Ruangwa FM
Ruangwa FM
16 April 2021, 7:23 am
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka vijana wanaojihusisha na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi mdogo wa madini ya dhahabu Njawale uliopo katika kijiji cha Mibure wilayani humo, kuacha tabia ya kutumia madawa ya…
26 November 2020, 8:16 am
Klabu ya Namungo yenye maskani yake hapa wilayani Ruangwa mkoani Lindi imeahidi kupambana kufa ama kupona kwenye mchezo wake na timu ya Al Rabita ya Sudani siku ya jumamosi novemba 28 katika uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam. Namungo…
16 November 2020, 7:58 pm
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoani Lindi, FRANK FABIAN CHONYA, amewataka walimu kuendelea kufundisha kwa bidii na kwa mujibu wa kalenda ya masomo inavyowataka, ili kutimiza malengo ya ufaulu waliojiwekea katika halmashauri hiyo. Chonya ameyasema hayo jumatatu 16/11/2020…
22 October 2020, 2:08 pm
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ruangwa mkoani Lindi FRANK CHONYA amewataka wazee na viongozi wa dini wilayani humo kuhimiza amani na mshiskamano kwa wananchi na familia zao kuelekea uchaguzi mkuu octoba 28 mwaka huu ili Taiafa liweze kuendeleza maedeleo na…
19 October 2020, 12:14 pm
Wananchi wanaofika wilayani Ruangwa kwa ajili ya kazi mbalimbali kwenye mradi wa ujenzi wa barabara ya Nanganga Ruangwa wamenywa kutohujumu ujenzi wa mradi huu kwa kuiba mali mbalimbali ili kuiwezesha serikali kumaliza mradi huo kwa wakati. Kauli hii ameitoa mkuu…
19 October 2020, 10:40 am
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka wakulima kuwa na utaratibu wa kuzidikiza mazao yao ghala kuu yanapotoka katika vyama vya msingi ili kuepuka ubadhilifu unaofanywa na baadhi ya wasafirishaji wakishirikiana na viongozi wa vyama vya…
VISSION
The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.
MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.
VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media
OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.
– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.