Jamii FM

Sanaa

18 July 2025, 11:25 am

Madada poa 17 watiwa mbaroni Katavi

Kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi SACP Kaster Ngonyani. Picha na Samwel Mbugi ” Tumekamata vijana 3 na madada poa 17 na tumewapeleka mahakamani” Na Samwel Mbugi Jeshi la polisi mkoani Katavi limefanikiwa kukamata madada poa 17 na vijana 3 waliokuwa…

15 July 2025, 11:35

Uboreshaji na upanuzi uwanja wa ndege Kigoma wafikia 27%

Serikali imesema inaendelea na uboreshaji wa miundombinu ya usafiri na usafirishaji kwa kuhakikisha inaboresha na kupanua uwanja wa ndege Kigoma ili uweze kuwa na hadhi ya kimataifa. Na Josephine Kiravu Mradi wa Upanuzi na Uboreshaji wa uwanja wa ndege Kigoma…

17 April 2025, 15:17 pm

Ulemavu na Sanaa: Kipaji ndani ya sauti

Karibu kwenye makala maalum kupitia Jamii FM, Leo tunakuletea simulizi ya kusisimua, ya kuhamasisha, na yenye kugusa hisia, simulizi ya kijana mmoja jasiri, mwenye moyo wa chuma na sauti ya dhahabu juu ya Ulemavu na sanaa Na Msafiri Kipila John…

January 24, 2025, 10:44 am

“Wasio na NIDA kajiandikisheni mpate vitambulisho”

Kitambulisho cha Taifa ni nyaraka muhimu kwa mwananchi kutokana na kuonyesha utambulisho wa mwananchi. Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wasiokuwa na vitambulisho vya Taifa wametakiwa kufika katika ofisi za NIDA kujiandikisha ili kupata…

8 January 2025, 1:32 pm

TAKUKURU yawaonya wala rushwa kuelekea uchaguzi mkuu

Picha ya mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Bahati Haule Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwaka huu, mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Bahati Haule amesema wameandaa mbinu nyingi za kudhibiti vitendo vya rushwa katika uchaguzi mkuu. Na Mzidalfa Zaid…

9 December 2024, 8:19 pm

TFS yahimiza kutunza mazingira kwa kupanda miti

Maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara kiwilaya Sengerema yamefanyika shule ya Msingi Lumeya katika halmashauri ya Buchosa ambapo miti 2000 imepandwa kama kumbukumbu ya maadhimisho hayo mwaka huu. Na;Emmanuel Twimanye Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania  (TFS)…