Dodoma FM
Dodoma FM
12 December 2025, 5:11 pm
Wananchi mkoani Mayara na kanda ya kaskazini kwa ujumla wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kulinda mazingira kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti…
3 December 2025, 13:57
Vijana Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuacha kufanya mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Msaidizi Mstaafu wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…
26 October 2025, 8:42 pm
Zaidi ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,950 wanatarajia kwenda kusimamia vituo 650 vya kupigia kura katika jimbo la Sengerema wamekura kiapo cha uadilifu ili kutekeleza jukumu la uchaguzi mkuu jimbo la Sengerema. Na Mwandishi wetu…
21 October 2025, 22:55
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kila baada ya miaka mitano linafanya mkutano mkuu. Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Robert Pangani amewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa kanisa hilo” Sinodi”kujiepusha…
5 August 2025, 12:18 pm
Ikiwa vyama vya siasa nchini vinaendelea na zoezi la kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Udiwani,Ubunge na Urais Tume ya uchaguzi nayo inaendelea na zoezi la kuratibu wasimamizi wa uchaguzi nganzi za Kata na Jimbo. Na;Emmanuel Twimanye Wasimamizi wa uchaguzi…
3 August 2025, 3:40 pm
Klabu ya Yanga imeahidi kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa msimu huu kuliko wakati wowote. Na Mrisho Sadick: Klabu ya Soka ya Yanga imeendelea kusherehekea mafanikio yake ya msimu wa 2024/25 kwa kutembeza makombe yake matano katika mitaa mbalimbali ya…
July 28, 2025, 6:06 pm
”Jamii inapaswa kujikita zaidi katika kujikinga dhidi ya maradhi ya ugonjwa wa homa ya ini kwa kuwa ni ugonjwa hatari na unaochukua maisha ya watu wengi duniani” Na John Juma Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamehimizwa…
20 June 2025, 9:35 am
Mambo ya kuzingatia nipamoja na AMCOS kutochezea mizani, wananchi kutobeba au kuhifadhi pamba kwenye sandarusi na makampuni kujitahidi kununua pamba kwa ushindani. Na Adelinus Banenwa Zikiwa zimetimia siku 20 tangu kufunguliwa kwa msimu wa ununuzi wa zao la pamba wilayani…
29 May 2025, 7:54 pm
Kwa mujibu wa muongozo uliopo wakulima wote wa zao la pamba wamesamehewa madeni ya mkopo wa pembejeo. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewaagiza AMCOS kujiepusha na udanganyifu wa kilo za pamba kwa lengo la kukwepa…
16 May 2025, 4:34 pm
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji(EWURA) kanda ya kaskazini imewataka wananchi kutumia nishati safi ya kupikia majumbani maarufu kama (LPG) na kuachana na matumizi ya mkaa na kuni . Na Mzidalfa Zaid Wananchi mkoani Manyara na kanda…