Storm FM

Ukatili

17 May 2024, 9:32 am

Vitendo vya ulawiti watoto tishio Geita

Vitendo vya ukatili kwa watoto Geita ikiwemo ulawiti vimeendelea kushika kasi huku mamlaka zikiombwa kuendelea kuchukua hatua kali ili kuvikomesha. Na Mrisho Sadick – Geita Jeshi la polisi mkoani Geita limetoa tahadhari juu ya ongezeko la vitendo vya ulawiti kwa…

28 January 2024, 12:55 pm

Wachimbaji na wavuvi hawatumii vyoo kisa imani potofu

Makundi ya wachimbaji na wavuvi yako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko hususani kipindupindu kwasababu hawatumii vyoo kwenye maeneo yao. Na Mrisho Shabani: Wachimbaji wa madini ya dhahabu pamoja na wavuvi mkoani Geita wametajwa kuwa ni miongoni mwa makundi ambayo hayana…

4 January 2024, 11:12 am

Aonekana hai baada ya kufariki miaka 3 iliyopita Geita

Mwanamke Mugumba Misalaba aliyepatikana akiwa hai Fitina baada ya kufariki miaka 3 iliyopita. Picha na Amon Bebe Matukio ya baadhi ya watu kufariki dunia na kuonekana tena yameendelea kutokea katika maeneo tofauti, jambo ambalo linazua mizozo na kuhusishwa na imani…

27 November 2023, 11:36 pm

Kivuko cha meli Mharamba chasombwa na maji, wananchi wakwama

Mvua zinazoendelea kunyesha bado ni changamoto kwa wakazi katika maeneo tofauti mkoani hapa. Na Said Sindo- Geita Wakazi wa kijiji cha Mharamba, wilaya ya Geita mkoani Geita wamesema maisha yao yako hatarini kutokana na kivuko (Gati) walichokuwa wakitumia kusombwa na…

25 November 2023, 11:26 am

Mwanamke aliyejeruhiwa na mume wake anaendelea vizuri

Bwana Colini mtendaji wa mtaa wa 14 kambarage ndiye aliyetolea taarifa tukio hilo la ugomvi wa mke na mume baada ya kutokea mtaani hapo. Na Kale Chongela- Geita Mwanamke Justina Paul ambaye alijeruhiwa kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake na…

18 November 2023, 3:38 pm

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza tishio wilayani Geita

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza yameendelea kuwa tatizo miongoni mwa wakazi wa Mkoa wa Geita huku mtindo wa maisha ukitajwa kuwa sababu. Na Mrisho Sadick – Geita Idadi ya wagonjwa wanaosumbuliwa na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ikiwemo  kisukari katika kituo cha…