Pangani FM
Pangani FM
June 7, 2025, 7:47 am
Ni kurahisisha mawasiliano na wasiosikia Na Stephano Simbeye Shirika lisilo la Kiserikali la ADP Mbozi mkoani Songwe limewasihi watoa huduma za afya nchini kuielewa lugha ya alama inayotumiwa na wenye changamoto za kusikia ili waweze kuwasiliana vuziri na watu wanaotumia…
5 June 2025, 7:00 pm
Na George Augustino. kijana aliyefahamika kwa jina moja maarufu la digidigi (48) amefariki dunia katika ajali ya gari la mizigo iliyotokea leo majira ya saa tano asubuhi katika daraja linalounganisha kijiji cha orongadida na kijiji cha majengo vilivyopo katika kata…
4 June 2025, 5:37 pm
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Sengerema na waziri wa zamani wa nishati na madini Wiliam Mganga Ngeleja ametimiza ahadi yake aliyoitoa kwenye harambee ya ujenzi Ofisi ya Kata ya Ibisabageni ya kutoa Tofari 2,000, zilizo kabidhiwa leo na Ndg.Festo Lugega.…
22 May 2025, 2:02 pm
Migogoro mingi ya Wanandoa inasababishwa na kutokuandika Wosia inapotokea mume amefariki Dunia ndugu wa mwanaume wanakuja juu na kumdhurumu mali mjane aliyeachwa na marehemu wakati mali hizo wamezitafuta wawili hao. ” Dc Dkt Vicent Anney “ Wananchi wa kata za …
21 May 2025, 4:02 pm
‘‘Tunahitaji nishati ya umeme ya kutosha mahitaji yetu ni kweli juhudi ni kubwa sana zinazofanywa na kiongozi wetu mkuu wa nchi hii Rais ,Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa kutosha ili waweze kuongeza uzalishaji mali na kujiongezea…
12 May 2025, 2:36 pm
Jamii za kifugaji zimekuwa haziwapi nafasi wanawake ya kuwa viongozi kutokana na mfumo dume. Wengi wa wanajamii kutoka ndani ya jamii hiyo wakiwa na imani kwamba mwanamke hawezi kuongoza wanaume. Na Saitoti Saringe
1 April 2025, 11:58 am
Kipindi hiki kinaangazia hali ya utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati wa Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa kupitia kwa Bi Lukia Mnyachi Mwenyekiti wa kijiji cha Nyengedi ambae ni mwanamke pekee aliyefanikiwa kupata kuwa mwenyekiti wa kijiji kwa kata…
21 March 2025, 15:39 pm
Mwaka 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais ambapo kupitia mafunzo hayo yatawawezesha waandishi wa habari kupitia vipindi vyao kushawishi wanawake kuingia katika kinyanyiro cha uchaguzi. Na Mwanaidi Kopakopa Leo tarehe 21 Machi 2025, Chama cha…
19 March 2025, 5:13 pm
Watu watatu wamefariki dunia na wengine kumi na tano (15) kujeruhiwa mara baada ya gari walokuwa wakisafiria kupata ajali huko Maeneo ya Tunguu Car wash. Akithibitisha kutokea ajali hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa…
6 March 2025, 09:47
Hali hii sasa imekuwa kawaida kwa madereva wa bajaji kuchukua hatua za kujiua kisa kushindwa kurejesha malengo kwa maboss zao,mamlaka ziingilie kati kuhusu mikataba ya ya madereva wengi Na Ezekiel Kamanga Siku chache baada ya dereva wa Bajaj mkazi wa…