Dodoma FM
Dodoma FM
7 August 2024, 6:47 pm
Ngoma hii haiwezi kuchezwa kama mwanamke bado hajapata ujauzito. Na Yussuph Hassan. Yussuph amezungumza na mzee wa eneo hili la Kingale na hapa anaeleza maandalizi ya ngoma hii ya mambala inayochezwa na kabila la warangi hususani mama anapokuwa mjamzito na…
September 21, 2023, 1:13 pm
Katibu tawala wa Wilaya ya Ngara Bw. Jawadu Yusufu aliyemwakilisha Mkuu wa wilaya ya Ngara kuzindua zoezi la kutoa chanjo ya Polio kwa watoto katika hospitali ya Nyamiaga. Idara ya afya Wilayani Ngara Mkoani Kagera leo imezindua zoezi la utoaji…
8 July 2023, 10:14 pm
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewataka wanaume wenye tabia za kupiga wake zao wakati wakiwa wajawazito kuacha mara moja tabia hiyo. Na. Abdunuru Shafii Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amepokea misaada mbalimbali iliyotolewa na taasisi ya…
8 July 2023, 3:57 pm
Ugonjwa wa kifua kikuu (TB) umeendelea kuwa tishio mkoani Geita kutokana na idadi ya watu wanaobainika kuwa na ugonjwa huo kwa mwaka pamoja na idadi ya watu wanaofariki dunia. Na Mrisho Sadick- Geita Watu wanane (8) wanafariki dunia kila mwezi…
6 July 2023, 11:42 am
Ukosefu wa huduma za afya za uhakika umewasukuma wananchi kuchangishana na kununua kiwanja chenye ukubwa wa zaidi ya hekari 10 nakuishinikiza serikali kuwajengea kituo cha afya. Na Mrisho Sadick: Zaidi ya wakazi elfu 60 wa kata ya Nyakafuru wilayani Mbogwe…
3 July 2023, 12:23 pm
Tatizo la vifo vya wanawake wajawazito na watoto mkoani Geita bado ni kubwa na kutokana na changamoto hiyo serikali imekuja na njia mbadala ya kupunguza tatizo hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Serikali imetenga kiasi cha shilingi milioni 218 kwa…
22 June 2023, 8:29 am
Na Zubeda Handrish: Fikiri Manyilizu mwenye umri wa miaka (31) Mkazi wa Muleba Mkoani Kagera amemuomba Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu msaada wa matibabu baada ya kuugua ugonjwa wa ajabu ambao umemsumbua kwa muda mrefu. Fikiri anasema katika familia…
27 May 2023, 12:20 pm
Na Mrisho Sadick: Kufuatia Kampeni ya “TUMUWEZESHE” Iliyoratibiwa na Storm FM kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kuchangia taulo za kike hatimaye zoezi hilo limefanikiwa kwa kutembelea nakutoa taulo hizo kwa wanafunzi wa kike katika baadhi ya shule zilizopo katika Halmashauri…
12 April 2023, 5:37 pm
Katika Mkutano huo wa Baraza la Wafanyakazi, wajumbe watapitia na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mwelekeo wa sekta ya afya hususani suala la ubora wa huduma. Na Pius Jayunga. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu mapema leo amefungua Mkutano wa Baraza…
21 March 2023, 5:39 pm
Na Pius Jayunga. Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka Wataalamu wa Afya kutomchukia pindi anapofanya maamuzi ya kumtoa Mganga Mkuu wa Wilaya kwani hufanya hivyo kwa nia njema ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi. Dkt. Mollel ametoa…