Joy FM
Joy FM
June 18, 2025, 1:17 pm
Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa ya asilimia ya mikopo inayotolewa na hamashauri mji Tunduma kwa lengo la kuinua uchumi wao. Na:Denis Sinkonde Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilaya ya Momba Mkoani Songwe kwa kipindi cha uongozi wa serikali ya Awamu ya…
16 June 2025, 10:37 pm
Katika hatua ya kuimarisha mazingira ya gereza, Wakili Olengurumwa ambaye ni Mwenyekiti wa Ngorongoro Legal Aid Center ametoa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya ukarabati wa bweni la wafungwa gereza la Loliondo. Na Saitoti Saringe Tukio hilo limefanyika tarehe 16.06.2025…
14 June 2025, 3:24 PM
Mtafiti wa kilimo akitoa maelezo Katika kuifikia adhima ya serikali ya kuongez uzalishaji wa zao la kotosho kwa mwaka 2025-2026 hadi kufikia tani millioni 1 kwa mwaka 2029-2030 maafsa ugani wapewa mafunzo yatakayoleta tija kwa wakulima Na Lilian Martin Maafsa…
11 June 2025, 00:23
Wadau mbalimbali wakiwa picha ya pamoja wakiwemo watoa huduma, vyama vya ushirika, wafanya biashara, wasindikizaji wa mazao na maofisa wa serikali mara baada ya kuhitimisha mafunzo ya kikao biashara. Picha na Marko Msafiri. Awali, wakulima wengi walikumbana na changamoto mbalimbali…
8 June 2025, 14:22
Maisha ni hadithi na huwa yananyauka na kama maua,hali hiyo unaweza kuifananisha na maisha ya mwanadamu kwani huwa na nyakati tofauti mpaka kukifikia kifo. Hobokela Lwinga WatuWatu 28 wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu…
June 4, 2025, 3:09 pm
Wakazi wa mtaa ya Kigungani kata ya Mwilamvya katika Halmashauri ya Mji Kasulu waonywa kuhudhuria misibani wakiwa wamelewa na kuanzisha fujo na kutoa maneno machafu yanayoumiza kwa wafiwa na waombolezaji katika msiba. Na: Mbaraka Shaban Mwenyekiti wa kamati ya maafa…
2 June 2025, 8:12 pm
Elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ina lengo la kutunza mazingira katika Jamii. Na Adelphina Kutika Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kanda ya kati, imeendelea na jitihada zake za kuelimisha umma kuhusu matumizi…
28 May 2025, 9:06 pm
Wajumbe wanaopokea rushwa kwa wagombea wamekuwa chanzo cha viongozi wasiowajibika kwa wananchi. Na Cleef Mlelwa Uwepo wa mifumo ya kisiasa ambayo inaamini katika kugawa vitu kwa wananchi badala ya kuwajengea uwezo utakao wasaidia kujiletea maendeleo na kujitegemea imetajwa kuwa ndio…
26 May 2025, 13:11
Mafunzo hayo ni ya kuwainua wakulima kutawala katika soko la dunia kupitia uwepo wa mazingira wezeshi. Na Marko Msafiri Taasisi ya Nafaka Kilimo kupitia mradi wa Kilimo Masoko (FtMA) Kwa imewakutanisha wadau mbalimbali katika sekta ya pembejeo kwa lengo la…
21 May 2025, 12:50 pm
Katika kuhakikisha kila Mtanzania anaishi maisha bora na kupata huduma zote za kijamii, Mkuu wa Wilaya ya Hai Hassan Bomboko amefanya mkutano wa hadhara na kusikiliza kero zinazowakabili wananchi. Na Eliya Sabai –Hai Kilimanjaro. Mkuu wa Wilaya Hai Mh Hassan…