Mpanda FM
Mpanda FM
1 May 2025, 1:30 pm
Picha ya baraza la madiwani Tanganyika. Picha na Beny Gadau “Tumemuondoa daktari wa Mchangani amekuwa na uwajibikaji hafifu” Na Beny Gadu Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Tanganyika wamefanya kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2025 chenye lengo…
30 April 2025, 3:59 pm
Na Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali ya Awamu ya sita inaendelea na utekelezaji wa miradi ambayo ni wezeshi katika sekta ya Uchukuzi inayojumuisha ujenzi wa reli ya kisasa, ukarabati wa viwanja…
April 29, 2025, 1:54 pm
Wakulima mbali mbali kutoka wilaya ya butiama mkoani mara wametoa maoni yao juu ya namna wanaweza kupata mavuno mengi kupitia mazao ya viazi mahindi na ulezi kulingana na ardhi ya butiama ilivyo. Na swaiba Oscar, Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti…
29 April 2025, 1:12 pm
Picha ya Afisa NIDA Katavi Mauna Karumbeta. Picha na Samwel Mbugi “Namba zinaenda kufutiwa usajili ni zile zilizotumiwa ujumbe” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na zoezi la kufutiwa usajili wa namba za nida…
28 April 2025, 14:56
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha tatizo la utapiamlo linaisha kwa watoto. Na Josephine Kiravu Watoto wenye umri chini miaka 5 wapatao 14 ambao wamegundulika kuwa na utapiamlo wamepatiwa dawa lishe ikiwemo maziwa na karanga vyenye thamani…
25 April 2025, 4:24 pm
Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud amewahimiza wananchi wafanya biashara na wawekezaji kulipa umuhimu suala la kulipa Kodi kwa wakati kwa maendeleo ya TaifaAyoub ametoa kauli hiyo huko paje wakati akizindua ofisi ya Mamlaka…
April 24, 2025, 11:40 pm
Baptist ameeleza faida za mtandao wa redio za kijamii zinavyonufaisha vituo vya redio na wafanyakazi wake. Na Sharifat Shinji Mwenyekiti wa Mtandao wa Redio za Kijamii Tanzania (TADIO) Ndg. Baptist John amewataka wanachama wa redio za kijamii nchini kuendelea kufanya…
19 April 2025, 13:19
Dunia ina mambo kila inapaoitwa leo matukio ya mauaji yamezidi kuongezeka. Na Ezekiel Kamanga Mchungaji Golden Ngumbuke(66)wa Kanisa la Pentecoast Evengelical Fellowship Africa(PEFA)la Iganzo Jijini Mbeya ameuawa nje ya nyumba yake Mtaa wa Mwafute Kata ya Ilemi na wananchi waliojichukulia…
18 April 2025, 5:10 pm
Na Joyce Buganda Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo TCCIA imeandaa maonesho ya Biashara, viwanda na kilimo yatakayofanyika Wilayani Kilolo Mkoani Iringa kuanzia Mei 21 hadi Mei 25, 2025 yakilenga kuwapatia nafasi wahusika wa sekta hizo kuonesha shughuli wanazozifanya ili…
18 April 2025, 4:29 pm
Baraza la mji Kati. Baraza la Mji Kati wametakiwa kufuata taratibu, sheria na Kanuni zilizowekwa na Serikali pindi wanapotaka kuanzisha Viwanja vya kufurahia Watoto kwalengo la kuwa na Viwanja vilivyo bora.Meneja Mipango kutoka ZSSF ambae pia Msimamizi wa Viwanja vya…