Mpanda FM

Uncategorized

9 February 2024, 2:16 pm

TAKUKURU Katavi yajipanga uchaguzi serikali za mitaa

Tumejipanga kutoa elimu na kuzuia rushwa  kwa Wananchi na wagombea Ili kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa  unakuwa huru na haki kwa mwaka huu na Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.Picha na mtandao Na Samweli Mbhugi-Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana…

17 January 2024, 12:48 pm

Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wajifunza Biashara ya Hewa ukaa

Utunzaji wa Misitu na upandaji Miti unahusisha biashara ya hewa ukaa .Picha na Mtandao Wanatarajia kuanza kufanya Biashara hiyo kutokana kuwa  na Maeneo yanayoruhusu kufanya   Biashara ya Hewa ukaa. Na Betord Benjamini-Katavi Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mpimbwe wilayani…

7 June 2023, 5:40 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA. Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya usalama wa chakula diniani mkoa wa katavi ni miongoni mwa mikoa Tanzania inayozalisha mazao ya chakula kwa wingi licha ya kukabiliwa na changamoto ya utapia mlo na udumavu kwa watoto. Kufuatia siku…

7 June 2023, 10:54 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

KATAVI Watu wawili  Mkoani Katavi wamehukumiwa kifungo cha Miaka Mitatu kila mmoja jela kwa tuhuma za kuua bila kukusudia huku wengine Wanne wakienda Jela kwa makosa ya Wizi. Mwandishi wa Mpanda Radio Henry Mwakifuna amefika ofisi za Kamanda wa Polisi…

1 June 2023, 10:18 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Chama cha ACT Wazalendo kimewataka wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kufanya mabadiliko ya kiuongozi ifikapo mwaka 2025 ili kuepukana na changamoto mbalimbali za kimaisha ambazo wamekuwa wakikutana nazo. Hayo yamezungumzwa na uongozi wa chama cha ACT katika…

30 May 2023, 10:19 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Wafanyabiashara wilaya Mpanda mkoani Katavi wameishutumu Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA mkoa wa Katavi kuwa ni moja ya chanzo cha  kufirisika kwa mitaji yao. Wafanyabiashara hao wamebainisha hayo katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza…

26 May 2023, 10:57 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Wadau wanaozalisha mazao yatokanayo na mifugo Mkoa wa Katavi, wametakiwa kufuata sheria, ikiwemo kuboresha usafi katika mabucha, na kuepuka matumizi ya magogo na vyuma vyenye kutu ili kulinda afya ya walaji.  Afisa Mfawidhi wa Bodi ya Nyama Kanda ya…

23 May 2023, 8:02 pm

Sauti ya Katavi (Matukio)

MPANDA Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani hapa Katavi wameshauriwa kubadilisha mfumo wa maisha katika vyakula wanavyokula ikiwa ni pamoja na kujenga desturi ya kufanya mazoezi ili kujiepusha na magonjwa yasiyo ya kuambukiza Dr Paulo Swakala ambaye ni Mganga Mkuu…

23 May 2023, 10:38 am

Sauti ya Katavi (Matukio)

KATAVI Jeshi la Polisi Mkoani hapa Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wamewakamata watu wanne wakiwa na meno ya Tembo vipande 13 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 247. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi…