Uncategorized
17 January 2023, 5:49 pm
Kilio Watendaji Uuzaji Pombe Muda wa Kazi
MPANDA Baadhi ya wananchi Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wamesema kuwa kuendelea kuwepo kwa wafanyabiashara wanaofungua kumbi za starehe na pombe kinyume na muda uliopangwa unachangiwa na watendaji wasio wajibika katika usimamizi wa sheria Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi…
17 January 2023, 5:42 pm
Wananchi Waaswa Kuzingatia Usafi Kipindi cha Mvua
MPANDA Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshauriwa kuzingatia kanuni za usafi kipindi hiki cha masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha ili kujiepusha na magojwa ya mlipuko. Wakizungumza na mpanda radio fm wakazi wa manispaa ya mpanda wamesema ipo tabia kwa…
17 January 2023, 5:39 pm
Wauza Vyakula Waaswa Kuzingatia Usafi.
KATAVI Wananchi manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamewaomba Wauzaji wa vyakula migahawani kuzingatia kanuni za usafi ili kuepukana na Magonjwa ya milipuko yanayoweza kuwapata Wateja. Wakizungumza na Mpanda Radio wamesema kuwa kuna baadhi ya wahudumu wa migahawa hawazingazii kanuni za…
17 January 2023, 5:33 pm
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kuzinduliwa January 19 Katavi.
KATAVI Wananchi Mkoani Katavi wameombwa kujitokeza katika uzinduzi wa jengo la mahakama ya hakimu mkazi mkoani Katavi . Wito huo umetolewa na Afisa Habari wa mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Katavi Wakili James Kapele ambapo amesema uzinduzi huo utaambatana…
17 January 2023, 4:55 pm
Msasani Walia na Maji Safi.
MPANDA Wananchi wa Mtaa wa Msasani Kata ya Mpanda Hotel wamelalamikia kukosekana kwa maji safi na salama kwa matumizi yao ya kila siku. Wakizungumza na Mpanda Radio Fm Wamedai changamoto imekua ni ya kudumu kutokana na mabomba kuharibika mara kwa…
11 October 2022, 10:35 am
Wakulima Washukuru kwa Mbolea ya Ruzuku
MPANDA Baadhi ya wakulima wa mazao kata ya Minsukumilo halmashauri ya Mpanda wameishukuru serikali kwa kuwapa ruzuku ya mbolea. Wakizungumza na Mpanda radio FM wakulima hao wamesema ruzuku hiyo itasaidia kuongeza mavuno tofauti na hapo awali huku wakiwahamasisha wakulima wengine…
6 September 2022, 10:23 am
Wananchi Mkoa wa Katavi waachana na tahadhari za UVIKO 19
KATAVI Baadhi ya Wananchi mkoani Katavi wameonekana kuacha kuzingatia tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 tofauti na ilivyokua hapo awali. Mpanda radio imepita katika maeneo mbalimbali mkoani hapa na kubaini kuwa hakuna tahadhari yeyote inayochukuliwa ya kujikinga na ugonjwa…
8 June 2022, 3:55 pm
WAKULIMA WA MPUNGA WAASWA KUTUMIA NJIA ZA KISASA KUHIFADHI MAZAO
Wakulima wa Mpunga mkoani Katavi wameaswa kutumia njia za kisasa za kuhifadhi zao hilo mara baada ya kuvuna ili waweze kuendana na utunzaji bora kwa manufaa ya zao hilo likiingia sokoni. Akizungumza na Mpanda radio fm afisa kilimo kata ya…
8 June 2022, 3:42 pm
WAZAZI SIMAMIENI MALEZI KUPUNGUZA WATOTO WA MITAANI
Baadhi ya wazazi na walezi mkoani katavi wameshauriwa kuwalea watoto katika misingi bora ili kuepuka janga la watoto wa mitaani na mmomonyoko wa maadili. Wakizungumza na mpanda fm baadhi ya wazazi hao wamesema kuwa hali duni ya maisha ndio sababu…
25 May 2022, 4:23 pm
TAKUKURU: WANANCHI TUSHIRIKIANE KUTOMEZA RUSHWA
Jamii mkoani katavi imeaswa kushirikiana na tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuku katika kutokomeza vitendo vyote vya rushwa mkoani hapa. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Takukuru Mkoani katavi Festo Mdede wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa…