Nuru FM
Nuru FM
May 8, 2025, 1:03 pm
Na Mwandishi wetuMadaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wa Rais Samia wamehitimisha kambi ya utoaji huduma za kibingwa katika halmashauri zote nane (8) za mkoa wa Kagera ambapo wananchi wameomba utaratibu huo kurasimishwa ili waendelee kuwapunguziwa gharama za matibabu. Wakihojiwa na…
7 May 2025, 7:43 pm
Na Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, kuboresha huduma za afya kwa wananchi wote zanzibar , Taasisi ya PharmAccess…
7 May 2025, 4:53 pm
Na Mary Julius. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema serikali ya awamu ya nane ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk Hussein Ali Mwinyi katika kipindi cha miaka 4 imewekeza zaidi…
May 5, 2025, 12:46 pm
Sajenti Ahobokile Lugembe (kushoto) akitoa elimu kwa wananchi wa Vwawa. Picha na John Kiango Elimu ya wazi yatolewa kwa wananchi wa Wilaya ya Mbozi juu ya namna ya kujikinga na majanga ya moto yanapotokea. Na John Kiango Jeshi la zimamoto…
May 2, 2025, 1:06 pm
Takribani wananchi elfu kumi katika Kata ya Mbuguni Wilayani Arumeru Mkoani Arusha waliokuwa wakipata athari mbalimbali ikiwemo kupoteza makazi na maisha ya watu kutokana na bonde la Mto Nduruma kujaa maji wameanza kupata ahueni baada ya bonde hilo kudabuliwa. Na…
24 April 2025, 6:43 pm
Na Mary Jamii imetakiwa kuendelea kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa wa malaria kwa kuchukua tahadhari ili kuepukana ugonjwa huo.Wito umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Amour Suleiman wakati wa maadhimisho ya siku ya malaria yaliyofanyika Nungwi…
April 24, 2025, 10:10 am
Wasanii na wadau wa sanaa wilaya ya Butiama mkoani Mara wametakiwa kuwa na jukumu la kutoa maoni juu ya bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia vyombo washirika. Na Swaiba Oscar na Robert Mwampembwa
April 24, 2025, 10:08 am
“Msongo wa Mawazo Humfanya Mama Mjamzito kushindwa kula Chakula Vizuri, Chakula ambacho ni Mhimu kwa matoto na inaweza sababisha mtoto kuzaliwa akiwa malemavu” Habibu Sasagale Na Sharifat Shinji Ripoti ya mwaka 2021 kupitia taasisi ya Centers for Disease Control and…
23 April 2025, 2:29 pm
Picha ya Gabriel Elias ni daktari kutoka kituo cha afya cha Town Clinic. Picha na Anna Mhina “Tupewe elimu ya njia sahihi ya kusafisha sikio” Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa halmashauri ya manispaa ya wilaya ya Mpanda mkoani…
22 April 2025, 5:24 pm
Na Mwandishi wetu. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud ameitaka jamii kupokea mabadiliko ya ongezeko la dozi ya chanjo ya polio kwa watoto ili kuwakinga na ugonjwa huo ambao husabaisha ulemavu au kufariki dunia . Ameyasema hayo…