KIFO
19 August 2022, 10:22 am
Stamina ndani ya Banja Beat ya Pangani FM
Niaje, Karibu kusikiliza Podcast ya Pangani FM Leo hii tumekuletea mkali wa vina na ‘wordplay’ stamina ambaye amepia stori na Mtangazaji wetu Stephano Simanagwa katika kipindi cha Banja Beat kinachokwenda hewani Jumatatu mpaka Ijumaa saa 8 kamili mchana mpaka saa…
17 August 2022, 4:04 pm
Watu Nane wa Familia Moja wahisiwa kula chakula chenye Sumu Pangani.
Hali ya afya ya watu wa familia moja waliopata madhara baada ya kula chakula kinachohisiwa kuwa kimechanganyika na sumu wilayani Pangani Mkoani Tanga inaendelea vizuri na tayari saba kati yao wameruhusiwa kutoka hospitalini huku mmoja akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.…
11 August 2022, 5:25 pm
Wakenya wengi wasusia Uchaguzi 2022.
Nchini Kenya leo ni siku ya 2 tangu wananchi wake walipopanga mstari kuelekea masanduku ya kupiga kura kuwachagua viongozi wao katika uchaguzi mkuu wa 2022 mara baada ya kampeni kukamilika. Vyombo vya habari nchini humo vinajaribu kufanya hesabu za kumjua…
26 July 2022, 6:55 pm
Funguni Sekondari yapokea Milioni Mia Mbili za Mabweni.
Shule ya Sekondari Funguni iliyopo Wilayani Pangani mkoani Tanga imepokea kiasi cha pesa shilingi millioni mia mbili kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wakike na wakiume. Akizungumza na Pangni FM katibu tawala Wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange…
25 July 2022, 1:11 pm
Wanawake na Sensa 2022
Habari, Karibu kusikiliza Podcast ya Pangani FM juu ya Ushiriki wa Wanawake katika Sensa ya Watu na Makazi 2022.
6 July 2022, 5:10 pm
Shule za Pangani zafanya vizuri matokeo ya kidato cha Sita 2022.
Baraza la mitihani nchini NECTA hapo jana limetangaza matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2022. Matokeo hayo yamezionyesha shule za wilaya ya Pangani kufanya vizuri. Jumanne Julai 5 Mbunge wa Jimbo la Pangani Mh. Jumaa Hamidu Aweso amefanya…
30 June 2022, 7:03 pm
Mwili wa mtu mmoja waokotwa ukiwa umeharibika Pangani.
Jeshi la Polisi Wilayani Pangani Mkoani Tanga limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mtu moja Mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 24 hadi 25 aliyefahamika kwa jina Kombo Juma katika eneo la Kumba Mtoni lililopo kwenye kijiji cha Pangani…
28 June 2022, 6:30 pm
Marufuku Bidhaa za Misitu kubebwa kwenye Pikipiki Pangani.
Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) wilayani Pangani mkoani Tanga imepiga marufuku ubebaji wa mazao ya misitu ikiwemo mkaa kwa kutumia pikipiki ikiwa ni sehemu ya kupunguza mianya ya utoroshaji wa mazao hayo kwa njia za magendo. Afisa mhifadhi wa…
20 June 2022, 7:09 pm
Pangani FM kuongeza nguvu katika Sensa 2022
Kituo cha Redio Pangani FM kilichopo wilayani Pangani mkoani Tanga kinatarajia kuongeza nguvu katika kuisaidia serikali kufanikisha zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022. Hayo yameelezwa na mhariri wa kituo hicho Bw. Erick Mallya kufuatia mafunzo maalum…
20 June 2022, 6:32 pm
Wanaume wa Pangani na malezi ya Watoto.
Wanaume wilayani Pangani Mkoan Tanga wamepewa wito wa kutimiza vyema wajibu wao katika malezi ya watoto bila ubaguzi wa kijinsia. Wito huo umetolewa na baadhi ya kina mama wilayani humo ambao kwa wamezungumza na Pangani FM. Wanawake hao wamedai kuwa…