Jamii FM

Mitungi ya Gesi

28 July 2022, 19:12 pm

Balozi wa Sweden atembelea Waandishi wa Habari Mtwara

Balozi wa Sweden 🇸🇪 nchini Tanzania Anders Sjöberg, leo julai 28,2022 ametembelea katika ofisi za Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) zilizopo katika jengo la Chama cha waalimu – CWT, mkoani humo. Balozi huyo amepokelewa na viongozi…

24 March 2022, 12:29 pm

Mtwara waweka Mikakati ya Kupunguza  vifo vya Mama Wajawazito

Na Gregory Millanzi.                                                                    Mikakati mingine iliyowekwa na Mkoa ili kuhakikisha inapunguza vifo vitokanavyo na uzazi ni kuhakikisha gari la kubeba Wagonjwa (Ambulance) katika vituo vya afya na Hospitali zinafanya kazi muda wote ili kuimarisha mfumo wa Rufaa kutoka ngazi…

17 February 2022, 23:46 pm

SDA yapaza sauti juu ya unyanyasaji wa kijinsia

Na Amua Rushita Shirika la maendeleo ya michezo (SDA) Mtwara kupitia mradi  wa  kuwawezesha wabinti kupaza sauti, wameendesha Semina ya siku mbili juu ya kuwapa elimu ya namna ya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia, semina hiyo imefanyika katika  ukumbi wa…

11 February 2022, 11:53 am

Ngedere na Tumbili wavuruga shughuli za kilimo

Wanyama pori (Tumbili na Ngedere) wamekuwa kikwazo kwa wananchi  kufanya shughuli   za kilimo  kwa ufasaha  kwa baadhi ya kata za Halmashauri  ya Mtwara vijijini hali inayopekea  kukatamaa na shughuli  hizo. Akichangia Taarifa ya kamati ya uchumi ,ujenzi na Mazingira  Diwani…

25 November 2021, 11:37 am

Tume ya Haki za Binadamu watoa elimu

“Hatuwezi kufanya peke yetu tunajua kwamba Tume ni Taasisi huru ya Serikali lakini lazima tufanye kazi kwa pamoja kwahiyo ni wajibu wetu mkubwa kama alivyosema ndugu yangu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tuendelee kuelimisha ndugu zetu Wananchi kwenye maeneo mbalimbali lakini…

25 November 2021, 11:26 am

Walemavu waomba kupewa kipaumbele cha Elimu na Ujuzi

uwepo wa mikataba ya ya haki za watu wemye ulemavu Tanzania inafuatwa? uwepo wa taasisi zinazosaidia watu wenye ulemavu wanafikia malengo na wahusika wanapewa stahiki klulingana na miradi husika? Mr. Kaganzi Na MUSSA MTEPA; Serikali na taasisi binafsi zimetakiwa kutenda…