Mpanda FM
Mpanda FM
3 July 2025, 11:24 am
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Ushirika Duniani kwa mwaka huu yatafanyika kitaifa huko Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, siku ya Jumamosi, tarehe…
1 July 2025, 5:12 pm
“Bado tunasafari kubwa sana katika kuelimisha jamii ya watoa huduma wa dawa muhimu za binadamu maana wengi wao wanakiuka mashariti ya leseni zao bahati mbaya sana hata wanaohudumiwa nao wanaingia kwenye makosa yale yale”. Na, Daniel Manyanga Mamlaka ya dawa…
1 July 2025, 3:27 pm
Tuzo za World Travel Awards,hushirikisha makundi mbalimbali katika sekta ya utalii, ikiwa ni pamoja na hoteli, viwanja vya ndege, mashirika ya ndege, vivutio vya kitalii, waandaaji wa matukio na tamasha, na huduma nyingine zinazohusiana na usafiri na ukarimu. Na Mary…
30 June 2025, 6:52 pm
“Twendeni tukatende haki kwa kuzingatia miiko ya taaluma zetu pale ambapo tunatekeleza majukumu ya ubora wa bidhaa ambazo zipo sokoni bila kukandamiza wafanyabiashara wanaolalamikia utendaji kazi wakati wa ukaguzi”. Na, Daniel Manyanga Wafamasia, wataalam wa maabara na maafisa mifugo katika…
24 June 2025, 12:05
Wananchi wametakiwa kuzingatia unywaji wa maziwa safi na salama kwa ajili ya afya yao. Na Orida Sayon Ukosefu wa elimu kuhusu afya ya mifugo imetajwa kuwa changamoto ya uzalishaji wa mazao ya maziwa katika halimashauri za wilaya za Kigoma, Buhigwe,…
18 June 2025, 13:13
Sheria ni msumeno huwa unakata kote kote kauli hii ina maana kuwa hakuna mtu yeyote aliye juu ya sheria. Na Hobokela Lwinga Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Sayansi na…
17 June 2025, 1:24 pm
Na Mary Julius. Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdul-latif Yussuf, amesema Mamlaka ya Leseni na Usalama Barabarani imekamilisha maandalizi ya mfumo mpya wa kidijitali utakaoimarisha utoaji wa matokeo ya majaribio ya udereva ndani ya muda…
14 June 2025, 10:08
Serikali imesisitiza wananchi kutumia vyandarua kwa matumizi yaliyokusudiwa ili waweze kujikinga na ugonjwa wa Malaria Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo kuhakikisha vinafuatilia na kubaini wananchi wanaouza…
12 June 2025, 5:01 pm
Na Mary Julius. Chama Cha Wanunuzi vitu chakavu Zanzibar wamesema kumekuwa na ufanisi mkubwa wa huduma za minada tangu kuazishwa Ofisi ya Msajili wa Hazina na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi. Hayo…
11 June 2025, 12:16 pm
Wateja Mkoani Iringa wametakiwa kudai risiti kila wanapofanya manunuzi, hii kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Peter Serukamba, amewataka wafanyabiashara wote mkoani Iringa kuacha mara moja tabia ya kutoa risiti bandia kwa…