Uncategorized
1 May 2024, 11:59 pm
Wafanyakazi mkoani Katavi watoa ya moyoni
Miongoni mwa wafanyakazi waliofika katika viwanja vya Kashaulili kusherehekea maadhimisho ya siku hiyo .picha na Ben Gadau “waajiri wasiopeleka makato katika taasisi zinazopaswa kupeleka fedha hizo wanavunja sheria “ Na Ben Gadau -Katavi Wafanyakazi mkoani Katavi wamelalamikia adha ya waajiri…
21 April 2024, 3:48 pm
Mazishi ya aliyekuwa mmiliki wa Mpanda Fm kufanyika April 22, 2024
Pichani ni aliyekuwa mmiliki wa kituo cha mpanda redio fm Aleem Kanji enzi za uhai wake “Kifo chake kimetokana na ajali ambapo mara baada ya kufikishwa hospital kwa ajili ya matibabu alifariki dunia” Na Betold Chove- Katavi Mkurugenzi wa Mpanda…
21 April 2024, 2:09 pm
Mbunge Nsimbo akabidhi msaada kwa waathirika wa mafuriko
“Wananchi wanatakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua ambazo tayari zimeonyesha kuwa na athari ya mafuriko katika jamii” Na Ben Gadau -Katavi Mbunge wa Jimbo la Nsimbo Anna Lupembe amekabidhi msaada kwa wahanga wa mafuriko katika vijiji vya kaburonge A…
19 April 2024, 11:41 pm
Rais wa chemba ya wafanyabiashara nchini azitaka taasisi binafsi kuungana
Rais wa chemba ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent Bruno Minja akizungumza na wafanyabiashara mkoani Katavi.Picha na Veronika Mabwile “changamoto zinashindwa kutatuliwa kutokana na wafanyabiashara wenyewe kutokuwa na umoja“ Na Veronika Mabwile -Katavi Rais wa chemba ya wafanyabiashara Tanzania [TCCIA] Vicent…
12 April 2024, 8:21 pm
RC Katavi: Serikali inatambua umuhimu wa Vvongozi wa dini
Picha na Mtandao “Amewapongeza viongozi wa Baraza la BAKWATA kwa kuonyesha Ushirikiano katika juhudi zinazofanywa na Serikali na kuainisha kuwa Serikali inatambua Mchango wa Dini katika kufanya Shughuli za Maendeleo “ Na Samwel Mbugi-Katavi Viongozi wa Baraza kuu la Waislamu…
11 April 2024, 12:36 am
Ulinzi, usalama waendelea kuimarishwa Katavi
“Baraza kuu la Waislamu wanaupongeza uongozi wa Mkuu wa Mkoa kwa kuhakikisha hali ya utulivu inaimarika“ Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi wa mkoa wa Katavi Wamehakikishiwa usalama wakati wa kufanya shughuli za kijamii na kiuchumi kwa kuwa jeshi la polisi lipo…
10 April 2024, 11:24 pm
Bilioni 16 zatengwa ujenzi umeme gridi ya taifa Tabora-Katavi
Picha na Mtandao “Wakandarasi wanaohusika na ujenzi huo kutokana na kasi ya ujenzi na kuwataka kuuongeza ufanisi wa ujenzi ili kuweza kuukamilisha kwa wakati” Na Betold Chove-Katavi Kiasi cha Bilioni 16 zimetengwa na serikali kwa ajili ya kugharamia mradi wa…
8 April 2024, 3:07 pm
Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya Trillion Moja kutoka kwa Serikali
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko .Picha na Mtandao “Mafanikio ya Mkoa wa Katavi kwa miaka Mitatu ya Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Dkt Samia“ Na Liliani Vicent -Katavi Mkoa wa Katavi umepokea Fedha zaidi ya…
8 April 2024, 1:39 pm
Katavi, Kiasi cha Tshs Milioni Sita chatolewa Katika Mtaa wa Kilimani Kwa aji…
Picha na Mtandao “Baada ya kuzipokea Fedha hizo alikaa na Wajumbe kwa ajili ya kufanya Maamuzi, wakaona ni Vyema kuwashilikisha Wananchi ili kukubaliana kiasi cha kuchangia kwa ajili ya upatikanaji wa Mchanga“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi wa Mtaa wa…
8 April 2024, 12:33 pm
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi afuturisha
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastian Kapufi.Picha na Mtandao “viongozi wa serikali na wasio waserikali wamekuwa na mchango katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa ramadhani katika dhehabu hilo kwa kutoa misaada mbalimbali ikiwemo kufuturisha” Na Deus Daudi-Katavi Mbunge…