

4 April 2025, 5:09 pm
Katika wiki ya wazazi jumuiya hiyo imefanya kazi mbalimbali kwenye jamii ikiwemo ufanyaji wa usafi katika maeneo mbalimbali, upandaji miti, kutembelea vituo vya afya. Na Adelinus Banenwa Jumuiya ya wazazi chama cha mapunduzi CCM wilaya ya Bunda kimepongeza kituo cha…
2 April 2025, 6:49 pm
Amewataadharisha viongozi hao kuepuka watu wanaotaka nafasi za uongozi kwa kutumia rushwa. Na Adelinus Banenwa Katibu wa Elimu, malezi na Maadili jumuiya ya wazazi CCM Bunda ndugu Masau Magala ameitaka jamii kuzingatia kuzingatia suala la Maadili na kuepuka vitendo vya…
15 March 2025, 5:46 pm
Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…
February 5, 2025, 10:36 pm
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio ya bajeti ya Shilingi bilioni 41.2 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Na Leokadia Andrew Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, limepitisha makadirio…
23 January 2025, 6:36 pm
Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Babati na kusomewa mashtaka 52. Na Mzidalfa Zaid Aliyekuwa mhasibu msaidizi katika zahanati ya Endanachani wilayani Babati mkoani Manyara Mohamed Baya…
15 January 2025, 4:34 pm
Sengerema ni miongoni mwa Halmashauri zilizonufaika na mradi wa ujenzi minara ya mawasiliano 758 nchini, ambapo minara miwili imekamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi Sengerema. Na;Elisha Magege Jamii imetakiwa kutunza na kuilinda miundombinu ya mawasiliano inayoendelea kujengwa ili kuimalisha…
3 January 2025, 2:33 pm
Moja ya mafanikio ni ujenzi wa shule nane za sekondari mpya na kuweka miundombinu mipya katika sekondari zote za zamani. Na Seleman Kodima.Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana…
25 October 2024, 1:58 am
Leo ni siku tano tangu kukamilika kwa zoezi la uandikishaji katika daftari la makazi kwaajili ya mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji unaotarajia kufanyika Novemba 27, 2024. Na: Edga Rwenduru – Geita Chama cha demokrasia na maendeleo…
4 September 2024, 17:14
Ulaji wa chakula shuleni umeongeza ufaulu kwa wanafunzi wengi, hivyo wanafunzi wanapoandaliwa chakula inapaswa kuwepo na Mazingira ya usafi ili kuwaepusha na magonjwa ya tumbo ikiwemo kuhara. Na mwandishi wetu Baadhi ya wazazi na walezi jijini Mbeya wamewataka walimu kuwasimamia…
6 December 2023, 8:27 pm
Jamii wilayani Maswa imeaswa kuwafichua watoto wenye ulemavu waliofungiwa majumbani ili waweze kuzifikia ndoto zao kielimu, kiuchumi na kijamii. Na Alex Sayi Shiriki lisilo la kiserikali la Juniors and Child Care Foundation (JACCAFO) limefanya maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani…