Ruangwa FM
Ruangwa FM
23 January 2023, 8:44 am
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ametoa siku 4 Kwa wazazi na walezi kata ya mandawa na chibula kupeleka watoto ambao hawajaenda shule la sivyo karandinga kuwapitia. Ngoma amezungumza hayo katika Ziara yake kata Kwa kata baada ya kupita…
21 January 2023, 9:47 am
Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, limepitisha Bajeti ya kiasi cha shilingi Bilioni thelathini na mbili milioni mia moja na saba laki saba na themanini na tatu elfu (32,107,783,000/=) kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024. kwa…
12 December 2022, 4:35 pm
Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi amewataka wazazi na walezi mkoani lindi kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa walimu wa kuzuia utoro kwa wanafunzi ili waweze kusoma na kuyafikia malengo yao. Komba ameyasema hayo Disemba 12, 2022 katika viwanja vya CWT…
11 December 2022, 6:51 pm
Wakulima wabnaohudumiwa na chama kikuu cha Ushirika RUNALI kinachohudumu katika wilaya za Ruangwa,Nachingwea na Liwale mkoani Lindi, wametakiwa kutumia pesa zao za korosho kununua chakula na kuhifadhi kutokna na uwapo wa dalili ya janga la njaa lililosabishwa na ukame kwa…
8 December 2022, 3:42 am
Kuelekea maadhimisho ya siku wa Uhuru Tanzania Watumishi wilayani ruangwa wamejumuika na wananchi wa wilaya hiyo kwenye Bonanza maalumu la Michezo lilofanyika usiku wa taraehe 8/12/2022 katika uwanja wa Majaliwa Wilayani humo. Ambapo katika mchezo wa mpira wa miguu…
21 November 2022, 3:35 pm
Mwanafunzi wa Darasa la kwanza aliejulikana kwa jina la Adam Kaisi Jika (9) katika shule ya msingi Singino, wilayani kilwa mkoani Lindi, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na kabati la kuhifadhia vitabu na madaftari wakati akicheza na wenzake shuleni hapo.…
17 November 2022, 3:56 pm
Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…
17 November 2022, 3:52 pm
Mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya ya ruangwa Andrew Chikongwe amewashauri watendaji WA kata na vijiji pamoja na madiwani kuweka mipango ya wanafunzi kufundishwa kilimo ili kuwajengea watoto uwezo mzuri wa kujifunza Maisha ya kujitegemea wawapo mtaani. “Watendaji nendeni mashuleni watoto…
19 October 2021, 3:39 pm
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam ( DIT) wamezindua kampeni ya ya kuhamasisha wanafunzi wakike kusoma masomo ya sayansi ili kuendana na kukua kwa teknolojia itakayowapa fursa zaidi katika uchumi wa viwanda. Kampeni hiyo imezinduliwa leo octoba 17 wilaya Ruangwa…
16 April 2021, 5:18 pm
Wananchi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi wamelalamikia tatizo la kukatika umeme mara kwa mara bila taarifa hali inayoelezwa kusababisha kusimama kwa baadhi ya shughuli mbalimbali hasa zile zitegemeazo nishati hiyo muhimu katika jamii. Baadhi ya wananchi hao hasa kundi la…
VISSION
The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.
MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.
VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media
OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.
– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.