Pangani FM
Pangani FM
23 July 2025, 22:45 pm
Mradi wa Kuwawezesha Mabinti Kupaza Sauti umepongezwa kwa kuleta mabadiliko chanya kwa wasichana Mtwara kwa kuwaongezea ujasiri, sauti na ushiriki katika maamuzi muhimu. Awamu ya tatu imezinduliwa Julai 2025, ikilenga kufikia mabinti wengi zaidi na kushirikisha jamii kwa upana. Na…
July 8, 2025, 7:54 pm
Balozi Sirro amezitaka halmashauri za wilaya ya Kasulu kufanya kazi kwa ushirikiano kubuni vyanzo vya utalii ambavyo vitasaidia kuongeza fedha za kigeni. Na Michael Mpunije- Kasulu, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka watumishi wa Umma wilayani…
8 July 2025, 1:02 pm
Picha kwa msaada wa mtandao Na habari Dorcas charles Katika kukabiliana na ongezeko la matukio ya ukatili dhidi ya watoto na wanawake baadhi ya wananchi wameanza kuchukuwa hatua madhubuti kwa kuripoti visa hivyo. Joyce Elias Katika maeneo mengi nchini ukatili…
5 July 2025, 9:14 am
picha kw msaada wa mtandao Tanzania ina sera na sheria mbalimbali zinazopinga ukatili wa kijinsia, ikiwemo Sheria ya Makosa ya Kujamiiana ya mwaka 1998, inayolinda hasa wanawake na watoto dhidi ya vitendo vya ukatili Na pia ipo Sheria ya Kanuni…
3 July 2025, 19:38
Kujichukulia sheria ni kosa la jina kwa mjibu wa sheria za nchi,na ndio maana wasimamizi wa sheria wamekuwa wakisisitiza wanapobaini uwepo wa waharifu kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Na Hobokela Lwinga Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Jonas Mkazi…
3 July 2025, 11:24
Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limeendelea kuhakikisha linafikisha huduma ya umeme kwa wananchi Na Emmanuel Matinde Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limesema kazi ya utekelezaji wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawati 49.5 katika Mto Malagarasi wilayani Uvinza mkoani Kigoma,…
23 June 2025, 4:09 PM
“Kutokana na ongezeko la wateja wanaohitaji huduma ya maji kupitia MANAWASA, kumesababisha chanzo chetu kuzidiwa hivyo kulazimika kuwa na mgao wa maji ili kila mteja asikose kabisa maji“ Na Neema Nandonde Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Masasi-Nachingwea…
16 June 2025, 19:00
Thamani ya mtu iko mikononi vivyo hivyo thamani ya taasisi iko mikononi mwa mtu pia. Na Hobokela Lwinga Katika kuthamini mchango wa uandaaji wa maudhui ya kupigania haki za watu wenye ulemavu Shirika la Tanzania Joy Women Entrepreneurship for the…
9 June 2025, 7:28 pm
Nilikuwa napata malalamiko kuwa idara ya manunuzi ina shida Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Ripoti ya Mkaguzi mkuu wa Nje Mkoa wa Morogoro imebaini mapungufu kadhaa Katika hoja 18 zilizotolewa na Mkaguzi huyo katika ripoti yake ya ukaguzi wa fedha na…
8 June 2025, 4:39 pm
Na Mary Julius. Khamis Rashid Khamis, mwanaume mwenye umri wa miaka 26 na mkazi wa Michamvi Pingwe, Wilaya ya Kusini Unguja, amefariki dunia baada ya kuungua kwa moto akiwa amelala ndani ya nyumba yake ya makuti, tukio hilo limetokea usiku…