Mpanda FM
Mpanda FM
30 July 2025, 12:20 pm
Ili kuhimiza matumizi ya rasilimali ya bidhaa za ngozi, Katibu wa Chama Cha Wazalishaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, Timoth Funto, ametangaza kuanzishwa kwa mradi wa kutengeneza viatu vya ngozi milioni 10 vitakavyosambazwa katika skuli mbalimbali nchini. Na Mary Julius.…
30 July 2025, 11:18 am
Mradi huu wa Boresha Maisha yaVijana tayari umefika katika mikoa Takribani mine na tayari umegusa maisha ya vijana 40, 000 hapa nchini. Na Mriam Kasawa. Uongezaji wa thamani katika mazao ni moja ya njia zinazo tajwa kuwanufaisha vijana jijini Dodoma…
July 28, 2025, 7:30 pm
”Wananchi mnapaswa kutumia mitandao ya kijamii kama fursa ya kutangaza biashara zenu na siyo kupoteza muda kwa kuangalia habari za udaku muda wote’’ Bernadetha Clement Mathayo Afisa Mawasiliano TCRA kanda ya ziwa. Na Revocutus Andrew Wananchi Kanda ya Ziwa wameaswa…
20 July 2025, 10:35 am
“Ikiwa wahariri watasimamia vyema majukumu yao watasaidia kuondosha taarifa zinazopelekea migongano ndani ya jamii” Na Juma Haji. Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohhamed amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa waangalifu juu ya maudhui wanayochapisha ili…
19 July 2025, 5:19 pm
Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya amesema bila ya uwepo wa TRA, serikali zote mbili — ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ya Mapinduzi ya Zanzibar — zisingeweza kutekeleza mipango ya…
17 July 2025, 12:11 pm
“Ikiwa sheria zilizopo kwenye tasnia ya habari zitafanyiwa marekebisho kutapelekea kupatikana kwa mageuzi makubwa kwenye fani hiyo na kurahisisha utendaji kwa wandishi wa habari“ Na Tamwa Zanzibar. Kupatikana kwa sheria mpya na rafiki ya habari visiwani Zanzibar kutasaidia kuweka mazingira…
12 July 2025, 12:12 pm
Moto huo ulizuka majira ya saa 8 usiku ambapo mali mbalimbali za wafanyabiashara zikiteketea na kusababisha hasara. Na Ayoub Sanga Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu, lililoko katikati ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, wamejikuta katika majonzi makubwa baada ya…
10 July 2025, 13:09
Madaktari bingwa kutoka nchi Tanzania wanatarajia kuweka kambi ya matibabu katika maeneo mbalimbali nchini Burundi kwa lengo la kutoa matibabu kwa wananchi Burundi. Na Bukuru Daniel Ubalozi wa Tanzania nchini Burundi kwa kushirikiana na wizara ya afya na VVU/UKIMWI nchini…
5 July 2025, 9:05 pm
Serikali ya Mapinuzi ya Zanzibar imejipanga kufanya mageuzi kwenye Sekta ya Ushirika ili kuhakikisha inavijenga Vyama vya Ushirika kuwa imara, endelevu na vyenye kutoa tija kwa Wanachama wake. Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imedhamiria kuendeleza juhudi…
3 July 2025, 19:38
Kujichukulia sheria ni kosa la jina kwa mjibu wa sheria za nchi,na ndio maana wasimamizi wa sheria wamekuwa wakisisitiza wanapobaini uwepo wa waharifu kufikishwa kwenye vyombo vya sheria. Na Hobokela Lwinga Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Jonas Mkazi…