:01 PM

Kamati ya siasa CCM yapongeza miradi Masasi Mji

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi. Mariam Kasembe akiwa ameongozana na kamati ya siasa wakati wa ukaguzi wa miradi halmashauri ya mji Masasi. Picha na Godbless Lucius Kamati hiyo imepongeza hatua ya halmashauri ya Mji Masasi, kwa kutumia mapato…

March 1, 2025, 5:43 pm

Serikali mkoani Shinyanga yakemea biashara za magendo

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha akiwa katika na viongozi mbalimbali wa mkoa huo Serikali mkoani Shinyanga imewataka baadhi ya wafanyabia wanaojihusisha na biashara za magendo na kuzitaka mamlaka ya mapato Tanzania TRA pamoja na TAKUKURU kuchukua hatua za…

24 February 2025, 7:04 pm

Buhaya Tegeka watoa shilingi milioni 1.5 kwa watoto Missenyi

Kikundi cha mtandao wa WhatsApp kijulikanacho kama Buhaya Tegeka wilayani Missenyi mkoani Kagera kimetoa mfano wa kunufaisha jamii kuliko kujinufaisha chenyewe kwa kuchangia vitu kadhaa vya mahitaji ya watoto Na, Respicius John, Missenyi-Kagera Kikundi cha mtandao wa Whatsapp cha Buhaya…

24 February 2025, 3:44 pm

Dokta Samia kufanya ziara Pangani, februari 26 2025

Katika Wilaya ya Pangani Mheshimiwa Rais pamoja na mambo mengine ataongea na wananchi katika uwanja wa Kumba kuanzia saa mbili kamili asubuhi hivyo wananchi mnaaswa kufika mapema kuumlaki mgeni wetu Mkuu wa (W) Pangani Bi Gift Msuya Na Maajab Ally…

21 February 2025, 10:55 am

Vijana washauriwa kuhudhuria EJITIMAI

Nitoe wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kuudhuria mafunzo haya kwasababu mpaka sasa wenzetu kutoka nje ya wilaya ya Pangani wameishafika kwa ajili ya kuudhuria mafunzo haya Na Abdillahim Shukran Washuku Waumini wa dini ya kiislam katika wialaya Pangani mkoani…