Mpanda FM

MAENDELEO

3 July 2025, 11:24 am

Zanzibar kuadhimisha siku ya ushirika duniani Kizimkazi

Na Mary Julius. Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Ushirika Duniani kwa mwaka huu yatafanyika kitaifa huko Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, siku ya Jumamosi, tarehe…

1 July 2025, 3:27 pm

Zanzibar yawasha moto tena Afrika tuzo ya pili mfululizo WTA

Tuzo za World Travel Awards,hushirikisha makundi mbalimbali katika sekta ya utalii, ikiwa ni pamoja na hoteli, viwanja vya ndege, mashirika ya ndege, vivutio vya kitalii, waandaaji wa matukio na tamasha, na huduma nyingine zinazohusiana na usafiri na ukarimu. Na Mary…

30 June 2025, 6:52 pm

TMDA yawapiga msasa wakaguzi wa dawa na vifaa tiba Simiyu

“Twendeni tukatende haki kwa kuzingatia miiko ya taaluma zetu pale ambapo tunatekeleza majukumu ya ubora wa bidhaa ambazo zipo sokoni bila kukandamiza wafanyabiashara wanaolalamikia utendaji kazi wakati wa ukaguzi”. Na, Daniel Manyanga  Wafamasia, wataalam wa maabara na maafisa mifugo katika…

24 June 2025, 12:05

Uzalishaji wa maziwa kwa wafugaji bado hafifu Kigoma

Wananchi wametakiwa kuzingatia unywaji wa maziwa safi na salama kwa ajili ya afya yao. Na Orida Sayon Ukosefu wa elimu kuhusu afya ya mifugo imetajwa kuwa changamoto ya uzalishaji wa mazao ya maziwa katika halimashauri za wilaya za Kigoma, Buhigwe,…

14 June 2025, 10:08

Wanaouza vyandarua nje ya nchi kuchukuliwa hatua

Serikali imesisitiza wananchi kutumia vyandarua kwa matumizi yaliyokusudiwa ili waweze kujikinga na ugonjwa wa Malaria Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo kuhakikisha vinafuatilia na kubaini wananchi wanaouza…

12 June 2025, 5:01 pm

Ofisi ya Msajili wa Hazina yaleta ufanisi Zanzibar

Na Mary Julius. Chama Cha Wanunuzi vitu chakavu Zanzibar wamesema kumekuwa na ufanisi mkubwa wa huduma za minada tangu kuazishwa Ofisi ya Msajili wa Hazina na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi. Hayo…

11 June 2025, 12:16 pm

RC Iringa awaonya wanaotoa risiti bandia

Wateja Mkoani Iringa wametakiwa kudai risiti kila wanapofanya manunuzi, hii kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Peter  Serukamba, amewataka wafanyabiashara wote mkoani Iringa kuacha mara moja tabia ya kutoa risiti bandia kwa…