Joy FM
Joy FM
8 May 2025, 7:56 am
Wateja wamepungua kwa kasi katika siku za hivi karibuni kutokana na watu wengi kuelekeza nguvu zao katika kununua samaki Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa katika mji wa Bunda, upatikanaji mkubwa wa samaki kwa sasa umeanza kuathiri kwa kiasi kikubwa biashara…
7 May 2025, 6:44 pm
Mary Julius. Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga, amesema kwa kuwa utalii ni sekta yenye wadau wengi, wizara yake imeamua kusimamia ushirikiano wa pamoja ili kuondoa hali ya ushindani usiokuwa na tija na badala…
May 7, 2025, 11:54 am
Ni kutaka kuwaridhisha wateja Na Anyisile Freddy Wauzaji wa gesi ya kupikia wametakiwa kuwa na mizani ya kupimia mitungi ya gesi ili kulinda uaminifu kwa wateja. Mfanyabiashara wa kuuza mitungi ya gesi mjini Vwawa mkoani Songwe, Grace Sichone amesema…
6 May 2025, 3:31 pm
Wananchi ambao vitambulisho vyao vya zamani bado wanavyo na havina shida yoyote ya kufutika au kukatika na hawajahama kata au jimbo hawana haja ya kwenda kutafuta vitambulisho vingine. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wa jimbo la bunda mjini…
6 May 2025, 3:13 pm
Kutumia mbinu ya ulinzi shirikishi na kutoa elimu ili kuwafanya wananchi wawe walinzi wa maeneo hayo. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa mkoa wa Mara Kanal Evance Mtambi amezitaka mamlaka za uhifadhi ikiwemo mamlaka ya hifadhi ya taifa ya Serengeti na…
May 6, 2025, 2:00 pm
Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha wamemrudisha mwenzao aliyefariki mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…
6 May 2025, 10:18 am
Serikali tayari imetoa bilioni 53 kwa ajili ya ulipaji wa fidia kwa wakazi hao ili kuachia maeneo hayo yawe sehemu ya hifadhi ya taifa ya Serengeti. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa Nyatwali ambao tayari wamelipwa stahiki zao kwa utaratibu wa…
5 May 2025, 15:17
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imevuka lengo la ukasanyaji wa mapato ya ndani kwa asilimia 102. Na Hagai Ruyagila Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma limempongeza Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mwl, Vumilia Simbeye kwa…
5 May 2025, 12:28
Viongozi wa Serikali za mitaa na vijiji wametakiwa kusaidia kuwaelesha wananchi juu ya usalama katika maeneo yao Na Hagai Ruyagila-Kasulu Madiwani wa halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kutoa elimu ya usalama katika maeneo yao hii ni…
5 May 2025, 11:47 am
Maadhimisho ya siku ya urithi wa dunia ambayo yatafanyika Eneo la Mugumu wilaya Serengeti mkoani Mara na mgeni rasmi inatarajiwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Kamishna msaidizi mwandamizi Stephano Msumi ambaye ni mkuu wa hifadhi ya…