Ruangwa FM
Ruangwa FM
04/08/2025, 23:27

Mgombea wa Ubunge CCM, Kaspar Kaspar Mmuya, ameibuka kidedea katika kura za maoni jimbo la Ruangwa, akijizolea kura 5,966 kati ya kura halali 9,547, leo Agosti 4.
Mmuya amewashinda wapinzani wake watatu kwa mbali ikiwa ni
Ushindi huu unaimarisha nafasi ya Mmuya kupeperusha bendera ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu october mwaka huu