Podcasts
11 August 2022, 5:25 pm
Wakenya wengi wasusia Uchaguzi 2022.
Nchini Kenya leo ni siku ya 2 tangu wananchi wake walipopanga mstari kuelekea masanduku ya kupiga kura kuwachagua viongozi wao katika uchaguzi mkuu wa 2022 mara baada ya kampeni kukamilika. Vyombo vya habari nchini humo vinajaribu kufanya hesabu za kumjua…
10 August 2022, 15:29 pm
KIPINDI (LIVE): Elimu ya namna ya kudhibiti Ugonjwa Kifua Kikuu (TB)
Ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa unaoennezwa kwa njia ya hewa na hii huenezwa kwa njia tofauti, ungana na mwandishi wetu Mwanahamisi chikambu pamoja Dk. Boniface Jengela ambaye ni mratibu wa kudhibiti kifua kikuu (TB) na ukoma katika halmshauri ya…
6 August 2022, 7:44 pm
DC MASWA AOKOA ZAIDI YA LITA 30,000 ZA MAFUTA YA DIESELI ZILIZOTAKA …
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata watu wote waliofanya hujuma za kutaka kuiba Mafuta aina ya Dieseli katika kituo cha Malampaka ambapo Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR Unaendelea. Mh …
August 5, 2022, 5:59 pm
Madiwani Manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara
Madiwani wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundo mbinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi. Wameyasema hayo leo katika kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa…
1 August 2022, 12:30 pm
Nafasi ya Mwanaume kwenye malezi ya watoto
. Sikiliza Makala inayozungumzia Nafasi ya Mwanaume kwenye malezi ya watoto, Makala haya yameandaliwa na Mwanahamisi chikambu
26 July 2022, 6:55 pm
Funguni Sekondari yapokea Milioni Mia Mbili za Mabweni.
Shule ya Sekondari Funguni iliyopo Wilayani Pangani mkoani Tanga imepokea kiasi cha pesa shilingi millioni mia mbili kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wakike na wakiume. Akizungumza na Pangni FM katibu tawala Wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange…
25 July 2022, 1:11 pm
Wanawake na Sensa 2022
Habari, Karibu kusikiliza Podcast ya Pangani FM juu ya Ushiriki wa Wanawake katika Sensa ya Watu na Makazi 2022.
July 22, 2022, 11:29 am
Wananchi Kahama watakiwa kushiriki zoezi la sensa
Wananchi Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi litakalofanyika Agosti 23, 2022. Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga leo Julai 21, 2022 wakati akizungumza na HUHESO fm amesema maandalizi…
21 July 2022, 12:28 pm
Wananchi wamkataa Diwani wa kata ya Nanguruwe Mkoani Mtwara
wananchi wa kata ya Nanguruwe mkoani mtwara katika Halmashsuri ya wilaya ya mtwara mkoani mtwara wamemkataa Diwani wa kata hiyo Patrick Simwinga baada ya kutokea kwa vurugu katika eneo lake la utawala. chanzo cha wananchi kumkataa diwani huyo ni vurugu…
15 July 2022, 12:34 pm
RC HAPI AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI WA BUNDA KWA KUPATA HATI SAFI YA CAG KWA MW…
Hayo yameelezwa wakati wa Baraza Maalumu la Halmashauri la kupitia Hoja za Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) tarehe 14.07.2022. Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally S. Hapi amewapongeza Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu kwa kusimamia vizuri Miradi inayoletwa na Serikali…