Habari za Iringa
26 April 2024, 9:58 am
Wananchi Kiwele waomba Josho la kuogeshea mifugo
Kuogesha mifugo ni muhimu sana kwani husaidia katika kudhibiti wadudu wanaosababisha magonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa Kata ya Kiwele iliyopo jimbo la Kalenga Mkoani Iringa wanakumbana na changamoto ya ukosefu wa josho jambo linalopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kuogesha…
25 April 2024, 9:50 am
Mbunge Nyamoga aanza ziara Kilolo, barabara yawa kero kubwa
Mvua zinazoendelea kunyesha hapa Nchini zimesababisha uharibifu katika Barabara hasa eneo la Katika jimbo la Kilolo Mkoani Iringa. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Kilolo Mkoani Iringa Justin Nyamoga amefanya ziara ya kutembelea barabara zilizopo katika Kijiji cha Lulindi…
24 April 2024, 10:27 am
Waonywa kuacha kuwatumikisha watoto katika uchungaji wa mifugo
Licha ya serikali kuweka mazingira rafiki kwa watoto kusoma bado kuna baadhi ya wazazi wamekuwa na tabia ya kuwapeleka watoto kuchunga mifugo. Na Joyce Buganda Jamii ya wafugaji Kata ya Kiwele Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imetakiwa kuwapeleka watoto wao…
24 April 2024, 10:14 am
Iringa watakiwa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalam wa afya
Kutofuata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa Husababisha magonjwa kama ugonjwa wa figo, Ini na usugu wa ugonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa Manispaa ya Iringa wametakiwa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya ili…
23 April 2024, 10:12 am
RC Serukamba agoma kukagua miradi
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba ameagiza kufanyika ukaguzi wa miradi ambayo haitekelezwi na kujua changamoto inayokwamisha utekezaji wake. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba amekataa kuendelea na ziara ya kukagua miradi isiyo na changamoto…
22 April 2024, 1:46 pm
Wagonjwa 800 Iringa wamepata huduma katika kambi ya Madaktari Bingwa
Katika kupambana na Magonjwa mbalimbali, Hospital ya rufaa Mkoa wa Iringa iliandaa Kambi ya kuwahudumia wananchi wenye changamoto za kiafya. Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wagonjwa 800 wamepata huduma ya kibingwa kutoka Kambi ya Madaktari Bingwa kutoka JKCI ijulikanayo Kama…
22 April 2024, 10:39 am
Barabara ya Mafinga- Mtwango yatengenezwa
Kukarabatiwa kwa Barabara ya Mafinga- Mtwango ambayo imekuwa ikitumiwa na wakazi wa eneo hilo katika shughuli za kiuchumi imekuwa mkombozi. Na Tumain Msowoya Serikali imenza kutengeneza Eneo la Barabara ya Mafinga – Mtwango lililokuwa na utelezi hadi kusababisha magari kukwama…
19 April 2024, 11:06 am
Uvccm Iringa wapongeza kurejeshwa kwa mikopo ya asilimia 10
Mikopo ya asilimia 10 inawanufaisha vijana, Wanawake na watu wenye ulemavu katika shughuli za kiuchumi. Na Adelphina Kutika Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassani kwa kurejesha tena utoaji…
16 April 2024, 10:14 am
Wananchi wa Wangama Iringa wanakabiliwa na adha ya usafiri
Licha ya serikali kuweka kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu ya barabara, dado wananchi wa Kijiji cha Wangama wanakabiliwa na changamoto ya usafiri. Na Fabiola Bosco Wananchi wa kijiji cha Wangama kata ya Luhota halmashauri ya wilaya ya Iringa wanakabiliwa na…
16 April 2024, 10:09 am
Madaktari bingwa kutoka JKCI kuweka kambi Iringa
Serikali imefanya jitihada za kukabiliana na Magonjwa yasiyoambukiza kwa kuwaleta wataalamu kutoka Taasisi ya JKCI Mkoani Iringa kuweka Kambi ya kuwahudumia wakazi wa Mkoa huu. Na Adelphina Kutika MAMIA ya Wananchi kutoka maeneo mbalimbali mkoani Iringa wamejitokeza kwa wingi kwenye…